Kifo cha mwanafunzi Nusura; VC wa UDOM Kusiluka unadanganya kwa faida gani?

Kifo cha mwanafunzi Nusura; VC wa UDOM Kusiluka unadanganya kwa faida gani?

Nchi imeoza tangu ikulu,Raisi mwenyewe ni kilaza kabisa,hqna hatq hadhi na elimu ya kuwa mkuu wa wilaya,Leo eti ndio rais wa nchi,!!
Leo kila kona ni wizi,kwa mie jambo Moja linaloniuma,
Ni kuona ujinga unaofanyika hatq kwenye sekta ya usalama wa nchi,
Pale kambi ya jwtz lugalo,Mkoa wa Dar,ardhi,fence ya kambi inamegwa ili kujenga flem za kukodisha,na Sina shqka ni mradi wa wakubwa huko jeshini,unajenga flem za biashara eneo la jeshi,Sasa usalama wa nchi upo wapi,hapo ni rahisi kudukuliwa,hatq kama lengo ni kuongeza vyanzo vya mapato,kuwaza flem,ni akil ndogo sana,badala ya kuwaza viwanda vya magsri,bunduki,risasi,
Mambo ya IT,drones,large scale irrigation schemes,mbwa wa jeshini wanawaza kupata vifedha kupitia flem za kukodisha!!!
Unapoandika chochote kumhusu Rais(mkuu wa nchi) kuwa na nidhamu.
Uhuru wako usikuondolee hata akili ndogo uliyobaki nayo.....think about your family kwa kauli kama hizo.
 
Nchi imeoza tangu ikulu,Raisi mwenyewe ni kilaza kabisa,hqna hatq hadhi na elimu ya kuwa mkuu wa wilaya,Leo eti ndio rais wa nchi,!!
Leo kila kona ni wizi,kwa mie jambo Moja linaloniuma,
Ni kuona ujinga unaofanyika hatq kwenye sekta ya usalama wa nchi,
Pale kambi ya jwtz lugalo,Mkoa wa Dar,ardhi,fence ya kambi inamegwa ili kujenga flem za kukodisha,na Sina shqka ni mradi wa wakubwa huko jeshini,unajenga flem za biashara eneo la jeshi,Sasa usalama wa nchi upo wapi,hapo ni rahisi kudukuliwa,hatq kama lengo ni kuongeza vyanzo vya mapato,kuwaza flem,ni akil ndogo sana,badala ya kuwaza viwanda vya magsri,bunduki,risasi,
Mambo ya IT,drones,large scale irrigation schemes,mbwa wa jeshini wanawaza kupata vifedha kupitia flem za kukodisha!!!
Yaaani unathubutu kutaka raisi namna hiyo kweli??
 
Kuna kitu hapa sikielewi! Niliwagi kuambiwa UDOM Ina wanachuo zaidi ya elfu ishirini! Huyo mwanachuo alikuwa ana marafiki, alikuwa ana classmates wake, alikuwa na watu ambao labda anasali nao pamoja, alikuwa na ndugu, inawezekana vipi hao wanaoficha Ili hii story isifikie public waweze kuwazuba mdomo watu wote hao? Yaani hata humu JF hayupo hata mmoja wa kuleta stori kamili?
 
UDOM ni chuo kichanga kilichojaa vituko vya maadili mabovu. Maadili mabovu kwa waalimu na watumishi wengine hadi kufikia VC na DVC wake kuwa ni watu wa hovyo hovyo tu! Kumefanyika mabadiliko ya uongozi na huyu anayeitwa Kusiluka ndo VC wa chuo aliyeletwa ili chuo kibadilike. Ni wazi sasa VC mpya naye ni hovyo tu! Tunaambiwa hata alikotoka hakuna kitu alichofanya Zaidi ya kujikomba.

Ajali ya Dodoma ni ya naibu waziri. Huyu kwa cheo ni mtu mdogo sana ukilinganisha na VC wa Chuo kikuu anayejitambua, kwa uelewa na heshima! Lakini VC anaamua kutoa taarifa ya mtu mwingine ili kuinua kituko tusahau mambo ya naibu waziri! Ni ushenzi tu, kwamba mwanafunzi alifia Uchira! Eti hizo taarifa zilifika chuoni kupitia ndugu wasiotajwa majina.

Huyu naibu waziri analindwa kwa uzembe wake. Hii inaonesha wazi kwamba viongozi wetu ni wa hovyo kupindukia na tunalazimishwa tuwaone ni wazuri. Haka ni ka naibu waziri kanalindwa hivyo je, rais anafanya mangapi yanafukiwa tuone ni malaika?

