Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Ukifa wewe na ukazikwa kwenye kigunia bado tutapiga kelele, why? hamna Akili
Watakaofanya hivyo watakuw sio wazima kichwani maana Hakuna atakayeishi Duniani Milele,Ukifa wewe na ukazikwa kwenye kigunia bado tutapiga kelele, why?
Hat hivyo hakuna faida yoyote anayoipata mtu kwa kuishi Muda mrefu hapa Duniani kwahyo hoja yako haina Mashiko mkuu kwani kwa uelewa wako Kati ya waliokufa Na sisi tuliopo Hai ni yupi anafaidi sana na Yupi anataabika Sana ?