Kifo cha pesa Beach Kidimbwi

Yaani tajirj aende kidimbwi...acha ufala. Tajiri wannafanya yale wanayofanya waarabu kaka....kwenye boti lako unawakaribisha warembo unawapa mbwa wako wagegegdane nao huku wee unagonga monde yako tartibu
Nikosa kufichua siri za kina sa100 na rostam na gsm hapa ...
 
Kuna kijana mmoja wa forex anaitwa Moneyhollic huwa anakuja pale kidimbwi na chawa wake wakina Dullvani,Mose Iyobo........Dogo na gang yake anaacha pale kidimbwi zaidi ya 5 million per one night
Kweli sio mchezo
 
Hao wengi wanapesa za mawazo,madalali wa nyumba na magari ndio wapiga kelele,ila maisha yao mwisho huwa mabaya
 
Acha akili ya kimasikini wewe. Umeambiwa wanalipa kwa EFD machine, kwa hiyo kodi inalipwa IPASAVYO.
 
Nimependa hapo kuhusu “financial freedom”...tutafute hela!! Ila ajabu matajiri huwaoni wakifanya hayo wala huwakuti kidimbwi
Wanaoenda Kidimbwi wana hela ya supu tu mkuu, wenye hela wanaenda kwenye mahoteli kule zanzibar au Serengeti, kulala tu kwa siku USD 10,000 narudia tena USD sio hii pesa yetu ya madafu(kwa sauti ya mzee wa Msoga)
 
Acha kabisa ila bwana bwana kuywa pombe ya million kumi pata unga first grade lakini mwisho wa siku utaishia kwenye mbususu tuu. Hakuna starehe duniani isiyo ishia na kugegegeda mbususu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Lipia tangazo
 
Maccm ndiyo yanachambia pesa zetu watz huko vidimbwi kwa kuagiza vinywaji vya mamilioni ....kweli nimekubali kuwa ccm ni maviii
Vip hukumwona Rostam azizi huko vidimbwi
Aisee Rostam ?....analia bia kwake masaki
 
Na pia matajiri wakueleweka huwezi kumuita Kidimbwi mkaongelea mambo ya msingi.

Na sio matajiri tu, hata watu wenye ajira zao serious huwezi mpeleka kidimbwi.

kidimbwi ni sehemu ya starehe sio sehemu ya kufanyia maongezi.... Pale unakwenda kufurahisha nafsi na ubongo.....ukiangalia angalia matako ya mabinti, ukapewa zile huduma maarufu kutoka kwa binti zetu wale...

Ukitaka maongezi na business meeting zipo sehemu zake...
 
Daaah mkuu me nisiwe mwongo mara moja moja huwa naenda ku-double haha...kwanini hawakutaki ?
Kuna mwanangu aliliwa pesa nyingi mle ndani sisi tukawa tunagonga mitungi sasa kuna mchina alilewa akaangusha wallet toilet wahuni tukapita nayo kwenda kulia bata bagamoyo,

Ule msako tuliopigwa sio wa nchi hii mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…