Polisi ni wadhaifu kwa wanasiasa, wameunda ajali yao na gari lao. Wanafunzi na staff wa UDOM wote wanafahamu kilichotokea. Nani atatueleza kwamba nchi hii ina maadili yoyote ya kuigwa kwa vijana? Sasa tunaelewa kwa nini watu maofisini ni wezi na wapo tu! Watu ni wazembe bado tunawachekea, eti naibu waziri! Nyooooro!
Kwani wazazi wa binti wanasemaje?? Mana msichafue watu kwa sababu ya tetesi za kigogo tu
 
Nchi imeoza tangu ikulu,Raisi mwenyewe ni kilaza kabisa,hqna hatq hadhi na elimu ya kuwa mkuu wa wilaya,Leo eti ndio rais wa nchi,!!
Leo kila kona ni wizi,kwa mie jambo Moja linaloniuma,
Ni kuona ujinga unaofanyika hatq kwenye sekta ya usalama wa nchi,
Pale kambi ya jwtz lugalo,Mkoa wa Dar,ardhi,fence ya kambi inamegwa ili kujenga flem za kukodisha,na Sina shqka ni mradi wa wakubwa huko jeshini,unajenga flem za biashara eneo la jeshi,Sasa usalama wa nchi upo wapi,hapo ni rahisi kudukuliwa,hatq kama lengo ni kuongeza vyanzo vya mapato,kuwaza flem,ni akil ndogo sana,badala ya kuwaza viwanda vya magsri,bunduki,risasi,
Mambo ya IT,drones,large scale irrigation schemes,mbwa wa jeshini wanawaza kupata vifedha kupitia flem za kukodisha!!!
Kwani Mkuu wa wilaya anatakiwa awe na elimu kiwango gani ambayo Mhe Rais Samia hana?? Mana yeye ana Master's degree.
 
UDOM ni chuo kichanga kilichojaa vituko vya maadili mabovu. Maadili mabovu kwa waalimu na watumishi wengine hadi kufikia VC na DVC wake kuwa ni watu wa hovyo hovyo tu! Kumefanyika mabadiliko ya uongozi na huyu anayeitwa Kusiluka ndo VC wa chuo aliyeletwa ili chuo kibadilike. Ni wazi sasa VC mpya naye ni hovyo tu! Tunaambiwa hata alikotoka hakuna kitu alichofanya Zaidi ya kujikomba.

Ajali ya Dodoma ni ya naibu waziri. Huyu kwa cheo ni mtu mdogo sana ukilinganisha na VC wa Chuo kikuu anayejitambua, kwa uelewa na heshima! Lakini VC anaamua kutoa taarifa ya mtu mwingine ili kuinua kituko tusahau mambo ya naibu waziri! Ni ushenzi tu, kwamba mwanafunzi alifia Uchira! Eti hizo taarifa zilifika chuoni kupitia ndugu wasiotajwa majina.

Huyu naibu waziri analindwa kwa uzembe wake. Hii inaonesha wazi kwamba viongozi wetu ni wa hovyo kupindukia na tunalazimishwa tuwaone ni wazuri. Haka ni ka naibu waziri kanalindwa hivyo je, rais anafanya mangapi yanafukiwa tuone ni malaika?

Polisi ni wadhaifu kwa wanasiasa, wameunda ajali yao na gari lao. Wanafunzi na staff wa UDOM wote wanafahamu kilichotokea. Nani atatueleza kwamba nchi hii ina maadili yoyote ya kuigwa kwa vijana? Sasa tunaelewa kwa nini watu maofisini ni wezi na wapo tu! Watu ni wazembe bado tunawachekea, eti naibu waziri! Nyooooro!
Sasa Dogo unaloloma nini? Wewe kama ukweli unaujua si uuweke hapa JF "Where We Dare to Talk Openly"? Au ulisoma MEMKWA nini?
 
UDOM ni chuo kichanga kilichojaa vituko vya maadili mabovu. Maadili mabovu kwa waalimu na watumishi wengine hadi kufikia VC na DVC wake kuwa ni watu wa hovyo hovyo tu! Kumefanyika mabadiliko ya uongozi na huyu anayeitwa Kusiluka ndo VC wa chuo aliyeletwa ili chuo kibadilike. Ni wazi sasa VC mpya naye ni hovyo tu! Tunaambiwa hata alikotoka hakuna kitu alichofanya Zaidi ya kujikomba.

Ajali ya Dodoma ni ya naibu waziri. Huyu kwa cheo ni mtu mdogo sana ukilinganisha na VC wa Chuo kikuu anayejitambua, kwa uelewa na heshima! Lakini VC anaamua kutoa taarifa ya mtu mwingine ili kuinua kituko tusahau mambo ya naibu waziri! Ni ushenzi tu, kwamba mwanafunzi alifia Uchira! Eti hizo taarifa zilifika chuoni kupitia ndugu wasiotajwa majina.

