Loh nasikia furaha kukuona mdogo wangu sisi wakubwa zako tulitolewa darasani na Mwl. Nzowa (alikua mdada flani sista duu ana weusi mzuri na tako kama lote anakaa kota za BOT) natumai ulimkuta akakufundisha hesabu. Tukaenda kupanga foleni mjengo mweupe wakatwambia tushike tama na mkono wa kushoto tukachomwa jua saaaana mpaka gari iliyobeba mwili ilipofika tulikua hoiNilikuwa Std 1 Bunge primary narudi home saa 7 namkuta mshua anamskiliza mzee mkapa akihutubia kwenye radio
Okay, ila bora Umenielewa maana huo mchapio ndio nauona.Ndo nataka nkatoe taarifa huko ntarud mida kama ya jana
Mhhhh la 4 gani ulikua wewe mkuu?Darasa la nne, Bunge primary!!ikapigwa kengele ya dharura.
Haha naona wenge la usingiz limekuanzaOkay, ila bora Umenielewa maana huo mchapio ndio nauona.
Jana umeingia usiku wa manane au wa matisa
Na Lupembe, na yule mwalimu wa kingereza mweusii mmama alikua na mtoto wake wa kike std4 alikua anachapa balaa..Watoto wa mwalimu kajiru
Na Lupembe, na yule mwalimu wa kingereza mweusii mmama alikua na mtoto wake wa kike std4 alikua anachapa balaa..
Dah mpaka nahisi machozi ya furaha kuona haya majinayap, madam Nzowa cku ile machozi yalimtoka pale assemble, Bunge primary wale walimu kazi yao ilikuwa kwenye damu' walikuwa wanajituma sana mwombeki,kapinga,shirima,beatrice,manyama,kanyambo,urassa, madilu ..
Hapana sio usingizi, naona hii bange nimeuziwa sio. Sinaga ratiba ya kulala usiku so siwezi patwa na hilo wengeHaha naona wenge la usingiz limekuanza
Usiku wa matisa
watoto piana sisi tulio kuwa tuna miaka mitatu na miez kadhaa unatuitaje??????
Cha kwanzaUlikuwa kidato chan ngapi? au ulikuwa chuo?
Alikua anachamba balaa.... Amezeeka Siku hizi au bado na mapanki yake ? Bado anakaa kulekule ukivuka daraja linalopita reli upande wa kulia kwa juu? ( kama bado anakaa huko basi utakua umeelewa)Hao siwajui my dear..huyo Mwalimu kajiru naishi nae jirani hapa na baadhi ya rafiki zangu nilisoma nao walimaliza hapo
Basi itakua hvyo vyombo unavyovigonga apoHapana sio usingizi, naona hii bange nimeuziwa sio. Sinaga ratiba ya kulala usiku so siwezi patwa na hilo wenge
Kwahiyo ukubwa wako numesaidia nini jf yetu ama taifa letu kama sio nyie wakubwa ndio zao la uzwazwa huu kama mkubwa mwenzenu jiweWatoto wa Facebook na Instagram wamevamia jf aisee
Alikua anachamba balaa.... Amezeeka Siku hizi au bado na mapanki yake ? Bado anakaa kulekule ukivuka daraja linalopita reli upande wa kulia kwa juu? ( kama bado anakaa huko basi utakua umeelewa)
Itakua na hivihivi hakuna kingineBasi itakua hvyo vyombo unavyovigonga apo
Kipindi hiko ITV ndo the leading Television inaoneshaga mpaka World CupNaangalia kumbukumbu yake hapa, kupitia ITV! Jeneza ndio limetelemshwa kutoka ndegeni!