ona hata kuvaa kwake,
ina maana kila siku anavalia wapi,
hata siku moja mama asione mavazi ya binti yake,
na hizo picha za uchi kweli hakuwahi hata kusikia
wazazi tumezidi lol.
Tatizo unahesabu wanaume alio ngonoka nao unafanya ndio umri. Tukifanya hivyo Wema Sepetu atakuwa na miaka zaidi ya mia, hata wewe itakuwa siri yako una miaka mingapi. Twende mbele turudi nyuma yule mtoto ni underage and minority. Only mijibaba kama Kanumba ilikuwa inamzeesha. Apewe dhamana, apate second chance ya kubadilisha maisha, na wala hajachelewa
Achana nao!Wivu tu unawasumbua!She cant do dat!Hata Diamond sio mkweli kwa kila kitu alichosema i guess!Ni kweli amebadilisha wanaume wengi kwa mda mfupi!But who is perfect kwa kila kitu?I mean dat should a weakness to her but inawezekana hajapata wa kumpenda!With dat said,plz muacheni mtoto wa watu!She is innocent!Watanzania tunapenda sana mdomo usiokuwa na maana kwa wenzetu bila kujali upande wetu tukoje na tunafanya nn!I hate sniches!
huo wimbo wenyewe kauimba zaman sema vyombo vya habari vinataka tuamini kauimba karibuni.
Aliuimba kwenye movie yake inaitwa village pastor amaeigiza na anti ezekiel ya kitambo kama miaka 2 au 3 nyuma.
Kwa hiyo aliumba kama sehemu ya hiyo movie aliyo igiza kama pastor wa kanisa
ila bora masafara unapita kino.. wapite waone barabara yetu ilivyo na mashimo nq mchanga, watuwekee lami mpya maana JK alisema wana loliondo wamepata lami kwa bahati ya babu. Na sis tupate kwa bahati ya kifo hiki..
No offence...