CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 933
picha please
Mkuu hilo andiko vipi sasa?inamaana halina nafasi kwa mwenye pesa?Kama ulitizama kaburi kwa ndani (visit jamii photos) kuna sehemu mbili chini ya kaburi (miguuni na kichwani) pameachwa wazi bila kuweka vigae. Na kuna member aliyeuliza ni kwa nini pameachwa katika thread ile. Jibu ni kwamba ni receiving area ya mabaki ya marehemu Kanumba. Japo pia itachukua muda mrefu kusagwa na udongo!!! But ndiyo maziko mengi ya siku hizi ya wenye nazo. Nimehudhuria misiba kadhaa ya namna hiyo.
huo ndo ukwel na jamii imehuzunishwa na tukio na siyo kifo,alikua karibu na jamii kuliko rais ila alikua kimaslah na si kuelimisha
na hapa Sugu akitoa Salaam za Mwisho kwa niaba ya WAPIGANAJI WOTE , WAHANGA WOTE WA WIZI WA SANAA, NA KWANIABA YA VIJANA WAPENDA HAKI NA SANAA
nchi yetu njaa ni kali sana sasa angebobea kuelimisha zaidi ya kuburudisha asingepata mashabiki na kazi zake zisingenunuliwa sana...alisoma alama za nyakati na kuwapa wapenzi wake kitu wanataka![/QU@ kwel njaa ipo tena kali mno.
Pole yako.......
Na unadhani unanijua?
Pole sana. . . .
Binadamu ni wepesi sana wa iuhukumu mtadhani nyie ni malaika kumbe uozo mtupu.........
Dah!Kamanda anaonekana kuwa na machungu ya ukweli...Yaani badala ya kuonyesha ishara ya msalaba au kupiga magoti kama ilivyo ada ya madhehebu mengi ya ki kristo...Yeye kaamua kupiga salute kama mjeshi vile.