Kifo cha mtu gani maarufu kishawahi kukusikitisha?

Kifo cha mtu gani maarufu kishawahi kukusikitisha?

Kifo cha Mwl JK Nyerere, ule Msiba ulikuwa mzito sana Kwa Taifa

Kule Vijijini ni kama hawakuwa wamejiandaa kusikia Mzee naye angekata Moto 🙌

Michael Jackson

Steven Kanumba

Mzee Reginald Mengi

Mzee JP Magufuli

Fredwaa (Mzee wa Sindano 5 za Moto)

Kifo hakizoeleki aisee 🙌
 
Chadema wakipita kwenye huu uzi watachoka sana asubuhi mapema hii 😂
Ukiona mtu kasikitika kifo cha Jiwe lazima atakuwa na sifa mbili kuu.

Mosi,masikini hana ajira au kama ajira mshahara wa kuunga unga.
Kama ni mfanyabiashara atakuwa wale walioruhusiwa kupanga bidhaa barabarani.

Pili,Ukiona ana msifu au kasikitika msiba wake atakuwa mjinga hajui dunia inavyokwenda.
Mtu yoyote anayeshabikia udikiteta wa Jiwe si binadamu wa kawaida ni mpumbavu.
Nchi ya watu million 60 unashabikia one man show Tanzania si Rwanda.

Msiba wa Jiwe uliliponya taifa,binafsi sikusikitika kwakuwa nilijua upendeleo wa Chato ungefikia kikomo.

Nilisikitika msiba wa
Nelson Mandela.
Julius Nyerere
Keneth Kaunda
Muamar Ghadaf
Kuvunjika kwa USSR.
 
Ukiona mtu kasikitika kifo cha Jiwe lazima atakuwa na sifa mbili kuu.

Mosi,masikini hana ajira au kama ajira mshahara wa kuunga unga.
Kama ni mfanyabiashara atakuwa wale walioruhusiwa kupanga bidhaa barabarani.

Pili,Ukiona ana msifu au kasikitika msiba wake atakuwa mjinga hajui dunia inavyokwenda.
Mtu yoyote anayeshabikia udikiteta wa Jiwe si binadamu wa kawaida ni mpumbavu.
Nchi ya watu million 60 unashabikia one man show Tanzania si Rwanda.

Msiba wa Jiwe uliliponya taifa,binafsi sikusikitika kwakuwa nilijua upendeleo wa Chato ungefikia kikomo.

Nilisikitika msiba wa
Nelson Mandela.
Julius Nyerere
Keneth Kaunda
Muamar Ghadaf
Kuvunjika kwa USSR.
Kila mtu asikitike kivyake mana ww hakuna anayekupangia wa kumsikitikia
 
Kifo hakizoeleki, bado namlilia ndg yangu marehemu wote wapumzike mahali pema na sie ni marehemu watarajiwa

Ukiwaza sana hizi mambo waweza usione umaana wa kuishi
 
Tumekuwa tukiumizwa na vifo vua watu wa karibu Kama ndugu jamaa au marafiki au majirani kutokana na bond tuliyokuwa nayo.

Je, kifo Cha mtu Gani maarufu kishawahi kukusikitisha kutokana na mchango wake katika jamii au athari chanya aliyoleta?
Nasubiria chakooo mkuu kitaniumiza sanaa
 
Back
Top Bottom