ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Nimelia sanaa😣Hakika, kila siku ni kudekq tu hadi napata kero🤪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimelia sanaa😣Hakika, kila siku ni kudekq tu hadi napata kero🤪
Sokoine na Magufuli.Tumekuwa tukiumizwa na vifo vua watu wa karibu Kama ndugu jamaa au marafiki au majirani kutokana na bond tuliyokuwa nayo.
Je, kifo Cha mtu Gani maarufu kishawahi kukusikitisha kutokana na mchango wake katika jamii au athari chanya aliyoleta?
Njoo nikupakate, mtoto wa kike ni kudeka tu.Nimelia sanaa😣
Ukinipakata probability ya wewe kuvunjika miguu ni 90%Njoo nikupakate, mtoto wa kike ni kudeka tu.
Huu unatosha kuwa uzi unaojitegemea wenyewe..mkuu kama hutajali fungua uzi watu wachangie kwa nafasi.Ukiona mtu kasikitika kifo cha Jiwe lazima atakuwa na sifa mbili kuu.
Mosi,masikini hana ajira au kama ajira mshahara wa kuunga unga.
Kama ni mfanyabiashara atakuwa wale walioruhusiwa kupanga bidhaa barabarani.
Pili,Ukiona ana msifu au kasikitika msiba wake atakuwa mjinga hajui dunia inavyokwenda.
Mtu yoyote anayeshabikia udikiteta wa Jiwe si binadamu wa kawaida ni mpumbavu.
Nchi ya watu million 60 unashabikia one man show Tanzania si Rwanda.
Msiba wa Jiwe uliliponya taifa,binafsi sikusikitika kwakuwa nilijua upendeleo wa Chato ungefikia kikomo.
Nilisikitika msiba wa
Nelson Mandela.
Julius Nyerere
Keneth Kaunda
Muamar Ghadaf
Kuvunjika kwa USSR.
Hahaha, kwamba upo overweight kiasi hicho! Kweli vijana wanafaidi.Ukinipakata probability ya wewe kuvunjika miguu ni 90%
Kwhy Mungu alikufa na akafufuka?Yesu sio mtu ni Mungu
Huyo hakuwa maarufu, alikuwa mashuhuri.John Pombe Magufuli
Angekuwa kipindi hiki angeonekana wa kawaida , wengi wana mizigo mara 2 zaidi yake.
chaiWakina Agnes wote niliowaona wana mizigo
Tuchague majina ya kuwapa watoto kwa kweli mfano; Eliza wote ni wazuri ila wafupi😂
ChaiYesu sio mtu ni Mungu
watakwambia alikufa Mungu mwana, akajifufua kwa nafasi yake ya pili ambayo ni Mungu baba.Kwhy Mungu alikufa na akafufuka?
Anateseka 🔥 bila shakaMagufuli
Mifupa ndio mizito ila nyama hamna😎Hahaha, kwamba upo overweight kiasi hicho! Kweli vijana wanafaidi.
Tuliosherkea kwa kuchoma mbuzi hamtuoni?KUNA dalili magufuli alikubalika sana,Hadi sasa naona wabishi wa jf wanamtiririshia makumbkumbu ya kumsikitikia.