Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Hamjui huyu dogo. Ukimtajia Isambe na Inde haelewi vilifanya nini kule Nairobi hadi Kanda Bongoman kupigwa marufuku. Halafu unakuta madogo wanashupaza shingo sana.ππ Dogo hamjui hata Kanda Bongoman na Isambe
cc Pascal MayallaUkweli usemwe marais wa kutoka Zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.
Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.
Aliyekuwa waziri wa maliasili Abubakar Mgumia alipobanwa alisema muulizeni Rais mimi natekeleza tu maagizo.
Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito, kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa
Kifo chake kilijaa utata, Mzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi hadharani, mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini maana alimsumbua sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa, Stan ni Ken Saro-Wiwa wa Tanzania.
Pia soma
- Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!
Enzi hizo hakukuwa na njugu, booster na minjingu? Ila mkono wa nyani ngwengwe imeondoa na itaondoa wengi. Tulimuonya sana dogo janja janjarooo achana na aiiriniii wapiiiStan Katabaro alikufa kwa HIV AIDS acheni kupotosha mambo.
Siyo Richard Quest?Magufuli kwa kuripoti issue ya Kibiti (jina nimesahau)
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Means wapumbavuWewe dogo wa mwaka gani? Au unamzungizia Stan yupi? Nyie madogo hamjui halafu hamjui kuwa hamjui.
Accumen Mo darcityYes. Tena unalia sana au kuonesha huruma na kama hakufa unamlipia matibabu akatibiwe. Ndo sisi wapwani tulivyo. Tu wanafiq wazuri sana.
Mambo mazito gani? Kwani hapa ni wapi vile?Stan Katabaro alliripoti mambo mazito
Sasa hasipomjua atakufa na njaa?ππ Dogo hamjui hata Kanda Bongoman na Isambe
Enzi hizo hakukuwa na njugu, booster na minjingu? Ila mkono wa nyani ngwengwe imeondoa na itaondoa wengi. Tulimuonya sana dogo janja achana na aiiriniii wapiii
King Kong III
Kama ni Juliana aka kono la nyani why story iseme kifo chenye utata? Kipindi hicho si inajulikana wazi wazi ukifa kwa ngwengwe?Stan Katabaro alikufa kwa HIV AIDS acheni kupotosha mambo.
Basi Stan mda wote huo alikuwa akimtegea tu getini ahera juzi akamkaribisha na mfululizo wa makofi nakumuambia ulidhani hutawai kuja huku mimi mwenyeji sasa haya faster piga marktimeUkweli usemwe marais wa kutoka Zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.
Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.
Aliyekuwa waziri wa maliasili Abubakar Mgumia alipobanwa alisema muulizeni Rais mimi natekeleza tu maagizo.
Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito, kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa
Kifo chake kilijaa utata, Mzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi hadharani, mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini maana alimsumbua sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa, Stan ni Ken Saro-Wiwa wa Tanzania.
Pia soma
- Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!
Akioza tunapata nini? Hii ni sehemu ya historia yake tunapaswa kuijua.Ngojeni ata mzee wawatu aoze kaburini
Ashafika na tunategemea yupo ktk nyumba nzuri na kaburi lake ni miongoni mwa mabustani ya peponi.Ngojeni ata mzee wawatu aoze kaburini
Basi Stan mda wote huo alikuwa akimtegea tu getini ahera juzi akamkaribisha na mfululizo wa makofi nakumuambia ulidhani hutawai kuja huku mimi mwenyeji sasa haya
Stan kafa akiwa dini gani?
KayngayAshafika na tunategemea yupo ktk nyumba nzuri na kaburi lake ni miongoni mwa mabustani ya peponi.
Bado wewe ukifa kama ni kafiri ujue ukifa tu kaburi linakubana