Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Hata kama Lulu ana mimba yeye mwenyewe Lulu hawezi kujuwa hiyo mimba ni ya nani na aliipata lini!!.....kabinti ka miaka 18 a.k.a Wakubwa show ana mabwana si chini ya 20 sasa hapo atajuwa hiyo mimba ni ya nani? hivi watu hawajipendi kweli yaani mcharuko kama Lulu na bado mtu unaingia peku peku bila Condom!! is too bad.

Polepole,usije kumtusi marehemu..
 
OK, tunakusikia. Unamaanisha ikiwa Lulu ana miaka 18, uhusiano wao ulianza Lulu akiwa na umri gani? Najua ukitembea na mtu yeyote chini ya miaka 18 inakuwa statutory rape. Mmmh. Labda haya hayapaswi kusemwa saa hizi ungeyafunua mapema zaidi wakati Kanumba akiwa hai au Lulu akiwa chini ya miaka 18. sasa Lulu ni mwanamke ati, mtu mzima.
 
the guy he was smart ... alijua kuna audience ambao ni watoto .. yeye kama kioo cha jamii ilibidi aongee hivo... kwamba hatumii kilevi.. even though mi najua ni kamba.. ila nilimpa bravo for that.

Angekuwa anawajali watoto asingemharibia mtoto Lulu maisha yake.
Hakuwa smart wala nini...
 
ha ha sio utani kwa staili hy hatutabaki hata moja wote tutakufa kwa kutikisika ubongo


Concussion
[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 0"]
[TR]
[TD="width: 79"]
[/TD]
[TD] [TABLE="class: MsoNormalTable, width: 0"]
[TR]
[TD] Concussions & Brain Injuries
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Brain Foods Slideshow
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Dementia Slideshow Pictures
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
What is concussion and what causes concussion?
Mild traumatic brain injury, or concussion, can be defined as a short-lived loss of brain function due to head trauma that resolves spontaneously. With concussion, function may be interrupted but there is no structural damage to the brain.
The brain floats in cerebrospinal fluid and is encased in the skull. These protections allow it to withstand many of the minor injuries that occur in day to day life. However, if there is sufficient force to cause the brain to bounce against the rigid bones of the skull, then there is potential for injury. It is the acceleration and deceleration of the brain against the inside of the skull that can cause the brain to be irritated and interrupt its function. The acceleration can come from a direct blow to the head or face, or from other body trauma that causes the head to shake. While temporary loss of consciousness due to injury means that a concussion has taken place, most concussions occur without the patient being knocked out. Studies of football players find that the majority aren't aware that they had sustained a head injury.
What are the types of concussion?
Historically, attempts to classify the severity of concussion were based on the loss of consciousness and its duration, and the presence of amnesia. It was presumed that there was a correlation between those two events and the amount of potential brain damage. The International Conference on Concussion in Sports recommended that concussion be divided into two groups: simple and complex.

  • Simple concussion: In a simple concussion, the person the symptoms gradually resolve, and the patient returns to normal function in 7 - 10 days.
  • Complex concussion: In complex concussions, symptoms persist and thought processes are affected. Patients with repeated concussions would fall into the complex category.

Concussion Symptoms and Signs
What Are the Signs and Symptoms of a Concussion?
The signs and symptoms of concussion may be obvious or subtle. Football, hockey, and soccer have high potential for head injury, and player research has given insight into what symptoms may occur.
While dramatic, loss of consciousness or seizure are not common in concussion and do not predict severity. More common are mild confusion and disorientation. Symptoms tend not to be objective and may be hard to describe. They also may be delayed for many hours after the injury, and sometimes the initial injury may have been forgotten or discounted.
Typical symptoms of concussion include:

  • headache
  • dizziness
  • nausea
  • dazed feeling
  • visual symptoms
  • irritability
Physical Signs
Since, by definition, concussion does not damage the structure of the brain, the physical examination should be normal. More subtle findings may include...
Read more in-depth information about the symptoms of a concussion »
What is concussion and what causes concussion?
Mild traumatic brain injury, or concussion, can be defined as a short-lived loss of brain function due to head trauma that resolves spontaneously. With concussion, function may be interrupted but there is no structural damage to the brain.
The brain floats in cerebrospinal fluid and is encased in the skull. These protections allow it to withstand many of the minor injuries that occur in day to day life. However, if there is sufficient force to cause the brain to bounce against the rigid bones of the skull, then there is potential for injury. It is the acceleration and deceleration of the brain against the inside of the skull that can cause the brain to be irritated and interrupt its function. The acceleration can come from a direct blow to the head or face, or from other body trauma that causes the head to shake. While temporary loss of consciousness due to injury means that a concussion has taken place, most concussions occur without the patient being knocked out. Studies of football players find that the majority aren't aware that they had sustained a head injury.
What are the types of concussion?
Historically, attempts to classify the severity of concussion were based on the loss of consciousness and its duration, and the presence of amnesia. It was presumed that there was a correlation between those two events and the amount of potential brain damage. The International Conference on Concussion in Sports recommended that concussion be divided into two groups: simple and complex.

