mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Watasema walichelewa kujua kutoka kwa ndugu asiye na jinaWhy Sasa wasisambaze picha na jina hao wanafunzi ili utata uishe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watasema walichelewa kujua kutoka kwa ndugu asiye na jinaWhy Sasa wasisambaze picha na jina hao wanafunzi ili utata uishe.
Unapoandika chochote kumhusu Rais(mkuu wa nchi) kuwa na nidhamu.Nchi imeoza tangu ikulu,Raisi mwenyewe ni kilaza kabisa,hqna hatq hadhi na elimu ya kuwa mkuu wa wilaya,Leo eti ndio rais wa nchi,!!
Leo kila kona ni wizi,kwa mie jambo Moja linaloniuma,
Ni kuona ujinga unaofanyika hatq kwenye sekta ya usalama wa nchi,
Pale kambi ya jwtz lugalo,Mkoa wa Dar,ardhi,fence ya kambi inamegwa ili kujenga flem za kukodisha,na Sina shqka ni mradi wa wakubwa huko jeshini,unajenga flem za biashara eneo la jeshi,Sasa usalama wa nchi upo wapi,hapo ni rahisi kudukuliwa,hatq kama lengo ni kuongeza vyanzo vya mapato,kuwaza flem,ni akil ndogo sana,badala ya kuwaza viwanda vya magsri,bunduki,risasi,
Mambo ya IT,drones,large scale irrigation schemes,mbwa wa jeshini wanawaza kupata vifedha kupitia flem za kukodisha!!!
Yaaani unathubutu kutaka raisi namna hiyo kweli??Nchi imeoza tangu ikulu,Raisi mwenyewe ni kilaza kabisa,hqna hatq hadhi na elimu ya kuwa mkuu wa wilaya,Leo eti ndio rais wa nchi,!!
Leo kila kona ni wizi,kwa mie jambo Moja linaloniuma,
Ni kuona ujinga unaofanyika hatq kwenye sekta ya usalama wa nchi,
Pale kambi ya jwtz lugalo,Mkoa wa Dar,ardhi,fence ya kambi inamegwa ili kujenga flem za kukodisha,na Sina shqka ni mradi wa wakubwa huko jeshini,unajenga flem za biashara eneo la jeshi,Sasa usalama wa nchi upo wapi,hapo ni rahisi kudukuliwa,hatq kama lengo ni kuongeza vyanzo vya mapato,kuwaza flem,ni akil ndogo sana,badala ya kuwaza viwanda vya magsri,bunduki,risasi,
Mambo ya IT,drones,large scale irrigation schemes,mbwa wa jeshini wanawaza kupata vifedha kupitia flem za kukodisha!!!
Kwani wazazi wa binti wanasemaje?? Mana msichafue watu kwa sababu ya tetesi za kigogo tuUDOM ni chuo kichanga kilichojaa vituko vya maadili mabovu. Maadili mabovu kwa waalimu na watumishi wengine hadi kufikia VC na DVC wake kuwa ni watu wa hovyo hovyo tu! Kumefanyika mabadiliko ya uongozi na huyu anayeitwa Kusiluka ndo VC wa chuo aliyeletwa ili chuo kibadilike. Ni wazi sasa VC mpya naye ni hovyo tu! Tunaambiwa hata alikotoka hakuna kitu alichofanya Zaidi ya kujikomba.
Ajali ya Dodoma ni ya naibu waziri. Huyu kwa cheo ni mtu mdogo sana ukilinganisha na VC wa Chuo kikuu anayejitambua, kwa uelewa na heshima! Lakini VC anaamua kutoa taarifa ya mtu mwingine ili kuinua kituko tusahau mambo ya naibu waziri! Ni ushenzi tu, kwamba mwanafunzi alifia Uchira! Eti hizo taarifa zilifika chuoni kupitia ndugu wasiotajwa majina.
Huyu naibu waziri analindwa kwa uzembe wake. Hii inaonesha wazi kwamba viongozi wetu ni wa hovyo kupindukia na tunalazimishwa tuwaone ni wazuri. Haka ni ka naibu waziri kanalindwa hivyo je, rais anafanya mangapi yanafukiwa tuone ni malaika?
