Kifo cha mwanafunzi Nusura; VC wa UDOM Kusiluka unadanganya kwa faida gani?

Kifo cha mwanafunzi Nusura; VC wa UDOM Kusiluka unadanganya kwa faida gani?

UDOM ni chuo kichanga kilichojaa vituko vya maadili mabovu. Maadili mabovu kwa waalimu na watumishi wengine hadi kufikia VC na DVC wake kuwa ni watu wa hovyo hovyo tu! Kumefanyika mabadiliko ya uongozi na huyu anayeitwa Kusiluka ndo VC wa chuo aliyeletwa ili chuo kibadilike. Ni wazi sasa VC mpya naye ni hovyo tu! Tunaambiwa hata alikotoka hakuna kitu alichofanya Zaidi ya kujikomba.

Ajali ya Dodoma ni ya naibu waziri. Huyu kwa cheo ni mtu mdogo sana ukilinganisha na VC wa Chuo kikuu anayejitambua, kwa uelewa na heshima! Lakini VC anaamua kutoa taarifa ya mtu mwingine ili kuinua kituko tusahau mambo ya naibu waziri! Ni ushenzi tu, kwamba mwanafunzi alifia Uchira! Eti hizo taarifa zilifika chuoni kupitia ndugu wasiotajwa majina.

Huyu naibu waziri analindwa kwa uzembe wake. Hii inaonesha wazi kwamba viongozi wetu ni wa hovyo kupindukia na tunalazimishwa tuwaone ni wazuri. Haka ni ka naibu waziri kanalindwa hivyo je, rais anafanya mangapi yanafukiwa tuone ni malaika?

Polisi ni wadhaifu kwa wanasiasa, wameunda ajali yao na gari lao. Wanafunzi na staff wa UDOM wote wanafahamu kilichotokea. Nani atatueleza kwamba nchi hii ina maadili yoyote ya kuigwa kwa vijana? Sasa tunaelewa kwa nini watu maofisini ni wezi na wapo tu! Watu ni wazembe bado tunawachekea, eti naibu waziri! Nyooooro!
Samia ajue kwamba aliyekatishwa uhai ni mtoto wake na mwanamke mwenzake itashangaza dunia kama hata mfyatua Dungage.
 
UDOM ni chuo kichanga kilichojaa vituko vya maadili mabovu. Maadili mabovu kwa waalimu na watumishi wengine hadi kufikia VC na DVC wake kuwa ni watu wa hovyo hovyo tu! Kumefanyika mabadiliko ya uongozi na huyu anayeitwa Kusiluka ndo VC wa chuo aliyeletwa ili chuo kibadilike. Ni wazi sasa VC mpya naye ni hovyo tu! Tunaambiwa hata alikotoka hakuna kitu alichofanya Zaidi ya kujikomba.

Ajali ya Dodoma ni ya naibu waziri. Huyu kwa cheo ni mtu mdogo sana ukilinganisha na VC wa Chuo kikuu anayejitambua, kwa uelewa na heshima! Lakini VC anaamua kutoa taarifa ya mtu mwingine ili kuinua kituko tusahau mambo ya naibu waziri! Ni ushenzi tu, kwamba mwanafunzi alifia Uchira! Eti hizo taarifa zilifika chuoni kupitia ndugu wasiotajwa majina.

Huyu naibu waziri analindwa kwa uzembe wake. Hii inaonesha wazi kwamba viongozi wetu ni wa hovyo kupindukia na tunalazimishwa tuwaone ni wazuri. Haka ni ka naibu waziri kanalindwa hivyo je, rais anafanya mangapi yanafukiwa tuone ni malaika?

Polisi ni wadhaifu kwa wanasiasa, wameunda ajali yao na gari lao. Wanafunzi na staff wa UDOM wote wanafahamu kilichotokea. Nani atatueleza kwamba nchi hii ina maadili yoyote ya kuigwa kwa vijana? Sasa tunaelewa kwa nini watu maofisini ni wezi na wapo tu! Watu ni wazembe bado tunawachekea, eti naibu waziri! Nyooooro!
UDOM! Mulipoletewa kiumbe huyu tu, nikajua hakuna kitu hapo. Huyu Kusiluka anafahamika tangu akiwa Open University akiwa ni deputy wa VC Mbwete. Aliishia kuondolewa kwa wizi wa pesa. Kulikuwa na kesi sijui ilifunikwa vipi ghafla namuona eti ni boss wa UDOM!

UDOM kuna mkosi gani hadi kushindwa kupata profesa wa maana kuongoza chuo?
 
Mkuu naomba kwa heshima na taadhima anzisha uzi kuhusu ili swala Fremu za Lugalo... Ni aibu ya karne hii.. Uchafuzi wa mazingira pamoja na uharibifu wa uoro wa asili pale Lugalo....

Zilisitishwa lakini naona fitna imepigwa sasa zinarejea kwa kasi....
Vioski vya Lugalo hivyo, kama vinbavyoonekana kwenye Google earth. Sijuyi ni ukosefu wa nini nchi hii!!
Kawe.png
.
 
