Kifo cha mtu gani maarufu kishawahi kukusikitisha?

Kifo cha mtu gani maarufu kishawahi kukusikitisha?

John Pombe Joseph MagufuliView attachment 3011564
Yes. A true son of Africa. Let him rest easy! 🙏🏿

Screenshot_20240608_081335_Samsung Internet.jpg
 
Tumekuwa tukiumizwa na vifo vua watu wa karibu Kama ndugu jamaa au marafiki au majirani kutokana na bond tuliyokuwa nayo.

Je, kifo Cha mtu Gani maarufu kishawahi kukusikitisha kutokana na mchango wake katika jamii au athari chanya aliyoleta?
Julius Nyaisanga
 
Back
Top Bottom