TAZARA CLUB
Member
- Feb 6, 2007
- 48
- 15
Kibagata nimekusoma, pia niliwahi kusikia kuwa alitoa maneno machafu na dharau kwa baba yake mzazi. Japo yawezekana baba yake ni kweli alimtelekeza lakini yeye akiwa kama msanii alitakiwa awe mwalimu wa jamii. maana tabia hiyo ingeigwa na kizazi cha sasa yeye alikuwa role model hakutakiwa afanye hivyo, je ni kweli baba Mzazi wa Kanumba hakufika kwenye mazishi?????