Kifo cha pesa Beach Kidimbwi

Yaani tajirj aende kidimbwi...acha ufala. Tajiri wannafanya yale wanayofanya waarabu kaka....kwenye boti lako unawakaribisha warembo unawapa mbwa wako wagegegdane nao huku wee unagonga monde yako tartibu
Tamu ni lesbian orgy. Mabinti watano hivi,mimi nipo pembeni na VAT 69 yangu maana hii zaidi ya nusu karne ya kutafuta kujenga himaya imenimaliza nguvu,sasa ni kuangalia tuu.
 
Kidimbwi ni the best place to party ....nikija Dar Kidimbwi Lazima
 
Kidimbwi imtokana na Tips mikocheni, na sasa wamefungua nyingine Tegeta kibaoni inaitwa Kiota,
Wamiliki baadhi ni watoto wa viongozi wastaafu,
Na ndiyo maana nakuambi hivyo ni vijiwe vya kurasimisha hela ambazo zimepatikana kwa rushwa, kuuza madawa ya kulevya au uharamia. Maana akisema kauza bia moja mil 5 na kauza bia 50, na akalipa kodi hiyo hela inakuwa halali tayari. Na ndiyo masna FIU, polisi, DCA, PCCB na TRA wafanye uchunguzi.
 
Hapana..ni hivi;pale kidimbwi na maeneo dizain ile mademu hawapo Kwa ajili ya kuoendana,wapo kufanya biashara na wanachouza ni k. Na hiyo k mtu atataka 200-300k one night stand..Sifanyi huo ujinga
Mbususu 300 K one night????
Mchepuko wangu nikimpa hizo mwezi mzima napiga na kupikiwa mahanjumati siku moja moja.
Bro please try to be serious, labda ulitaka kusema 3K au Sana Sana 30 K.
Halafu K zenyewe zinatumika kila siku hata ile elasticity na jotro vimepungua Sana. Sizani Kama zinafikia ubora wa mbususu za ma hausegel.
 
Usiwe na akili mgando, tafuta hela
 
Usifananishe k za ma-house girl na vitu vya hovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…