  • Simple concussion: In a simple concussion, the person the symptoms gradually resolve, and the patient returns to normal function in 7 - 10 days.
  • Complex concussion: In complex concussions, symptoms persist and thought processes are affected. Patients with repeated concussions would fall into the complex category.
Picture of the brain and potentially brain injury areas

gSuVwOJyewZXK4XA4PYMrlcPhcHoGVyqHw+H0jP8DlVA+O69M5AkAAAAASUVORK5CYII=
 
Mazee huyu JB ndo bonge la msanii ninayemkubali bongo.Kama unabisha angalia movie moja Dj Ben.Sio mpenzi wa bongo movie lakini hii nimeikubali

na muv nyingine inatwa dereva tax
hii nayo bonge la muv
 
Habari nilizopata kutoka ndugu wa karibu wa lulu
zinasema dada etu amewaambia pamoja na kukataa kwenda kumzika kanumba
kwa taarifa yao ana mimba na wasimuulize ya nani....

Kwa walio karibu na kaka yetu embu tuelezeni kama kweli tuangalie tutamsaidiaje
tusijefurhia lulu kukaa nani kumbe tunamfunga na mtoto wetu...bado ana muda wa kueleza hali halisi

Hapo kwenye red ni non sense kabisa.,hii inafanya thread hii kuonekana ni ya kutunga, mtu aliyeko mahabusu anawezaje kuchagua kwenda kwenye mazishi au la
 
Watakao ruhusiwa kuuga mwili wa marehemu ni wanafamilia pamoja na watu wakaribu hii nikutokana na watu ni wengi mno zoezi la watu wote kuruhusiwa kuaga mwili halitawezekana! Watu wameambiwa wakajipange barabarani.
 
Simple observation!

Picha mbili za mwisho chini: karibu wote ni wanawake!
Cinema zake zilipendwa sana na wanawake???

Just thinking aloud

Okada wanaume wagumu wako sehemu za kazi hawajakaa! angalia picha za juu! we are your queens remember? wanaume wamesimama. . halafu wanawake ni wengi! hata msiba wako wanawake ndo watakua wengi! ila hawatakuwa wengi kama wa kanumba pole! wanawake ndo tunaoguswa sana! biblia imeandikwa tuwalilie nyie! kubalini kanumba alikubalika na amekubalika akiwa marehemu mi si mpenzi wa movie! kanumba ameniuma na nimeaapreciate mazishi yake roho yangu imefarijika!
 
Ndg yetu mpendwa Steven Kanumba tunamzika leo kwa huzuni na majonzi tele.Kama ilivyo kawaida binadamu huwezi kupendwa na watu wote.Hali kadhalika ndugu yetu Stephen Kanumba ingawa inaonyesha ni kipenzi cha wengi, hiatashangaza kusikia pia aliishi na maadui.Lakini bila kujali tofauti zetu wote kwa pamoja hasa vijana ametuachia somo kubwa na muhimu katika maisha.

Tunakumbuka alianza akiwa msanii mdogo lakini mpaka anafariki amejipatia umaarufu na mafanikio makubwa.Alijua maisha ni vita..akapigana,alijua maisha ni mapambano..akapambana. Pia alitambua mafanikio yanataka kujituma..akajituma,alitambua mafanikio yanataka uthubutu..akathubutu kuitangaza sanaa yake hadi nje ya mipaka ya nchi yetu.

Hakuna namna bora ya kumuenzi na kumkumbuka kama kuuzingatia urithi huu muhimu aliotuachia.MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALA PEMA PEPONI.AMEN
 
Sote tusafari moja
Hakuna takayebaki!
 
"Msihukumu msije mkahukumiwa,kipimo kile kile mtakachohukumu wengine ndicho hicho hicho mtakachohukumiwa", na zaidi ya yote ndugu zangu tukumbuke maiti huwa haisemwi kwa ubaya mwacheni ubaya wake aende nao na kama kuna jema tuliloliona kwake tuliige na siyo kuendeleze majungu ya kusema hata wafu....
 
Ni utititili leaders,
R.I.P Kanumba kifo chake kimestua watu!
 
Umefikiria nin kuanzisha uzi wa namna hii? Huo wimbo aliuimba mda mrefu sana karibia hata mwaka moja au miwili ishapita,hajauimba jana wala juzi.
 
OK, tunakusikia. Unamaanisha ikiwa Lulu ana miaka 18, uhusiano wao ulianza Lulu akiwa na umri gani? Najua ukitembea na mtu yeyote chini ya miaka 18 inakuwa statutory rape. Mmmh. Labda haya hayapaswi kusemwa saa hizi ungeyafunua mapema zaidi wakati Kanumba akiwa hai au Lulu akiwa chini ya miaka 18. sasa Lulu ni mwanamke ati, mtu mzima.

kwa taarifa tulizo nazo alianza kumtafuna mtoto akiwa na 16,jamaa alikuwa mtu wa ovyo sana
 
Back
Top Bottom