Polisi ni wadhaifu kwa wanasiasa, wameunda ajali yao na gari lao. Wanafunzi na staff wa UDOM wote wanafahamu kilichotokea. Nani atatueleza kwamba nchi hii ina maadili yoyote ya kuigwa kwa vijana? Sasa tunaelewa kwa nini watu maofisini ni wezi na wapo tu! Watu ni wazembe bado tunawachekea, eti naibu waziri! Nyooooro!
Kwani Mkuu wa wilaya anatakiwa awe na elimu kiwango gani ambayo Mhe Rais Samia hana?? Mana yeye ana Master's degree.Nchi imeoza tangu ikulu,Raisi mwenyewe ni kilaza kabisa,hqna hatq hadhi na elimu ya kuwa mkuu wa wilaya,Leo eti ndio rais wa nchi,!!
Leo kila kona ni wizi,kwa mie jambo Moja linaloniuma,
Ni kuona ujinga unaofanyika hatq kwenye sekta ya usalama wa nchi,
Pale kambi ya jwtz lugalo,Mkoa wa Dar,ardhi,fence ya kambi inamegwa ili kujenga flem za kukodisha,na Sina shqka ni mradi wa wakubwa huko jeshini,unajenga flem za biashara eneo la jeshi,Sasa usalama wa nchi upo wapi,hapo ni rahisi kudukuliwa,hatq kama lengo ni kuongeza vyanzo vya mapato,kuwaza flem,ni akil ndogo sana,badala ya kuwaza viwanda vya magsri,bunduki,risasi,
Mambo ya IT,drones,large scale irrigation schemes,mbwa wa jeshini wanawaza kupata vifedha kupitia flem za kukodisha!!!
Sasa Dogo unaloloma nini? Wewe kama ukweli unaujua si uuweke hapa JF "Where We Dare to Talk Openly"? Au ulisoma MEMKWA nini?UDOM ni chuo kichanga kilichojaa vituko vya maadili mabovu. Maadili mabovu kwa waalimu na watumishi wengine hadi kufikia VC na DVC wake kuwa ni watu wa hovyo hovyo tu! Kumefanyika mabadiliko ya uongozi na huyu anayeitwa Kusiluka ndo VC wa chuo aliyeletwa ili chuo kibadilike. Ni wazi sasa VC mpya naye ni hovyo tu! Tunaambiwa hata alikotoka hakuna kitu alichofanya Zaidi ya kujikomba.
Ajali ya Dodoma ni ya naibu waziri. Huyu kwa cheo ni mtu mdogo sana ukilinganisha na VC wa Chuo kikuu anayejitambua, kwa uelewa na heshima! Lakini VC anaamua kutoa taarifa ya mtu mwingine ili kuinua kituko tusahau mambo ya naibu waziri! Ni ushenzi tu, kwamba mwanafunzi alifia Uchira! Eti hizo taarifa zilifika chuoni kupitia ndugu wasiotajwa majina.
Huyu naibu waziri analindwa kwa uzembe wake. Hii inaonesha wazi kwamba viongozi wetu ni wa hovyo kupindukia na tunalazimishwa tuwaone ni wazuri. Haka ni ka naibu waziri kanalindwa hivyo je, rais anafanya mangapi yanafukiwa tuone ni malaika?
Polisi ni wadhaifu kwa wanasiasa, wameunda ajali yao na gari lao. Wanafunzi na staff wa UDOM wote wanafahamu kilichotokea. Nani atatueleza kwamba nchi hii ina maadili yoyote ya kuigwa kwa vijana? Sasa tunaelewa kwa nini watu maofisini ni wezi na wapo tu! Watu ni wazembe bado tunawachekea, eti naibu waziri! Nyooooro!
SI uwafuate Sasa huko udom sio unaanzia kupiga kelele tu hapa jfUDOM ni chuo kichanga kilichojaa vituko vya maadili mabovu. Maadili mabovu kwa waalimu na watumishi wengine hadi kufikia VC na DVC wake kuwa ni watu wa hovyo hovyo tu! Kumefanyika mabadiliko ya uongozi na huyu anayeitwa Kusiluka ndo VC wa chuo aliyeletwa ili chuo kibadilike. Ni wazi sasa VC mpya naye ni hovyo tu! Tunaambiwa hata alikotoka hakuna kitu alichofanya Zaidi ya kujikomba.
