TAZARA CLUB
Member
- Feb 6, 2007
- 48
- 15
Tukiwa tunaendelea kuomboleza kifo cha mpendwa wetu,msanii kanumba,tutafakari maisha yake.Kanumba hakuwa tofauti sana na wasanii wetu walio wengi kimaadili.ni kweli alituburudisha,lakini hakutufuza maadili mema.
Alikuwa mfano mbaya kwa vijana kwani alifanya ngono na wasichana warembo kwa kuwahonga kuonekana kwenye runinga wakati wa kuigiza.
Alikuwa mkoloni kwa akina dada hawa.kuna msemo wa kifalsafa:WHAT COMES AROUND GOES AROUND.Kanumba amekufa kutokana na mazingira ya matendo yake yasiyofaa katika jamii. TAKE CARE!
Wabongo iko waongo. Machoni iko kama watu. Moyoni iko jitu mubaya, ya pepo mchafu wa chuki, husda na wivu wa kutoa roho yako
Tukiwa tunaendelea kuomboleza kifo cha mpendwa wetu,msanii kanumba,tutafakari maisha yake.Kanumba hakuwa tofauti sana na wasanii wetu walio wengi kimaadili.ni kweli alituburudisha,lakini hakutufuza maadili mema.
Alikuwa mfano mbaya kwa vijana kwani alifanya ngono na wasichana warembo kwa kuwahonga kuonekana kwenye runinga wakati wa kuigiza.
Alikuwa mkoloni kwa akina dada hawa.kuna msemo wa kifalsafa:WHAT COMES AROUND GOES AROUND.Kanumba amekufa kutokana na mazingira ya matendo yake yasiyofaa katika jamii. TAKE CARE!
hivi kweli hapo shinyanga ni mbali kaias kwamba mzee kashindwa kufika msibani?...i doubt this relationship bana...
Kwa ninavyofahamu hajafika, ila mahojiano yalofanyika ni shinyanga akiwa nyumbani kwake na mtangazaji wa tbcMbona mnatuchanganyia habari??Amefika au hajafika lipi tuelewe??maana mwingine anasema hajafika ila mzee shibuda ndio amemuwakilisha mwingine anasema amefika na jana alikuwa anahojiwa so neno gani tukubali hapa!
Uliwahi kuona alipozikwa Papa Yohane Paulo2?
Sure kaburi lake lilisakafiwa hadi chini hakuna hata matundu ya mchanga/udongo kama ilivyaoachwa kwa marehemu Kanumba. Hata marehemu askofu Joseph Sipendi wa Jimbo la Moshi kaburi lake likisakafiwa top down hakuna udongo.Uliwahi kuona alipozikwa Papa Yohane Paulo2?