Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anafika leo jion...kwa sorce ya mwananchi....mengine mimi sijuiMbona mnatuchanganyia habari??Amefika au hajafika lipi tuelewe??maana mwingine anasema hajafika ila mzee shibuda ndio amemuwakilisha mwingine anasema amefika na jana alikuwa anahojiwa so neno gani tukubali hapa!
Huenda walikuwa hawafahamu huo uhusiano !!!
So u don't know if u will die???
Are u a stone or what???
Stupid!!
Hapo kwenye red ni non sense kabisa.,hii inafanya thread hii kuonekana ni ya kutunga, mtu aliyeko mahabusu anawezaje kuchagua kwenda kwenye mazishi au la
Kwani wewe hujui kama utakufa?
Amesema KANUMBA amekufa hajaacha kitu ambacho watu wasingemsahau kirahisi.. Japo kapindisha pindisha na kusema legacy ila naamini alimaanisha mtoto
Ndio alijua
kwani wewe hujui kuwa utakufa?
au ulikuwa unatakakusema nini?
Chukulia ni mdogo wako...ndo kapigwa na boyfrend wake, then wakati anajaribu kujinasua (kama kawaida yake, maana inaonyesha jamaa amekuwa akimfanya panching bag) jamaa kavuta...UNGESEMA BILA KUJALI HIVYO??? by the way...nae anahitaji kufarijiwa hakukusudia istoshe mshkaji ndo akukubali ni demu wa aina gani!! kwa mtu kama lulu asingefaa kumpiga kwa kosa na kuwa na mwanaume mwingine.....tuache fikra ZA MAREHEMU HUWA HANA KOSA?? Wanajamii tulijadili pasi kujifanya tuna huruma...ukweli ndo unahitajika hapaLulu mwenyewe kwenye kwenye kipindi cha Mikasi alifunguka kwamba she is 18.
Let her face the consequences.