Huyu naibu waziri analindwa kwa uzembe wake. Hii inaonesha wazi kwamba viongozi wetu ni wa hovyo kupindukia na tunalazimishwa tuwaone ni wazuri. Haka ni ka naibu waziri kanalindwa hivyo je, rais anafanya mangapi yanafukiwa tuone ni malaika?

Polisi ni wadhaifu kwa wanasiasa, wameunda ajali yao na gari lao. Wanafunzi na staff wa UDOM wote wanafahamu kilichotokea. Nani atatueleza kwamba nchi hii ina maadili yoyote ya kuigwa kwa vijana? Sasa tunaelewa kwa nini watu maofisini ni wezi na wapo tu! Watu ni wazembe bado tunawachekea, eti naibu waziri! Nyooooro!
SI uwafuate Sasa huko udom sio unaanzia kupiga kelele tu hapa jf
 
Wewe kichwa maji, kwani chuo kikuu ni shule ya msingi au sekondari kwamba watoto wanatunzwa na chuo? Chuo Kikuu ni elimu ya watu wazima wanaopaswa kujiongoza na kujiratibu wenyewe.

Sasa huyo mtoto ata kama alikua anatembea na muuza genge akapata ajali akafa yeye mkuu wa chuo ina muhusu nini zaidi ya kutoa tu taarifa ya kisiasa kwa umma na jamii nzima ya chuo?

Mbona unamtengenezea zengwe mtu ambaye hata hausiki, yaani nyege za watu wengine zianze kuchafua sifa ya mtu mwingine.

KUWENI NA KIASI BASI KATIKA TUHUMA ZENU, HESHIMUNI WATU, ATA KAMA UMEPEWA HELA UMCHAFUE SIYO KWA STYLE HIYO
 
Wajibu wa udom kutoa taarifa za tanzia marehemu alikufaje hyo kazi ni ya mamlaka nyingine kisiwe kigezo cha kukishushia weledi chuo
 
UDOM ni chuo kichanga kilichojaa vituko vya maadili mabovu. Maadili mabovu kwa waalimu na watumishi wengine hadi kufikia VC na DVC wake kuwa ni watu wa hovyo hovyo tu! Kumefanyika mabadiliko ya uongozi na huyu anayeitwa Kusiluka ndo VC wa chuo aliyeletwa ili chuo kibadilike. Ni wazi sasa VC mpya naye ni hovyo tu! Tunaambiwa hata alikotoka hakuna kitu alichofanya Zaidi ya kujikomba.

Ajali ya Dodoma ni ya naibu waziri. Huyu kwa cheo ni mtu mdogo sana ukilinganisha na VC wa Chuo kikuu anayejitambua, kwa uelewa na heshima! Lakini VC anaamua kutoa taarifa ya mtu mwingine ili kuinua kituko tusahau mambo ya naibu waziri! Ni ushenzi tu, kwamba mwanafunzi alifia Uchira! Eti hizo taarifa zilifika chuoni kupitia ndugu wasiotajwa majina.

Huyu naibu waziri analindwa kwa uzembe wake. Hii inaonesha wazi kwamba viongozi wetu ni wa hovyo kupindukia na tunalazimishwa tuwaone ni wazuri. Haka ni ka naibu waziri kanalindwa hivyo je, rais anafanya mangapi yanafukiwa tuone ni malaika?

Polisi ni wadhaifu kwa wanasiasa, wameunda ajali yao na gari lao. Wanafunzi na staff wa UDOM wote wanafahamu kilichotokea. Nani atatueleza kwamba nchi hii ina maadili yoyote ya kuigwa kwa vijana? Sasa tunaelewa kwa nini watu maofisini ni wezi na wapo tu! Watu ni wazembe bado tunawachekea, eti naibu waziri! Nyooooro!
Umeongea kwa uchungu mkubwa sana,pole mkuu,dunia ni tambala bovu
 
Nchi imeoza tangu ikulu,Raisi mwenyewe ni kilaza kabisa,hqna hatq hadhi na elimu ya kuwa mkuu wa wilaya,Leo eti ndio rais wa nchi,!!
Leo kila kona ni wizi,kwa mie jambo Moja linaloniuma,
Ni kuona ujinga unaofanyika hatq kwenye sekta ya usalama wa nchi,
Pale kambi ya jwtz lugalo,Mkoa wa Dar,ardhi,fence ya kambi inamegwa ili kujenga flem za kukodisha,na Sina shqka ni mradi wa wakubwa huko jeshini,unajenga flem za biashara eneo la jeshi,Sasa usalama wa nchi upo wapi,hapo ni rahisi kudukuliwa,hatq kama lengo ni kuongeza vyanzo vya mapato,kuwaza flem,ni akil ndogo sana,badala ya kuwaza viwanda vya magsri,bunduki,risasi,
Mambo ya IT,drones,large scale irrigation schemes,mbwa wa jeshini wanawaza kupata vifedha kupitia flem za kukodisha!!!
Siyo kila unachokiona ukadhani kipo kama unavyofikiria vingine acha vibaki kama vilivyo mpaka kufikia hapo wao si wapuuzi kiasi hicho. Pia kuwa kauli njema kwa mkuu wako wa nchi.
 
