appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,262
- 2,184
1.Mr Nice
kikulacho ,fagilia na zingine ndio histori inayomuumiza kichwa kila akiwaza anatamani kulia ila ndio basi maisha hayana rewind
2.Daz Baba
mara ya mwisho alichanganyikiwa kwa mawazo nadhani alikua anakumbuka enzi zake wazee wa zamani waliziita zilipendwa enzi za wife ,namba nane na sista duu masikini daz mwalimu mziki hauna adabu umemfanya vibaya
3.Q Chief
mkapa aliwai kuumpa gari kwa jisonga lake la ninachokipata bwana mkubwa alitingisha sana na nyimbo kama mama. na colabo kali kama my boo pamoja na jafarai
4. Jafari
my boo.niko bize ni ngoma kali katika kila sikio la mpenda mziki lakini sio sasa hiyo ilikua zamani sasa bwana mkubwa kaamua kwenda kuosha magari kwenye car wash yake mtaani
6. TID
jeuri dharau na utovu wa nidhamu ndio unamuangusha huyu mzee kigogo bitter aliwai kumtukana mtangazaji wa clouds fm kua ni shoga usinipigie simu wewe ------ wapigie simu ------- wenzio hio ilikua redioni tena hewani lakini mnyama kama jina lake masikio yangu hayakusikia akiomba radhi wala nn maisha yakaendelea zeze na siamini zilimtengenezea heshima hii anayoharibu leo
7. Ray C
alifikia kipindi wakati wakawa wanaweka ushindani kati yake na malkia wa muziki wa rnb tanzania mamaa sampuli kiuno chake sina hakika kama kinafanya kazi kama mwanzo pole yake
8. Jay Moe
nampenda sana huyu jamaa lakini itabidi niseme ukweli tu japo una kipaji lakini workdone is equal to ziro mziki haukutaki bahati inakukimbia zamani tulisikia mvua na jua maisha ya boarding na unataka dem na nk
9. Man Dojo na Domo Kaya
kweli ilikua hiphop banjo kwa sound kali kama za dingi, msela na nk now ni historia sijui mko wapi
10. Chid Benz
game lilibuma mpaka akawa anatumia ngada kalikiti kupoteteze mawazo wakati aliuchezea kwa anasa na dharau pole sana chuma maisha hayana adabu
kikulacho ,fagilia na zingine ndio histori inayomuumiza kichwa kila akiwaza anatamani kulia ila ndio basi maisha hayana rewind
2.Daz Baba
mara ya mwisho alichanganyikiwa kwa mawazo nadhani alikua anakumbuka enzi zake wazee wa zamani waliziita zilipendwa enzi za wife ,namba nane na sista duu masikini daz mwalimu mziki hauna adabu umemfanya vibaya
3.Q Chief
mkapa aliwai kuumpa gari kwa jisonga lake la ninachokipata bwana mkubwa alitingisha sana na nyimbo kama mama. na colabo kali kama my boo pamoja na jafarai
4. Jafari
my boo.niko bize ni ngoma kali katika kila sikio la mpenda mziki lakini sio sasa hiyo ilikua zamani sasa bwana mkubwa kaamua kwenda kuosha magari kwenye car wash yake mtaani
6. TID
jeuri dharau na utovu wa nidhamu ndio unamuangusha huyu mzee kigogo bitter aliwai kumtukana mtangazaji wa clouds fm kua ni shoga usinipigie simu wewe ------ wapigie simu ------- wenzio hio ilikua redioni tena hewani lakini mnyama kama jina lake masikio yangu hayakusikia akiomba radhi wala nn maisha yakaendelea zeze na siamini zilimtengenezea heshima hii anayoharibu leo
7. Ray C
alifikia kipindi wakati wakawa wanaweka ushindani kati yake na malkia wa muziki wa rnb tanzania mamaa sampuli kiuno chake sina hakika kama kinafanya kazi kama mwanzo pole yake
8. Jay Moe
nampenda sana huyu jamaa lakini itabidi niseme ukweli tu japo una kipaji lakini workdone is equal to ziro mziki haukutaki bahati inakukimbia zamani tulisikia mvua na jua maisha ya boarding na unataka dem na nk
9. Man Dojo na Domo Kaya
kweli ilikua hiphop banjo kwa sound kali kama za dingi, msela na nk now ni historia sijui mko wapi
10. Chid Benz
game lilibuma mpaka akawa anatumia ngada kalikiti kupoteteze mawazo wakati aliuchezea kwa anasa na dharau pole sana chuma maisha hayana adabu