Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Piga moto pesa
Nalog off Z
Nalog off Z
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na Ibiza tujadiliane za kibongo bongo bhana😂Waende ibiza, miami, santorini hukoo ndo wataona jeuri za matajiri
Hao wana hela kiasi na wameamua tu kutesti ladha ya hela ila wakiwa nazo za kutosha asee bata zao ni next level
Tajiri hatumiagi pesa kwa mbwembwe hata siku moja.Hata mimi ndio ninavyojua
Hawa ni limbukeni tu wanaojifunza vitu vitu kwenye maisha
Ehe ntajie 2, 3 za kibongo basi..Achana na Ibiza tujadiliane za kibongo bongo bhana😂
Kama wewe apoo usivyo na mbwe mbweTajiri hatumiagi pesa kwa mbwembwe hata siku moja.
Ukiona mtu anatumia pesa kwa mbwembwe ni mshamba wapesa...ameishika hivi karibuni na anaisikiliza sauti ya pesa ikimpangia cha kufanya.
Mtu mzoefu na pesa huwa anaipangia pesa matumizi huku akiwa na utulivu wa hali ya juu.
Mkuu hujui kuwa wanaotesa sehemu za starehe wengi ni madalali wa viwanja na magari? Unakuta tena anakaa nyumba ya kupanga chumba na sebule tu🤣Na pengine huyo anayenunuwa whisky kwa 1 milioni si ajabu hata kiwanja hana..
Dunia uwanja wa fujo,,usifuate mkumbo.
Woi mimi bado sana sana.Kama wewe apoo usivyo na mbwe mbwe
Nazijua basi mpendwa?Ehe ntajie 2, 3 za kibongo basi..
Ila mbona zipo tajiri za bongo huwa zinajiachia pande hizo ?
Itakua wanauza k mwitu[emoji848]mbezi bana kuna vijana wana hela wao ni bata monday to monday halafu haijulikani wanafanya shughuli gani
Kuna mmoja nilikuwa natoka nae, nilimkimbia japo sometimes alikuwa analipa yy...wakishua wengi sana pale.Watoto wa kishua ndio wanasumbua kidimbwii. Sio matajiri wenyewe..
Wasumbufu wengi kidimbwii ni wale baba gavana BOT.. ama baba CEO bandarini...
Na kuna wale wana urithi wa nguvu. Unakuta baba na mama wamefariki wamewaachia ukumbi za maharusi na appartments za kutosha dar.. hao ndio wanachezea hela kidimbwii.. maana zinaingia tu kila siku
Shida ya kidimbwiii madem wengi ni wadangaji tu.. ukiwaona pisiii kali jichanganyeee wakuuzie ukimwi
Achana na malimbuken ya mji yanajifanyaga yanajua kila kitu kumbe wachimba chumvi tuAhahah Ujuaji mwingi sn tatizo mko nao wabongo..pale maringo wengine tumezoea kupaita clouds Kwa sababu ya lile bango Lao.Tunapomwelekeza mgeni wa mji tunasema shuka hapo roundabout ya clouds ili kuepusha maneno mengi coz akifika atasoma lile bango ..tafuta chai nyingine kisha nikufafanulie
Vijana wengi wa Dar wamechagua njia yao...kusafisha utumbo ili mradi wapate pesa ya kula bata...usiige utaumia (wakubwa mmenielewa)mbezi bana kuna vijana wana hela wao ni bata monday to monday halafu haijulikani wanafanya shughuli gani
Hahaha 1m ni kubwa mno kwa wakati flani lkn kuna majira 1m ni ndogo mno.Dah kweli usiseme tunakufa sema unakufa 😳 1m si naongeza kidogo apo napata ada ya mwanangu. Kuna mtu kasema tutafute hela naunga sana mkono hoja doh
huna akili, tembea uone kijana.Chai
Mamaae hio kwenya picha ndio miji super slay queen yaan hao mtaji papuchiCheki hii ni moja Kati ya bill zao..tatizo umasikini ndy unatufanya kila kitu tusiamini..Kama huamini ingia kwenye page Yao pia ukajionee na kujiridhisha mwenyewe bill zao,kuanzia chakula Hadi vinywajiView attachment 2262739View attachment 2262740