Kifo cha Mwanafunzi UDOM kinachunguzwa kwa ajili ya nini?

Kifo cha Mwanafunzi UDOM kinachunguzwa kwa ajili ya nini?

Kwa hapa Tanzania ukiukwaji wa maadili ya kingono siyo ishu.

Mkapa alikuwa na mchepuko Ritha Mlaki ambaye alitamba sana enzi hizo. Mkapa hakufanywa kitu

Kikwete akichepuka na akina Vicky Kamata, Sophia Mjema, mtoto wa Zakhia Meghji, na wengine wengi. Kikwete hakufanywa kitu ..

Magufuli akiwa waziri akichepuka na mwanafunzi wa UDSM mpk akampa nyumba ya serikali. Akiwa rais kamjengea mpk hotel. Hakuishia hapo tuna hadithi yake na mrembo Angela. Magufuli hakufanywa kitu.

Hapa nimegusa majina ya marais tu. Sijashuka kwa hawa wateule na wabeba mikoba wao.

Mwacheni Ndugange atumie hela na nguvu zake za kiume kwa ustawi wa maisha yake.
Hauo uliyoandika ukiombwa ushahidi utatoa?
 
Kwa hapa Tanzania ukiukwaji wa maadili ya kingono siyo ishu.

Mkapa alikuwa na mchepuko Ritha Mlaki ambaye alitamba sana enzi hizo. Mkapa hakufanywa kitu

Kikwete akichepuka na akina Vicky Kamata, Sophia Mjema, mtoto wa Zakhia Meghji, na wengine wengi. Kikwete hakufanywa kitu ..

Magufuli akiwa waziri akichepuka na mwanafunzi wa UDSM mpk akampa nyumba ya serikali. Akiwa rais kamjengea mpk hotel. Hakuishia hapo tuna hadithi yake na mrembo Angela. Magufuli hakufanywa kitu.

Hapa nimegusa majina ya marais tu. Sijashuka kwa hawa wateule na wabeba mikoba wao.

Mwacheni Ndugange atumie hela na nguvu zake za kiume kwa ustawi wa maisha yake.
Sexless: Nifanyeje nihongwe magari na majumba?
 
Waziri Ni mtu mzima!
Huyo Nasra Ni mtu mzima!

Badala tujadili namna ya kuwaondoa Hawa mafisadi walioonyeshwa na CAG ,tunapambana na week politics!

Hapa, naona mzee wa propaganda katuhamisha kutoka kwa CAG ,na katuweka huku.

Je,Kuna Sheria inayomkataza waziri kuchepuka?

Okay, kimechunguzwa imekutwa Ni kweli, what's next? Sisi Kama Taifa inatusaidia nini?
Jamaa anatakiwa kulipa gari la serikali aliloliharibu. Huo ndio uwajibikaji.
 
Kwa hapa Tanzania ukiukwaji wa maadili ya kingono siyo ishu.

Mkapa alikuwa na mchepuko Ritha Mlaki ambaye alitamba sana enzi hizo. Mkapa hakufanywa kitu

Kikwete akichepuka na akina Vicky Kamata, Sophia Mjema, mtoto wa Zakhia Meghji, na wengine wengi. Kikwete hakufanywa kitu ..

Magufuli akiwa waziri akichepuka na mwanafunzi wa UDSM mpk akampa nyumba ya serikali. Akiwa rais kamjengea mpk hotel. Hakuishia hapo tuna hadithi yake na mrembo Angela. Magufuli hakufanywa kitu.

Hapa nimegusa majina ya marais tu. Sijashuka kwa hawa wateule na wabeba mikoba wao.

Mwacheni Ndugange atumie hela na nguvu zake za kiume kwa ustawi wa maisha yake.
Na nyepesi nyepesi huyo 'hotel' kesharudi kwa jamaa yake Wa kitambo na maisha yanaendelea. Jamaa alipitia wakati mgumu pressure full kisukari. Ila Mungu Huyu [emoji122][emoji122]jamaa yuko safi sasa hela imerudi kwa kasi afya safi.
 
Waziri Ni mtu mzima!
Huyo Nasra Ni mtu mzima!

Badala tujadili namna ya kuwaondoa Hawa mafisadi walioonyeshwa na CAG ,tunapambana na week politics!

Hapa, naona mzee wa propaganda katuhamisha kutoka kwa CAG ,na katuweka huku.

