Anaweza kuwa alianguka kwa kuteleza kwenye tiles, maana twaambiwa alikuwa katoka kuoga.
Concussion inaweza tokea kwa kujigonga, kupigwa au kutikiswa.
Nashindwa kuelewa why ung'ang'anie kuwa Lulu anahusika, bila ku rule out hizo option nyingne.
Lulu ana nguvu gn za kumsukuma Kanumba hd aanguke?
Utasema kanumba alikuwa amelewa, labda ndo maana alisukumwa kirahisi.
Lkn si imesemwa kuwa Kanumba aliweza kumkimbiza Lulu, kumkamata na kumvutia ndani(whch means alikuwa na nguvu za kutosha tu kumshinda Lulu).