Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Viwanja hivyo ni vya kitaifa. Mashimo yakitema huko Geita, Chunya, Arusha nk wanakuja kujaa hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo wengi wakifikia hiyo level wanakua hawana nguvu pendwa za kiume.Wanakula maisha sana lakini mzee, ukifikia level ambayo kuspend million 2-3 per night sio ishu basi life limefikia kwenye kilele cha utamu.
Provided ni kijana huna kipengele hata kimoja mwilini uko 100% perfect kiafya.
Wewe na huyu jamaa wa kuitwa Mtamba wa Panya sijui mna bifu gani asee.kuna Uzi wa Dubai asubuhi mmejibizana vibaya sn na kutukaniana mama zenu.Pataneni wazeeMambo ya mama yako, mwenye utupu kama pipa la kangala.
mkuu unapajua kidimbwi ? au kidimbwi mbali kesho nenda George and Dragon masaki nakuhakikishia ukirud kwenu vikindu utazisaka sana njuruku...Chai
Ulichoongea ni ukweli 100%tunajipa moyo wenyewe "eti matajiri hawatumii hela" hahahahahaha.
kila hutumia kwa kiwango chake na maeneo ya kiwango chake..
Tajiri ananunua Yatch inaelea pale yatch club dar, kwa mwezi unakuta anaitumia mara moja, tajiri ananunua marange, mav8 yamejaa kwenye parking hana kazi nayo...
Tajiri hagumii hela Kidimbwi, nenda Hayyt Casino au pale New Africa uone kamari inavyokula hela za matajiri...
Wale wanaokula bata kule Ibiza bila shaka nao ni malimbukeni.....hahahahaha..
kuna mtu level yake kusumbua ni kwa Mtogole, mwingine Buza, mwingine Juliana mwingine weekend pale Dubai nk....
Ulichoongea ni ukweli 100%tunajipa moyo wenyewe "eti matajiri hawatumii hela" hahahahahaha.
kila hutumia kwa kiwango chake na maeneo ya kiwango chake..
Tajiri ananunua Yatch inaelea pale yatch club dar, kwa mwezi unakuta anaitumia mara moja, tajiri ananunua marange, mav8 yamejaa kwenye parking hana kazi nayo...
Tajiri hagumii hela Kidimbwi, nenda Hayyt Casino au pale New Africa uone kamari inavyokula hela za matajiri...
Wale wanaokula bata kule Ibiza bila shaka nao ni malimbukeni.....hahahahaha..
kuna mtu level yake kusumbua ni kwa Mtogole, mwingine Buza, mwingine Juliana mwingine weekend pale Dubai nk....
Umeniacha pale uliposema round about ya clouds FM.Jumapili fulani nilikuwa na rafiki yangu mmoja aliyepiga mshindo wa hela ya mahali tumepozi mtaani. Jamaa akaniambia yooh Satoh wacha tukatembee mahali mida ya jioni, nikamuuliza wapi anataka twende maana mimi ni mwenyeji hapa mjini, akajibu twenzetu kidimbwi.
Nilisita maana sikutegemea kabisa kama angechagua kwenda huko mahali ila nikaona it's ok wacha tu twende, kwanza napasikia tu sijawahi kufika kwa kweli. Jioni ikafika tukajiandaa kisha haoo uelekeo wa mikocheni, roundabout ya Clouds tukamimina boda la kule chini Kawe Beach, Times FM, Mbezi beach then punde Kidimbwi hii hapa..tukafika.
TuLIfika mida ya saa 11, ni pa kawaida tu kwa kweli tofauti na jinsi panavyokuzwa. Basi ikafika usiku pakawa ni sehemu tofauti kabisa na jinsi palivyokuwa jioni wakati tumefika..Palikuwa pamechangamka sana, mataa ya rangirangi na watoto wakali kibaoo.
