Kifo cha pesa Beach Kidimbwi

mtaani kinywaji kinauzwa kati ya TZS 40,000 - 80,000 kule kinauzwa mara tatu ya bei, hivi ni kwamba vinywaji vinakuwa na huduma nyinginezooo ama ni icho kimiminika kilichoko kwa chupa tuu
Ushaambiwa kinasindikizwa na shazi la warembo....kwani hao mshahara wao si ndo unatoka kwenye hiyo bei waliyoi - triple
 
Wewe hiyo milioni unaitafuta ili ukanunue bati uweke ndani usuibirie mwakani bei elekezi ya ufuta na mbaazi itakuwaje,mwenzio hiyo m ananunua Hennessy moja Tu hapo kidimbwi!! Tafuta hela
Na pengine huyo anayenunuwa whisky kwa 1 milioni si ajabu hata kiwanja hana..

Dunia uwanja wa fujo,,usifuate mkumbo.
 
ishia hapo hapo mkuu, ngoja nami nikawasimulie kijiweni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…