Nchi imeoza tangu ikulu,Raisi mwenyewe ni kilaza kabisa,hqna hatq hadhi na elimu ya kuwa mkuu wa wilaya,Leo eti ndio rais wa nchi,!!
Leo kila kona ni wizi,kwa mie jambo Moja linaloniuma,
Ni kuona ujinga unaofanyika hatq kwenye sekta ya usalama wa nchi,
Pale kambi ya jwtz lugalo,Mkoa wa Dar,ardhi,fence ya kambi inamegwa ili kujenga flem za kukodisha,na Sina shqka ni mradi wa wakubwa huko jeshini,unajenga flem za biashara eneo la jeshi,Sasa usalama wa nchi upo wapi,hapo ni rahisi kudukuliwa,hatq kama lengo ni kuongeza vyanzo vya mapato,kuwaza flem,ni akil ndogo sana,badala ya kuwaza viwanda vya magsri,bunduki,risasi,
Mambo ya IT,drones,large scale irrigation schemes,mbwa wa jeshini wanawaza kupata vifedha kupitia flem za kukodisha!!!

We mpuuzi acha kumtukana Rais wa Nchi yetu, kilaza ni wewe usiye jua Lugha ya staha.
 
UDOM ni chuo kichanga kilichojaa vituko vya maadili mabovu. Maadili mabovu kwa waalimu na watumishi wengine hadi kufikia VC na DVC wake kuwa ni watu wa hovyo hovyo tu! Kumefanyika mabadiliko ya uongozi na huyu anayeitwa Kusiluka ndo VC wa chuo aliyeletwa ili chuo kibadilike. Ni wazi sasa VC mpya naye ni hovyo tu! Tunaambiwa hata alikotoka hakuna kitu alichofanya Zaidi ya kujikomba.

Ajali ya Dodoma ni ya naibu waziri. Huyu kwa cheo ni mtu mdogo sana ukilinganisha na VC wa Chuo kikuu anayejitambua, kwa uelewa na heshima! Lakini VC anaamua kutoa taarifa ya mtu mwingine ili kuinua kituko tusahau mambo ya naibu waziri! Ni ushenzi tu, kwamba mwanafunzi alifia Uchira! Eti hizo taarifa zilifika chuoni kupitia ndugu wasiotajwa majina.

Huyu naibu waziri analindwa kwa uzembe wake. Hii inaonesha wazi kwamba viongozi wetu ni wa hovyo kupindukia na tunalazimishwa tuwaone ni wazuri. Haka ni ka naibu waziri kanalindwa hivyo je, rais anafanya mangapi yanafukiwa tuone ni malaika?

Polisi ni wadhaifu kwa wanasiasa, wameunda ajali yao na gari lao. Wanafunzi na staff wa UDOM wote wanafahamu kilichotokea. Nani atatueleza kwamba nchi hii ina maadili yoyote ya kuigwa kwa vijana? Sasa tunaelewa kwa nini watu maofisini ni wezi na wapo tu! Watu ni wazembe bado tunawachekea, eti naibu waziri! Nyooooro!
Nchi hii ni ya kipuuzi sana na imelaaniwa milele. Waziri mzima anadanga na wanafunzi wa chuo halafu poliCCM nao wanakuja mbele ya kamera kutunisha mitumbo yao kumtetea mdangaji. Nchi ya kiqumer sana hii.
 
Nchi imeoza tangu ikulu,Raisi mwenyewe ni kilaza kabisa,hqna hatq hadhi na elimu ya kuwa mkuu wa wilaya,Leo eti ndio rais wa nchi,!!
Leo kila kona ni wizi,kwa mie jambo Moja linaloniuma,
Ni kuona ujinga unaofanyika hatq kwenye sekta ya usalama wa nchi,
Pale kambi ya jwtz lugalo,Mkoa wa Dar,ardhi,fence ya kambi inamegwa ili kujenga flem za kukodisha,na Sina shqka ni mradi wa wakubwa huko jeshini,unajenga flem za biashara eneo la jeshi,Sasa usalama wa nchi upo wapi,hapo ni rahisi kudukuliwa,hatq kama lengo ni kuongeza vyanzo vya mapato,kuwaza flem,ni akil ndogo sana,badala ya kuwaza viwanda vya magsri,bunduki,risasi,
Mambo ya IT,drones,large scale irrigation schemes,mbwa wa jeshini wanawaza kupata vifedha kupitia flem za kukodisha!!!
Mzee, vitu vingine kama hujui kaa kimya kuliko kujianika kwa upumbafu wako, aliyekudanganya mradi wa Frame za pale kawe ni umegaji wa ardhi wa vigogo ndani ya jeshi ni nani? Unafahamu bar inayoitwa 361 karibu na daraja la Mlalakuwa pale mwenge nao wamemega ardhi vigogo sio? Ile bar ya 'Dar service Park' Opposite na frame nayo ni ya nan? Unafahamu ilipo jengwa Dar service ni eneo la jeshi? Unafahamu mgogoro wa ujenzi wa kituo cha mabasi eneo lile kati ya Halmashauri na viongozi wa serikali za mitaa kawe?

Mwendazake alipozitaka taasisi za kijeshi kuanzisha miradi yake kwa kila kambi kubuni miradi ilikutokuwa mzigo wa uendeshaji wa Jeshi alikua anamaanisha nn?

Kwahiyo hata ile Suma JKT cataring service ni umegwaji wa ardhi wa vigogo wa JKT?

Inaonekanna husomi, hufuatilii taarifa za habari lakini pia ni mjinga mwandamizi.

Lugha yako tu inaonesha namna akili zako zilivo fupi sawa na gidamu za nguo yako ya ndani!
Huwezi kum address Mkuu wa nchi kwa lugha ya hovyo namna hiyo, unless mama yako naye unamjibu zaidi ya hivi.

Tunataifa la vijana wapumbavu kama wewe JUAN MANUEL usiyefanya tafiti wala kudadisi zaidi ya kuendesha na mihemko ya kisiasa! Ni mpumbavu mwenzako kama wewe atakaye kuamini, Fala sana!
 
Back
Top Bottom