Niseme Tu ukweli kuna Wanawake warembo, warembo sana. Muda wote shingo haitulii kwa kuangalia uumbaji wa MUNGU, watoto wakali hadi unajiuliza mbona kam kuna wadada walipendelewa siku wanaumbwa!! (Ukitaka kupata kipimo sahihi kama una demu mkali au umeingia cha kike basi nenda nae Kidimbwi, ingawa ili kuepuka aibu ndogondogo ni heri ukaenda mwenyewe tu maana anaweza kukuona malaya sana kwa jinsi utakavyopata shida kuibiaibia kutazama watoto wakali)
Basi bwana 'mwanangu' ndy bosi na mimi nilikuwa kama 'chawa' wake usiku ule. malaya shobo kibao tulipokaa, mwonekano wa kishua ukiwadanganya kumbe muhuni mfukoni balance niliyokuwa nayo ni pesa ya kuamkia mihogo kwa mama Amina na supu ya kongoro tu. Jamaa ndiyo alikuwa tagi ubavu, ingawa sinaga zile swags za kushobokea pesa za watu(masikini jeuri) ila nilikuwa mtulivu sn huku tukila vitu vyetu
Mida km ya saa 4 ndy Kwanza pakawa km show imeanza ,nikaona kitu kilichonishangaza Sana ambacho kilinipelekea kukodoa macho kwa kustaajabu.Kuna mdada amebeba sahani alafu ndani kuna chupa moja ya kinywaji,pembeni kuna wadada kama wanne hivi wanakatika na kucheza vizuri sana huku wanaelekea meza fulani ambayo ipo mbali kidogo na tulipo.
Nikamcheki dada wa karibu aliyekuwa ananizongazonga akidhani Mimi ni wa kishua kumbe apecha alolo nikamuuliza 'hey lady,hawa warembo nini hiki wanafanya'? Akanijibu yule dada aliyebeba ule 'mbapa' ni kinywaji cha milioni moja na nusu(1.5mil) na anapelekewa 'Mnene' mmoja hivi kipande kile..aloo [emoji848] ..1.5mil ni kinywaji tu si uharibifu wa hela huu!!? Umasikini mbaya sana asee!!!
Jirani yetu pale ambaye alionekana ni mzoefu wa hili chimbo akadakia "mjomba mbona hiyo ni ishu ya kawaida sn hapa".
Akaniambia unakiona kile chumba pale (huku akionyesha kidole), nikajibu yeah nakiona,akasema Mzee Baba pale kuingia sharti uwe na milioni 1.. Yaani Haijalishi utakaa dakika moja au saa zima,pale unaadikiwa deposit ya 1m kisha unaagiza unachotaka ktk menu zilizoorodheshwa utumie,Yani wewe Tu unatumiaje shauri yako!! Nikazidi kujiona masikini na kujidharau (kimoyomoyo nikasema milioni moja si napata kiwanja vikindu ndani ndani huko[emoji28] hapa inakatika dakika kadhaa Tu si ufala huu,huku namkumbuka Mzee wa kinywaji cha 1.5m ).
Haikupita muda, nawaona wadada wengine wanakatika viuno wakitembea na mwendo wa madaha huku wanasindikizwa na nyimbo za majigambo kutoka Kwa DJ wanaelekea meza nyingine.Nikapenyezewa taarifa kuna mwamba mwingine amefanya km jamaa wa mwanzo amepelekewa kinywaji cha 1m..Safari hii nilikuwa nimeshazoea,si unajua kushangaa mara moja tu [emoji28].
Kuna kitu nilijifunza ule usiku;kwa watu waliofikia kilele cha Uhuru wa kifedha (financial freedom) kwao kutumia hela siyo yoyote bila kuuliza uliza wala kukagua wallet siyo tatizo kbs.Ule usiku nilijiapiza kutafuta pesa Kwa bidii zote.
Kwa hakika usiku ule nilishuhudia watu wakiteketeza pesa vibaya mno.Kwa kweli ulikuwa ni "usiku wa kifo cha pesa".
Siku nikipata pesa nitarudi tena kidimbwi!!
Mzee laiti ungejua watu madili wanayoyafanya watu wanapiga hadi 150- 400m sio kwamba wengine baba gavana au nini wengi madogo wa forex...Watoto wa kishua ndio wanasumbua kidimbwii. Sio matajiri wenyewe..
Wasumbufu wengi kidimbwii ni wale baba gavana BOT.. ama baba CEO bandarini...
Na kuna wale wana urithi wa nguvu. Unakuta baba na mama wamefariki wamewaachia ukumbi za maharusi na appartments za kutosha dar.. hao ndio wanachezea hela kidimbwii.. maana zinaingia tu kila siku
Shida ya kidimbwiii madem wengi ni wadangaji tu.. ukiwaona pisiii kali jichanganyeee wakuuzie ukimwi
Wanatakatisha hela hapo. Unakuta mwenye hiyo kidimbwi ni muuza madawa ya kulevya so anaandaa watu kazaa na anawapa hela halafu wananunua hivyo vyinywaji ili baadaye aje asema hela yake ni halali na inatokana na mauzo ya kidimbwi. Polisi, TRA nendeni hapo mkachunguze. Na kwa njia hiyo watu wengi sana wanatakatisha hela hapo.Jumapili fulani nilikuwa na rafiki yangu mmoja aliyepiga mshindo wa hela ya mahali tumepozi mtaani. Jamaa akaniambia yooh Satoh wacha tukatembee mahali mida ya jioni, nikamuuliza wapi anataka twende maana mimi ni mwenyeji hapa mjini, akajibu twenzetu kidimbwi.
