Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika ulimwengu huu sidhani kama kuna kitu cha uhakika zaidi ya kifo. Wewe mwenzetu huna uhakika kuwa kuna siku utakufa?katika hali isiyo ya kawaida kwa wale ambao wamesikia wimbo wa kanumba.katika wimbo ule kasema akifa watu mtasema nani pengo ataliziba.maadui wake watabeba jeneza lake. yeye ni mmoja hawezi pigana na watu 1000. je hii alijua atakufa?
NATA kwanini unaongea hadithiaka michapo wakati Tecno zipo na unaweza kupiga picha hata za kiuzushi ukakazia kauli yako?
kwa taarifa tulizo nazo alianza kumtafuna mtoto akiwa na 16,jamaa alikuwa mtu wa ovyo sana
duh kumbe sio under 18lulu shes under 17
katika hali isiyo ya kawaida kwa wale ambao wamesikia wimbo wa kanumba.katika wimbo ule kasema akifa watu mtasema nani pengo ataliziba.maadui wake watabeba jeneza lake. yeye ni mmoja hawezi pigana na watu 1000. je hii alijua atakufa?