Dodoma kumejaa uznz
Hapo kama waznz wanateteana

Ova
 
Nchi imeoza tangu ikulu,Raisi mwenyewe ni kilaza kabisa,hqna hatq hadhi na elimu ya kuwa mkuu wa wilaya,Leo eti ndio rais wa nchi,!!
Leo kila kona ni wizi,kwa mie jambo Moja linaloniuma,
Ni kuona ujinga unaofanyika hatq kwenye sekta ya usalama wa nchi,
Pale kambi ya jwtz lugalo,Mkoa wa Dar,ardhi,fence ya kambi inamegwa ili kujenga flem za kukodisha,na Sina shqka ni mradi wa wakubwa huko jeshini,unajenga flem za biashara eneo la jeshi,Sasa usalama wa nchi upo wapi,hapo ni rahisi kudukuliwa,hatq kama lengo ni kuongeza vyanzo vya mapato,kuwaza flem,ni akil ndogo sana,badala ya kuwaza viwanda vya magsri,bunduki,risasi,
Mambo ya IT,drones,large scale irrigation schemes,mbwa wa jeshini wanawaza kupata vifedha kupitia flem za kukodisha!!!
je mamako anafaa kuwa kiongozi wa nini km ameshindwa kukulea wewe inavyotakiwa? Mshenzi huna adabu.
 
UDOM ni chuo kichanga kilichojaa vituko vya maadili mabovu. Maadili mabovu kwa waalimu na watumishi wengine hadi kufikia VC na DVC wake kuwa ni watu wa hovyo hovyo tu! Kumefanyika mabadiliko ya uongozi na huyu anayeitwa Kusiluka ndo VC wa chuo aliyeletwa ili chuo kibadilike. Ni wazi sasa VC mpya naye ni hovyo tu! Tunaambiwa hata alikotoka hakuna kitu alichofanya Zaidi ya kujikomba.

Ajali ya Dodoma ni ya naibu waziri. Huyu kwa cheo ni mtu mdogo sana ukilinganisha na VC wa Chuo kikuu anayejitambua, kwa uelewa na heshima! Lakini VC anaamua kutoa taarifa ya mtu mwingine ili kuinua kituko tusahau mambo ya naibu waziri! Ni ushenzi tu, kwamba mwanafunzi alifia Uchira! Eti hizo taarifa zilifika chuoni kupitia ndugu wasiotajwa majina.

Huyu naibu waziri analindwa kwa uzembe wake. Hii inaonesha wazi kwamba viongozi wetu ni wa hovyo kupindukia na tunalazimishwa tuwaone ni wazuri. Haka ni ka naibu waziri kanalindwa hivyo je, rais anafanya mangapi yanafukiwa tuone ni malaika?

Polisi ni wadhaifu kwa wanasiasa, wameunda ajali yao na gari lao. Wanafunzi na staff wa UDOM wote wanafahamu kilichotokea. Nani atatueleza kwamba nchi hii ina maadili yoyote ya kuigwa kwa vijana? Sasa tunaelewa kwa nini watu maofisini ni wezi na wapo tu! Watu ni wazembe bado tunawachekea, eti naibu waziri! Nyooooro!
nchi hii ni ya ajabu sana, watu wanalindana vya hatari. hapo familia ya mwanafunzi itakosa haki zao kwa taarifa ya uongo ya polisi
sijui ni lini tutapata rais hii nchi
 
Pale kambi ya jwtz lugalo,Mkoa wa Dar,ardhi,fence ya kambi inamegwa ili kujenga flem za kukodisha,na Sina shqka ni mradi wa wakubwa huko jeshini,unajenga flem za biashara eneo la jeshi,Sasa usalama wa nchi upo wapi,hapo ni rahisi kudukuliwa,hatq kama lengo ni kuongeza vyanzo vya mapato,kuwaza flem,ni akil ndogo sana,badala ya kuwaza viwanda vya magsri,bunduki,risasi,
Mkuu naomba kwa heshima na taadhima anzisha uzi kuhusu ili swala Fremu za Lugalo... Ni aibu ya karne hii.. Uchafuzi wa mazingira pamoja na uharibifu wa uoro wa asili pale Lugalo....

Zilisitishwa lakini naona fitna imepigwa sasa zinarejea kwa kasi....
 
Back
Top Bottom