kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
Tusikubali kuwa historia kabla yawakati... Kabla hata yauzee haujaja' tumeshasema a ah walikuwaga. (In jide's voice..)
Jide huwa ana mashairi ya kitoto sana ila kwa huo wimbo na hasa hayo maneno uliyonukuu yanafikirisha hata watu wazima. Hapo ameimba kwa kweli