Ajali ya Dodoma ni ya naibu waziri. Huyu kwa cheo ni mtu mdogo sana ukilinganisha na VC wa Chuo kikuu anayejitambua, kwa uelewa na heshima! Lakini VC anaamua kutoa taarifa ya mtu mwingine ili kuinua kituko tusahau mambo ya naibu waziri! Ni ushenzi tu, kwamba mwanafunzi alifia Uchira! Eti hizo taarifa zilifika chuoni kupitia ndugu wasiotajwa majina.
Huyu naibu waziri analindwa kwa uzembe wake. Hii inaonesha wazi kwamba viongozi wetu ni wa hovyo kupindukia na tunalazimishwa tuwaone ni wazuri. Haka ni ka naibu waziri kanalindwa hivyo je, rais anafanya mangapi yanafukiwa tuone ni malaika?
Polisi ni wadhaifu kwa wanasiasa, wameunda ajali yao na gari lao. Wanafunzi na staff wa UDOM wote wanafahamu kilichotokea. Nani atatueleza kwamba nchi hii ina maadili yoyote ya kuigwa kwa vijana? Sasa tunaelewa kwa nini watu maofisini ni wezi na wapo tu! Watu ni wazembe bado tunawachekea, eti naibu waziri! Nyooooro!
Umeongea kwa uchungu mkubwa sana,pole mkuu,dunia ni tambala bovuUDOM ni chuo kichanga kilichojaa vituko vya maadili mabovu. Maadili mabovu kwa waalimu na watumishi wengine hadi kufikia VC na DVC wake kuwa ni watu wa hovyo hovyo tu! Kumefanyika mabadiliko ya uongozi na huyu anayeitwa Kusiluka ndo VC wa chuo aliyeletwa ili chuo kibadilike. Ni wazi sasa VC mpya naye ni hovyo tu! Tunaambiwa hata alikotoka hakuna kitu alichofanya Zaidi ya kujikomba.
Ajali ya Dodoma ni ya naibu waziri. Huyu kwa cheo ni mtu mdogo sana ukilinganisha na VC wa Chuo kikuu anayejitambua, kwa uelewa na heshima! Lakini VC anaamua kutoa taarifa ya mtu mwingine ili kuinua kituko tusahau mambo ya naibu waziri! Ni ushenzi tu, kwamba mwanafunzi alifia Uchira! Eti hizo taarifa zilifika chuoni kupitia ndugu wasiotajwa majina.
Huyu naibu waziri analindwa kwa uzembe wake. Hii inaonesha wazi kwamba viongozi wetu ni wa hovyo kupindukia na tunalazimishwa tuwaone ni wazuri. Haka ni ka naibu waziri kanalindwa hivyo je, rais anafanya mangapi yanafukiwa tuone ni malaika?
Polisi ni wadhaifu kwa wanasiasa, wameunda ajali yao na gari lao. Wanafunzi na staff wa UDOM wote wanafahamu kilichotokea. Nani atatueleza kwamba nchi hii ina maadili yoyote ya kuigwa kwa vijana? Sasa tunaelewa kwa nini watu maofisini ni wezi na wapo tu! Watu ni wazembe bado tunawachekea, eti naibu waziri! Nyooooro!
Siyo kila unachokiona ukadhani kipo kama unavyofikiria vingine acha vibaki kama vilivyo mpaka kufikia hapo wao si wapuuzi kiasi hicho. Pia kuwa kauli njema kwa mkuu wako wa nchi.Nchi imeoza tangu ikulu,Raisi mwenyewe ni kilaza kabisa,hqna hatq hadhi na elimu ya kuwa mkuu wa wilaya,Leo eti ndio rais wa nchi,!!
Leo kila kona ni wizi,kwa mie jambo Moja linaloniuma,
Ni kuona ujinga unaofanyika hatq kwenye sekta ya usalama wa nchi,
Pale kambi ya jwtz lugalo,Mkoa wa Dar,ardhi,fence ya kambi inamegwa ili kujenga flem za kukodisha,na Sina shqka ni mradi wa wakubwa huko jeshini,unajenga flem za biashara eneo la jeshi,Sasa usalama wa nchi upo wapi,hapo ni rahisi kudukuliwa,hatq kama lengo ni kuongeza vyanzo vya mapato,kuwaza flem,ni akil ndogo sana,badala ya kuwaza viwanda vya magsri,bunduki,risasi,
Mambo ya IT,drones,large scale irrigation schemes,mbwa wa jeshini wanawaza kupata vifedha kupitia flem za kukodisha!!!
je mamako anafaa kuwa kiongozi wa nini km ameshindwa kukulea wewe inavyotakiwa? Mshenzi huna adabu.Nchi imeoza tangu ikulu,Raisi mwenyewe ni kilaza kabisa,hqna hatq hadhi na elimu ya kuwa mkuu wa wilaya,Leo eti ndio rais wa nchi,!!
