Kifo cha mwanafunzi Nusura; VC wa UDOM Kusiluka unadanganya kwa faida gani?

Kifo cha mwanafunzi Nusura; VC wa UDOM Kusiluka unadanganya kwa faida gani?

robinson crusoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2020
Posts
762
Reaction score
1,236
UDOM ni chuo kichanga kilichojaa vituko vya maadili mabovu. Maadili mabovu kwa waalimu na watumishi wengine hadi kufikia VC na DVC wake kuwa ni watu wa hovyo hovyo tu! Kumefanyika mabadiliko ya uongozi na huyu anayeitwa Kusiluka ndo VC wa chuo aliyeletwa ili chuo kibadilike. Ni wazi sasa VC mpya naye ni hovyo tu! Tunaambiwa hata alikotoka hakuna kitu alichofanya Zaidi ya kujikomba.

Ajali ya Dodoma ni ya naibu waziri. Huyu kwa cheo ni mtu mdogo sana ukilinganisha na VC wa Chuo kikuu anayejitambua, kwa uelewa na heshima! Lakini VC anaamua kutoa taarifa ya mtu mwingine ili kuinua kituko tusahau mambo ya naibu waziri! Ni ushenzi tu, kwamba mwanafunzi alifia Uchira! Eti hizo taarifa zilifika chuoni kupitia ndugu wasiotajwa majina.

Huyu naibu waziri analindwa kwa uzembe wake. Hii inaonesha wazi kwamba viongozi wetu ni wa hovyo kupindukia na tunalazimishwa tuwaone ni wazuri. Haka ni ka naibu waziri kanalindwa hivyo je, rais anafanya mangapi yanafukiwa tuone ni malaika?

Polisi ni wadhaifu kwa wanasiasa, wameunda ajali yao na gari lao. Wanafunzi na staff wa UDOM wote wanafahamu kilichotokea. Nani atatueleza kwamba nchi hii ina maadili yoyote ya kuigwa kwa vijana? Sasa tunaelewa kwa nini watu maofisini ni wezi na wapo tu! Watu ni wazembe bado tunawachekea, eti naibu waziri! Nyooooro!
 
Nchi imeoza tangu ikulu,Raisi mwenyewe ni kilaza kabisa,hqna hatq hadhi na elimu ya kuwa mkuu wa wilaya,Leo eti ndio rais wa nchi,!!
Leo kila kona ni wizi,kwa mie jambo Moja linaloniuma,
Ni kuona ujinga unaofanyika hatq kwenye sekta ya usalama wa nchi,
Pale kambi ya jwtz lugalo,Mkoa wa Dar,ardhi,fence ya kambi inamegwa ili kujenga flem za kukodisha,na Sina shqka ni mradi wa wakubwa huko jeshini,unajenga flem za biashara eneo la jeshi,Sasa usalama wa nchi upo wapi,hapo ni rahisi kudukuliwa,hatq kama lengo ni kuongeza vyanzo vya mapato,kuwaza flem,ni akil ndogo sana,badala ya kuwaza viwanda vya magsri,bunduki,risasi,
Mambo ya IT,drones,large scale irrigation schemes,mbwa wa jeshini wanawaza kupata vifedha kupitia flem za kukodisha!!!
 
Mkuu Kuna tetesi zinazoenea kuwa Mwanafunzi wa kike Mwingine aliyekufa ajalini Dodoma, hakutangazwa na kifo chake kimefichwa kwa makusudi. Huyu ndiye Sasa. Tazama Uzi wangu hapo juu. Nusura Hassan Abdalah amewekwa kwa makusudi na uongozi wa chuo UDOM ili kufunika tukio halisi au la kweli.
 