Je,Kuna Sheria inayomkataza waziri kuchepuka?

Okay, kimechunguzwa imekutwa Ni kweli, what's next? Sisi Kama Taifa inatusaidia nini?
Hivi wewe ni mtoto, mbona hutembei "uchi wa mnyama" na ukitembea hivyo watu wataacha kukushangaa
 
Waziri Ni mtu mzima!
Huyo Nasra Ni mtu mzima!

Badala tujadili namna ya kuwaondoa Hawa mafisadi walioonyeshwa na CAG ,tunapambana na week politics!

Hapa, naona mzee wa propaganda katuhamisha kutoka kwa CAG ,na katuweka huku.

Je,Kuna Sheria inayomkataza waziri kuchepuka?

Okay, kimechunguzwa imekutwa Ni kweli, what's next? Sisi Kama Taifa inatusaidia nini?
Je? Unajua kuwa kiongozi ni kioo Cha jamii?

Je? Unafahamu kuwa kiongozi wa umma anapaswa kuwa mwadilifu?!

Kama Kiongozi wa umma ana saliti ndoa yake kwa kuvhepuka, unadhani kiongozi huyo atashindwa kufanya ubadhirifu wa fedha za umma ili amuhudumie mchepuko?!!

Uzinzi na uasharati ni chanzo kikuu Cha ukosefu wa maadili ktk maofisi ya umma na matokeo yake ni wizi na ufujaji wa fedha za umma.
 
Dunia simama ili nishuke, middle class wa kitanzania ni mazuzu, yaani binadamu mwenzetu amekufa kwenye mazingira tatanishi eti tuache kuongelea hili na maisha yaendelee, kweli humu JF kuna watu wenye ukatili wa hali ya juu, aliyetoa mada hii honest kwangu nakuona ni mtu katili na bora nisisome tena mchango wako hapa JF

Kama familia yake Iko kimya, ndugu na jamaa wapo kimya, nyie mnapiga kelele za nini?
 
Je? Unajua kuwa kiongozi ni kioo Cha jamii?

Je? Unafahamu kuwa kiongozi wa umma anapaswa kuwa mwadilifu?!

Kama Kiongozi wa umma ana saliti ndoa yake kwa kuvhepuka, unadhani kiongozi huyo atashindwa kufanya ubadhirifu wa fedha za umma ili amuhudumie mchepuko?!!

Uzinzi na uasharati ni chanzo kikuu Cha ukosefu wa maadili ktk maofisi ya umma na matokeo yake ni wizi na ufujaji wa fedha za umma.


Unamzungumzia kiongozi wa Bara Gani? Africa au ulaya
 
Humu ndio maana kuna majukwaa, kila mtu anaunga bando lake kwa gharama zake na kwa muda wake pia anaingia humu kwa hiari yake kwa hiyo tusipangiane habari za kufuatilia... kila nyuzi ina kichwa cha habari ukiona heading ya nyuzi haina tija kwako huna haja ya kuifungua na kitendo cha kushawishi wengine waone haina tija kwao kwa mtizamo wako ni UZUZU; Mwisho nadhani huyo binti angekuwa mke, mtoto au dada yako sidhani kama ungefungua nyuzi ya kipuuzi kama hii.!
 
Waziri Ni mtu mzima!

Huyo Nasra Ni mtu mzima!

Badala tujadili namna ya kuwaondoa Hawa mafisadi walioonyeshwa na CAG, tunapambana na weak politics!

Hapa, naona mzee wa propaganda katuhamisha kutoka kwa CAG, na katuweka huku.

Je,Kuna Sheria inayomkataza waziri kuchepuka?

Okay, kimechunguzwa imekutwa ni kweli, what's next? Sisi Kama Taifa inatusaidia nini?
Watanzania wanataka tu ukweli. Hakuna kingine.
 
Mi mwenyewe kiukweli naona Kufatilia Mjadala wa Huyo Naibu waziri na huyo Mchepuko wake ni kukosa Akili maan haitusaidii chochote,

maan kam mshahara wa Dhambi yao tayri wameshaupata sasa sisi kinachotuuma ni nini ? Au hat hao wanaoshupalia hii inshu kwan wao hawana Michepuko ?
Ukifa wewe na ukazikwa kwenye kigunia bado tutapiga kelele, why?
 
Back
Top Bottom