Nilisita maana sikutegemea kabisa kama angechagua kwenda huko mahali ila nikaona it's ok wacha tu twende, kwanza napasikia tu sijawahi kufika kwa kweli. Jioni ikafika tukajiandaa kisha haoo uelekeo wa mikocheni, roundabout ya Clouds tukamimina boda la kule chini Kawe Beach, Times FM, Mbezi beach then punde Kidimbwi hii hapa..tukafika.
TuLIfika mida ya saa 11, ni pa kawaida tu kwa kweli tofauti na jinsi panavyokuzwa. Basi ikafika usiku pakawa ni sehemu tofauti kabisa na jinsi palivyokuwa jioni wakati tumefika..Palikuwa pamechangamka sana, mataa ya rangirangi na watoto wakali kibaoo.
Niseme Tu ukweli kuna Wanawake warembo, warembo sana. Muda wote shingo haitulii kwa kuangalia uumbaji wa MUNGU, watoto wakali hadi unajiuliza mbona kam kuna wadada walipendelewa siku wanaumbwa!! (Ukitaka kupata kipimo sahihi kama una demu mkali au umeingia cha kike basi nenda nae Kidimbwi, ingawa ili kuepuka aibu ndogondogo ni heri ukaenda mwenyewe tu maana anaweza kukuona malaya sana kwa jinsi utakavyopata shida kuibiaibia kutazama watoto wakali)
Basi bwana 'mwanangu' ndy bosi na mimi nilikuwa kama 'chawa' wake usiku ule. malaya shobo kibao tulipokaa, mwonekano wa kishua ukiwadanganya kumbe muhuni mfukoni balance niliyokuwa nayo ni pesa ya kuamkia mihogo kwa mama Amina na supu ya kongoro tu. Jamaa ndiyo alikuwa tagi ubavu, ingawa sinaga zile swags za kushobokea pesa za watu(masikini jeuri) ila nilikuwa mtulivu sn huku tukila vitu vyetu
Mida km ya saa 4 ndy Kwanza pakawa km show imeanza ,nikaona kitu kilichonishangaza Sana ambacho kilinipelekea kukodoa macho kwa kustaajabu.Kuna mdada amebeba sahani alafu ndani kuna chupa moja ya kinywaji,pembeni kuna wadada kama wanne hivi wanakatika na kucheza vizuri sana huku wanaelekea meza fulani ambayo ipo mbali kidogo na tulipo.
Nikamcheki dada wa karibu aliyekuwa ananizongazonga akidhani Mimi ni wa kishua kumbe apecha alolo nikamuuliza 'hey lady,hawa warembo nini hiki wanafanya'? Akanijibu yule dada aliyebeba ule 'mbapa' ni kinywaji cha milioni moja na nusu(1.5mil) na anapelekewa 'Mnene' mmoja hivi kipande kile..aloo [emoji848] ..1.5mil ni kinywaji tu si uharibifu wa hela huu!!? Umasikini mbaya sana asee!!!
Jirani yetu pale ambaye alionekana ni mzoefu wa hili chimbo akadakia "mjomba mbona hiyo ni ishu ya kawaida sn hapa".
Akaniambia unakiona kile chumba pale (huku akionyesha kidole), nikajibu yeah nakiona,akasema Mzee Baba pale kuingia sharti uwe na milioni 1.. Yaani Haijalishi utakaa dakika moja au saa zima,pale unaadikiwa deposit ya 1m kisha unaagiza unachotaka ktk menu zilizoorodheshwa utumie,Yani wewe Tu unatumiaje shauri yako!! Nikazidi kujiona masikini na kujidharau (kimoyomoyo nikasema milioni moja si napata kiwanja vikindu ndani ndani huko[emoji28] hapa inakatika dakika kadhaa Tu si ufala huu,huku namkumbuka Mzee wa kinywaji cha 1.5m ).
Haikupita muda, nawaona wadada wengine wanakatika viuno wakitembea na mwendo wa madaha huku wanasindikizwa na nyimbo za majigambo kutoka Kwa DJ wanaelekea meza nyingine.Nikapenyezewa taarifa kuna mwamba mwingine amefanya km jamaa wa mwanzo amepelekewa kinywaji cha 1m..Safari hii nilikuwa nimeshazoea,si unajua kushangaa mara moja tu [emoji28].
