Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 448
nilimuona chiz zaid alipohojiwa na millard ayo na kusema alivyokufa bro wake haikumuuma sana,baada ya cku tatu tu alisahau ila kifo cha kanumba hatasahau kamwe.lol!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naye alitamani siku moja alale na thegreat (R.I.P)
akakuta ndoto zake zimekufa ghafla.
Mbona hakumshangaa mwanaye anapojenga nyumba na kufungua duka la nguo hela amepata wapi?kama cyo mapapa na manyangumi anayoyabeba ndiyo yanampa!!
daah!!kumbe ndo maana amekuw anaficha kusema alichokifany kw mikono yake mwenyew
Mbona hakumshangaa mwanaye anapojenga nyumba na kufungua duka la nguo hela amepata wapi?kama cyo mapapa na manyangumi anayoyabeba ndiyo yanampa!!