Mkuu Kuna tetesi zinazoenea kuwa Mwanafunzi wa kike Mwingine aliyekufa ajalini Dodoma, hakutangazwa na kifo chake kimefichwa kwa makusudi. Huyu ndiye Sasa. Tazama Uzi wangu hapo juu. Nusura Hassan Abdalah amewekwa kwa makusudi na uongozi wa chuo UDOM ili kufunika tukio halisi au la kweli.
Huyo aliyefariki Hana jina? Hana classmates? Mbona hta picha hamna
 
Nchi imeoza tangu ikulu,Raisi mwenyewe ni kilaza kabisa,hqna hatq hadhi na elimu ya kuwa mkuu wa wilaya,Leo eti ndio rais wa nchi,!!
Leo kila kona ni wizi,kwa mie jambo Moja linaloniuma,
Ni kuona ujinga unaofanyika hatq kwenye sekta ya usalama wa nchi,
Pale kambi ya jwtz lugalo,Mkoa wa Dar,ardhi,fence ya kambi inamegwa ili kujenga flem za kukodisha,na Sina shqka ni mradi wa wakubwa huko jeshini,unajenga flem za biashara eneo la jeshi,Sasa usalama wa nchi upo wapi,hapo ni rahisi kudukuliwa,hatq kama lengo ni kuongeza vyanzo vya mapato,kuwaza flem,ni akil ndogo sana,badala ya kuwaza viwanda vya magsri,bunduki,risasi,
Mambo ya IT,drones,large scale irrigation schemes,mbwa wa jeshini wanawaza kupata vifedha kupitia flem za kukodisha!!!
Kama tumefika huko basi ni hatari. Ngoja Rais Kagame wa Rwanda atume watu wake wakodi hizo fremu. Rais wa Rwanda Paul Kagame ana mkono mrefu na anadukua mataifa yote ya jirani. Anachunguza mifumo yote ya ULINZI NA USALAMA.
 
UDOM ni chuo kichanga kilichojaa vituko vya maadili mabovu. Maadili mabovu kwa waalimu na watumishi wengine hadi kufikia VC na DVC wake kuwa ni watu wa hovyo hovyo tu! Kumefanyika mabadiliko ya uongozi na huyu anayeitwa Kusiluka
Haya tusimulie ukweli wako sasa ukiwa na vithibitisho
 
Najua umelipwa kutetea na kupima upepo. Muda sio mrefu ntaleta taarifa Rasmi.
Wala ni kwa faida ya wote maana mwanzoni picha zilizosambaa ndio mlidai aliyekua na waziri.

Baada ya clarification ya Polisi na daktari wote Tena mmegeuka zile picha mnadai Kuna msiba mwingine unaofichwa.

Mbona Toka mwanzo hamkusema Kuna misiba miwili.
 
Wala ni kwa faida ya wote maana mwanzoni picha zilizosambaa ndio mlidai aliyekua na waziri.

Baada ya clarification ya Polisi na daktari wote Tena mmegeuka zile picha mnadai Kuna msiba mwingine unaofichwa.

Mbona Toka mwanzo hamkusema Kuna misiba miwili.
Upo ndiyo, hizi habari zinafahamika na wanafunzi wote. Hii ya mwanzo ililetwa makusudi kupotezea tukio halisi.
 
Upo ndiyo, hizi habari zinafahamika na wanafunzi wote. Hii ya mwanzo ililetwa makusudi kupotezea tukio halisi.
Jina nani mbona unasema wanafunzj wanajua. Picha hamna jina hamna? Yaani classmates mpaka Sasa hakuna aliyetuma picha ya marehemu mtandaoni?
 
Mkuu Kuna tetesi zinazoenea kuwa Mwanafunzi wa kike Mwingine aliyekufa ajalini Dodoma, hakutangazwa na kifo chake kimefichwa kwa makusudi. Huyu ndiye Sasa. Tazama Uzi wangu hapo juu. Nusura Hassan Abdalah amewekwa kwa makusudi na uongozi wa chuo UDOM ili kufunika tukio halisi au la kweli.
Ili uchunguzi uje kuonesha sio? hivi dodoma yote kifo kifunikwe, maiti ilitunzwa wapi? madaktari gani walipokea msiba huu
 
DVC ndio nani? Maana sidhani Naibu Makamu Mkuu wa Chuo bila idara
 
Back
Top Bottom