Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Sahivi mizigo mingi ya uturuki, ila huo ulikua oh from Mbeya....Angekuwa kipindi hiki angeonekana wa kawaida , wengi wana mizigo mara 2 zaidi yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahivi mizigo mingi ya uturuki, ila huo ulikua oh from Mbeya....Angekuwa kipindi hiki angeonekana wa kawaida , wengi wana mizigo mara 2 zaidi yake.
Aliwauzia waarabu mbuga yule. LoliondoMzee Ruksa.Hakuwa na makuu.Sidhani kama tiketi yake ya kuingia peponi itakaguliwa sana.
Waliondoka nayo?Walikodi/walipanga.Aliwauzia waarabu mbuga yule. Loliondo
Kufa kwa huyu mwamba kumezaliwa machawa sasa mengi kweliJohn Pombe Joseph MagufuliView attachment 3011564
Nenda Loliondo na simu yako. Utaona inasoma uarabuniWaliondoka nayo?Walikodi/walipanga.
NB;Tuzingatie maneno sahihi kwenye matumizi ili kuleta maana halisi.
Hata KBC inasoma Matimila,Songea huko.Nenda Loliondo na simu yako. Utaona inasoma uarabuni
Kwa hyo Mungu ndio alichezea kichapo kama kile??? Hata mimi ningekuwa Yesu kamwe nisingerudi kama dhambi ya uongo wacha inipate...mijeleji ya namna ileYesu sio mtu ni Mungu
Pombe Joseph magufuli JohnMAGUFULI POMBE JOSEPH JOHN
Sshv ukiingia ista.....unakuta kuna mizigo ya ajabu. Unazama nayo kupiga puli toiAngekuwa kipindi hiki angeonekana wa kawaida , wengi wana mizigo mara 2 zaidi yake.
John Pombe Joseph MagufuliTumekuwa tukiumizwa na vifo vua watu wa karibu Kama ndugu jamaa au marafiki au majirani kutokana na bond tuliyokuwa nayo.
Je, kifo Cha mtu Gani maarufu kishawahi kukusikitisha kutokana na mchango wake katika jamii au athari chanya aliyoleta?
Duuh ww mkavu huna chozi!Hakuna kifo kilishawahi kunisikitisha au kitakacho kuja nisikitisha .
Hakuna cha kusikitisha apo mkuu .Duuh ww mkavu huna chozi!
Sama ww unamtetea Mwinyi. Basi sahwaHata KBC inasoma Matimila,Songea huko.
Kwa namna nilivyokuwa namfuatilia,hakuwa na makuu.Muungwana.Sama ww unamtetea Mwinyi. Basi sahwa