Kuna kitu nilijifunza ule usiku;kwa watu waliofikia kilele cha Uhuru wa kifedha (financial freedom) kwao kutumia hela siyo yoyote bila kuuliza uliza wala kukagua wallet siyo tatizo kbs.Ule usiku nilijiapiza kutafuta pesa Kwa bidii zote.
Kwa hakika usiku ule nilishuhudia watu wakiteketeza pesa vibaya mno.Kwa kweli ulikuwa ni "usiku wa kifo cha pesa".
Siku nikipata pesa nitarudi tena kidimbwi!!
Hata mimi nimeshangaa sana kusikia kjwa kun round about ya CloudsWewe sio mwenyeji mjini. clouds hamna round about. alafu tafuta hela nenda kaitumie hiyo milioni kidimbwi ufe uajiona asubuhi yake. endelea kuuzoe mji, usije zoea majini.
Hapana..ni hivi;pale kidimbwi na maeneo dizain ile mademu hawapo Kwa ajili ya kupendana,wapo kufanya biashara na wanachouza ni k. Na hiyo k mtu atataka 200-300k one night stand..Sifanyi huo ujingaKwani hadi uwe na hela ndio upate demu [emoji15]
Ila sasa km Una kipato cha Imani,upendo na miujiza km Mimi utaishia kupiga nao picha Tu..sithubutu kulala na demu one night stand Kwa 300k na usawa huu WA mamaRafiki zangu wakaka wanasemaga demu wako akikusumbua mpeleke Kidimbwi akiona zile pisi kali atatulia mwenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Ila Kidimbwi kuna warembo jamani. Nikiendaga pale naishia tu kusema, "Wanaume wana kazi sana"
😳😳😳 k ya 300k ina chakula ?Hapana..ni hivi;pale kidimbwi na maeneo dizain ile mademu hawapo Kwa ajili ya kuoendana,wapo kufanya biashara na wanachouza ni k. Na hiyo k mtu atataka 200-300k one night stand..Sifanyi huo ujinga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanatakatisha hela hapo. Unakuta mwenye hiyo kidimbwi ni muuza madawa ya kulevya so anaandaa watu kazaa na anawapa hela halafu wananunua hivyo vyinywaji ili baadaye aje asema hela yake ni halali na inatokana na mauzo ya kidimbwi. Polisi, TRA nendeni hapo mkachunguze. Na kwa njia hiyo watu wengi sana wanatakatisha hela hapo.
Laki 3 mkuu hela ya Malaya mmoja Tu kutumia nae usiku alafu unataka unitafute twende kidimbwi tukatie aibu hahaha[emoji28]..tafuta Kwanza financial freedom ili hata tukitumia hiyo laki 3 Kwa pombe moja kichwa kisiwake Moto Kwa mawazoNimeamini Mimi Deceiver ni mshamba hapa mjini.
JW Red label ndio kinywaji Cha Bei ndogo @ 80,000 wakati huku Kimara nikiwa na 80,000 na jamaa zangu wawili tutakula mkia mzima, beer zakutosha, Pai mbili mbili na chenji ya bodaboda inabaki.
Satoh Hirosh ntakutafuta siku nikipata laki tatu unipeleke.
Dah, mkuu mi mwenyewe ni miongoni mwa walioshangilia, hakika maisha watu hatufananiNa bado Majuzi Kuna wabongo walifurahia sana Ada ya shule za serikali za form 5&6 kufutwa, na ada yenyewe Ni Tsh.70,000 kwa mwaka(Yaani elfu sabini tu).
Hayo ndio ma-gap kwny Maisha.
Maringo..karibu na ofisi za Efm za zamaniUmeniacha pale uliposema round about ya clouds FM.
Nasikia ni ya msanii AY..Mastori ya town,sina uhakikaWanatakatisha hela hapo. Unakuta mwenye hiyo kidimbwi ni muuza madawa ya kulevya so anaandaa watu kazaa na anawapa hela halafu wananunua hivyo vyinywaji ili baadaye aje asema hela yake ni halali na inatokana na mauzo ya kidimbwi. Polisi, TRA nendeni hapo mkachunguze. Na kwa njia hiyo watu wengi sana wanatakatisha hela hapo.
Mkuu kwani hujui kwamba Malaya Wana grade?[emoji15][emoji15][emoji15] k ya 300k ina chakula ?