Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)


hii mizimu ya wasukuma inaweza ikawarudia wote waliolazimisha SK azikwe DAR
 

Kwani mama Kanumba ni MHAYA?
 

mkuu kama we ungekuwa pastor ungeweza kusema hadharani?
 
kichefuchefu kinakusmbua na uongo wako mbona tangu jana yupo hapo msibani na alihojiwa na waandishi wa habari.

Mkuu jana alipohojiwa na TBC1 alikuwa nyumbani kwake Shinyanga.Kwa maelezo yake alitazamia kamati ya maziko ya mwanae wamfanyie utaratibu wa usafiri aweze kuwahi mazishi Dar.
 
Nimekuja kugundua kuwa,jamvini humu ni watu waachache sana wenye weledi na mambo ya kichunguzi..
Hakika lakini ndio vyema kuanza kupeana ufahamu,manake ndio hivyi dunia inabadilika na magonjwa nayo pia hivyo hivyo,ukweli ndio huo hata familia inalijua kuwa ni tatizo lake!!
 

Mkuu nimependa mawazo yako tofauti yanayoangalia upande wa pili wa marehemu Kanumba.
Mara nyingi mtu ukifa watu wanaangalia upande wa mazuri na kukusifia pasipo kuangalia upande wa pili. Leo hii hata kipofu akiendesha gari akapa ajali akafa watu tutaanza kumsifia pasipo kuhoji kwa nini kipofu aendeshe gari?

Tuwe wakweli tuangalie pande zote, hawa jamaa hawapaswi kumfanya lulu mpenzi wao, walihitajika kumuongoza katika sanaa kutokana na umri wake mdogo ili awe na mda mrefu zaidi kwenye sanaa.
 
kuhusu msanii wa magogoni watahudhuria wanao kula nae pesa za shoo.
 
Acha ujinga wa kutabir ww, inaweza ikawa wewe au ndugu yko. Kwan kififo anapanga mwanadam?
Sasa mimi ujinga wangu nini??Au umekurupuka kwenye pombe ya maharage nakuleta ushuzi wako hapa??soma contenti siyo unakurupuka ukikuta "MTI UMESIMAMA??"si utajitunga??
 
Alikuwa hajamwona Mnyika atasemaje kuwa naye yupo. Asha alikuwa hapokei wafiwa na wafiliwa kama wewe
 
Mbona hilo lipo waz mkuu,ww angalia kamati yote ya mazishi ndugu wapo mwachache wengi walikuwa wasanii wenzake na marehem.
kuna siku nimesoma uzi hapa kuwa ile kamati ilikuwa inamsubir mama wa marehem ili wamshawish mazish yawe j4 Dar!
so nafikiri nafas ya familia kutoa maamuzi ilikuwa ndogo sana ni kama jeshi vile.
 
Si kweli kwamba wasanii wa filamu ndio hawakuzingatia malezi,bali wazazi ndio tatizo unapomwacha
mwanao kuingia mapema kwenye mambo yatakayomfanya ajione staa mapema,unategemea
atasoma kweli? na je akifika kwenye foolish age ataweza kuhimili changamoto za umaarufu?
jibu ni kuwa ukimruhusu mwanao kujiingiza kwenye kuigiza na kuwa maarufu tegemea kuwa na
mtoto aina ya Lulu hata kama angekuwa na akili kiasi gani.
 
kama m2 huna kaz bora uchukue jembe ukalime kuliko kuanza kuichambua mait ni dhamb!
 
Acha mawazo ya ukabila wewe! Msiba umetekwa na CCM na wasanii wenzake,usisingizie wahaya!
 
sijawai kukutana na swali la kushangaza kama hili hasa kwenye kipindi cha uzuni! wewe unazani utaishi milele! au unazani utaishi miaka mingi kama kobe? tafadhali badilisha swali.Amani kwako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…