Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hakika.Jina Masogange likitamkwa huendana kimapigo ya sauti na mganga.Mganga wa Chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika.Jina Masogange likitamkwa huendana kimapigo ya sauti na mganga.Mganga wa Chadema
Kila mmoja hukumbuka anachofanana nacho kiidara.KUNA dalili magufuli alikubalika sana,Hadi sasa naona wabishi wa jf wanamtiririshia makumbkumbu ya kumsikitikia.
Sasa mbona nyie Chadema mnateseka sana raia tukimkumbuka JPM?Kila mmoja hukumbuka anachofanana nacho kiidara.
Kwani we mjeda ni flat screen?Ule mzigo bora angeniachia mimi
Benazir Bhuto & Morgan Tsvangerai.Tumekuwa tukiumizwa na vifo vua watu wa karibu Kama ndugu jamaa au marafiki au majirani kutokana na bond tuliyokuwa nayo.
Je, kifo Cha mtu Gani maarufu kishawahi kukusikitisha kutokana na mchango wake katika jamii au athari chanya aliyoleta?
Hapana ni flatboatKwani we mjeda ni flat screen?
Hadi leo ukiweka picha yake ipo katika chati bafo ana hit 🎯Hakika masogange aliniuma, lile zigo lote chini daaah.....
Anaelekea kukumbukwa zaidi katika Uzi ikiwa utaendelea.Kila mmoja hukumbuka anachofanana nacho kiidara.
Mind you,sina kadi ya CDM.Ninyi kumbukeni chochote kitakachowaijia vichwani.Hata mkikumbuka vifo vyenu wenyewe,ni sawa tu.Hamna rufaa wala pingamizi.Carry on!Sasa mbona nyie Chadema mnateseka sana raia tukimkumbuka JPM?
Chadema wakipita kwenye huu uzi watachoka sana asubuhi mapema hii 😂Anaelekea kukumbukwa zaidi katika Uzi ikiwa utaendelea.
Yan kichwa,tumbo na mkia havijajitenga?Hapana ni flatboat
Julius NyaisangaTumekuwa tukiumizwa na vifo vua watu wa karibu Kama ndugu jamaa au marafiki au majirani kutokana na bond tuliyokuwa nayo.
Je, kifo Cha mtu Gani maarufu kishawahi kukusikitisha kutokana na mchango wake katika jamii au athari chanya aliyoleta?
Siasa ni takataka,watu wa siasa wakikosa lengo wanaweka uadui hata huko kijani KUNA watakaonuna.Chadema wakipita kwenye huu uzi watachoka sana asubuhi mapema hii 😂
Uncle J.nikimkuta sana pale Maryland MwegeJulius Nyaisanga
Ndio! Nikitembea haijulikani mbele wapi na nyuma wapiYan kichwa,tumbo na mkia havijajitenga?
Kwa hiyo pande zote nne za dunia wanaitika salamu yako?Ndio! Nikitembea haijulikani mbele wapi na nyuma wapi