Leo kila kona ni wizi,kwa mie jambo Moja linaloniuma,
Ni kuona ujinga unaofanyika hatq kwenye sekta ya usalama wa nchi,
Pale kambi ya jwtz lugalo,Mkoa wa Dar,ardhi,fence ya kambi inamegwa ili kujenga flem za kukodisha,na Sina shqka ni mradi wa wakubwa huko jeshini,unajenga flem za biashara eneo la jeshi,Sasa usalama wa nchi upo wapi,hapo ni rahisi kudukuliwa,hatq kama lengo ni kuongeza vyanzo vya mapato,kuwaza flem,ni akil ndogo sana,badala ya kuwaza viwanda vya magsri,bunduki,risasi,
Mambo ya IT,drones,large scale irrigation schemes,mbwa wa jeshini wanawaza kupata vifedha kupitia flem za kukodisha!!!
nchi hii ni ya ajabu sana, watu wanalindana vya hatari. hapo familia ya mwanafunzi itakosa haki zao kwa taarifa ya uongo ya polisiUDOM ni chuo kichanga kilichojaa vituko vya maadili mabovu. Maadili mabovu kwa waalimu na watumishi wengine hadi kufikia VC na DVC wake kuwa ni watu wa hovyo hovyo tu! Kumefanyika mabadiliko ya uongozi na huyu anayeitwa Kusiluka ndo VC wa chuo aliyeletwa ili chuo kibadilike. Ni wazi sasa VC mpya naye ni hovyo tu! Tunaambiwa hata alikotoka hakuna kitu alichofanya Zaidi ya kujikomba.
Ajali ya Dodoma ni ya naibu waziri. Huyu kwa cheo ni mtu mdogo sana ukilinganisha na VC wa Chuo kikuu anayejitambua, kwa uelewa na heshima! Lakini VC anaamua kutoa taarifa ya mtu mwingine ili kuinua kituko tusahau mambo ya naibu waziri! Ni ushenzi tu, kwamba mwanafunzi alifia Uchira! Eti hizo taarifa zilifika chuoni kupitia ndugu wasiotajwa majina.
Huyu naibu waziri analindwa kwa uzembe wake. Hii inaonesha wazi kwamba viongozi wetu ni wa hovyo kupindukia na tunalazimishwa tuwaone ni wazuri. Haka ni ka naibu waziri kanalindwa hivyo je, rais anafanya mangapi yanafukiwa tuone ni malaika?
Polisi ni wadhaifu kwa wanasiasa, wameunda ajali yao na gari lao. Wanafunzi na staff wa UDOM wote wanafahamu kilichotokea. Nani atatueleza kwamba nchi hii ina maadili yoyote ya kuigwa kwa vijana? Sasa tunaelewa kwa nini watu maofisini ni wezi na wapo tu! Watu ni wazembe bado tunawachekea, eti naibu waziri! Nyooooro!
kafiche huo ujinga wako. Hujui hata DVC ni nani? DVC na idara ni wapi na wapi.DVC ndio nani? Maana sidhani Naibu Makamu Mkuu wa Chuo bila idara
Mkuu naomba kwa heshima na taadhima anzisha uzi kuhusu ili swala Fremu za Lugalo... Ni aibu ya karne hii.. Uchafuzi wa mazingira pamoja na uharibifu wa uoro wa asili pale Lugalo....Pale kambi ya jwtz lugalo,Mkoa wa Dar,ardhi,fence ya kambi inamegwa ili kujenga flem za kukodisha,na Sina shqka ni mradi wa wakubwa huko jeshini,unajenga flem za biashara eneo la jeshi,Sasa usalama wa nchi upo wapi,hapo ni rahisi kudukuliwa,hatq kama lengo ni kuongeza vyanzo vya mapato,kuwaza flem,ni akil ndogo sana,badala ya kuwaza viwanda vya magsri,bunduki,risasi,