Mjenda sijui una umri gani ndugu yangu unashindwa kufanya hata analysis, well Kanumba amefariki sawa imeumiza watu wengi sawa, lakin hai maanishi mtuhumiwa namba mmoja asipewe msaada. Mim mwenyewe ninge wish kumsaidia lulu kwasababu najua possibility ya lulu kuuwawa ni ndogo kuliko posibiility ya lulu kujiua ni mtoto na ana akili za kitoto anahitaji mtu wakumsaidia kimawazo zaidi.Acha kuwa na roho za korosho kwahiyo kama wengine hawaja saidiwa na lulu asisaidiwe kwasababu anahusika kwa namna mmoja au nyingine kwenye kifo cha kanumba. Kanumba ameshafariki hamna namna yeyote unaweza ukamrudisha,haimaanishi basi Lulu na yeye afanyiwe ubaya, usilipe baya kwa baya na uache mawazo ya kisiasa kwenye hiz mambo.