Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Mama na baba wa huo Jennifer wa Uncle JJ, hii ni wake up call muondoe binti yako ktk huu udhalilishaji wa watoto. Ukipuuza tegemea kumpata Kulu mwingine
 
Mie nimepata taabu sana kumwelewa ray,sikutegemea kama aweza kuwa na uwezo mdogo kichwani kwa kiasi kile.lakini naamini tutajua mengi siku za usoni,hakika kuna jambo ambalo ray analijua kuhusu mauti ya kanumba maana si rahisi kwa vitendo vyake na maneno yake anayosema hasa ktk kipindi hiki kigumu kwa tasnia ya filam.. r.i.p kanumba!
 

Tuseme heading haijaeleweka?
Ni hivi"uliumbwa kwa udongo utarudi kwa udongo"sawa?
Twende pole pole ili nikueleweshe ok?
 
Ndonyongijape heshima mbele!

Ulichosema chatosha kabisa. Pengine ni vema kujua kwamba wengine husumbuliwa na wivu usiokuwa na maana. Hebu fikiria Kanumba at age 28 ameweza kugusa mioyo ya watu kwa kiwango ambacho wengine wetu hapa hata mtaani hatujulikani, hatuna kipawa cha kuathiri (+ve/-ve) maisha ya watu nje ya familia zetu.

Kanumba kafanya Tz iwe juu katika filamu za kiswahili kwa ukanda wetu, kafanya kile ambacho football, riadha, ndondi, n.k havijaweza.

Hawa wanaokuja na story za Kanumba freemason, Kanumba mzinzi n.k walikuwa wapi kusema akiwa hai kama sio unafiki?
Je, kuna msafi kati yetu hata tunyooshe vidole? Tunajua alisema nini kabla hajakata roho? It takes just a minute to reconcile with God.

Hata kama sikuwa shabiki wake, the boy frm sukumaland deserved kuagwa kwa namna alivyoagwa!
 
Kanumba ndo nani? Ni yule mcheza mpira wa bolton aliyeanguka uwanjani? Mbona wanasema anaasili ya congo?
 
rekodi sawa wajomba,lakini twatakiwa tujikite zaidi kwa Mungu maana hatma ya maisha yetu yeye ndo anaijua!tusibishane kwa hili...R.I.P the great
 
baada ya kufa na kuzikwa kilicho muhimu kwa m/mungu ni mwili au roho/nafsi ya mja wake?
 
kukubalika ni kichwa cha mtu, wangapi maarufu wamekufa lakini watu hawakuwa wengi kama kwa kanumba?
 
Kwa kiasi fulani huu msiba unafadhaisha. Wanasiasa wameuvamia. Nafasi ya familia imekuwa hafifu sana. Steven hana ndugu, baba mdogo, shangazi, mjomba, mama mdogo, binamu? Tumesikiliza hotuba/salamu za watu baki na bila aibu serikali inatumia msiba huu kutangaza mikakati yake! Hili sio sahihi hata kidogo. Maiti iko mbele yao lakini watu wanaongea mambo mengine kabisa, mara tutaboresha tasnia ya filamu, mara vikao vijavyo vya bunge, mara kiasi cha ubani? How about Steven? Hivi leo ndiyo siku nzuri ya kujadili mipango ya kuboresha tasnia ya filamu nchini?

Lakini, ni lini tutaachana na tabia ya kutangaza mambo ya ubani kwenye maziko? Siku ya maziko ni ngumu sana kwa wanafamilia, the last thing you want hear ni mahotuba ya watu na vijihela vyao. Kama unataka kutoa hela toa kimya kimya na uende zako.
 
Watanzania bana wanashindanisha misiba...Mabutu, wa Zaire alizikwa na watu 8.
 
to me i learn alot..kumuomba mungu kifo chema,in reality kifo cha ndugu yetu tumuombee sana coz alikuwa na girl under 18 then alikuwa anakunywa whisk na isitoshe alikuwa anajiandaa kwenda club when you sum up jamaa alikuwa outluking best actor inside alikuwa mzinzi..nadhani Mungu hakupenda siku ile ya ijumaa kuu kufa kwa kristu katika mfungo mshkaji kufanya yale mambo..for Inteligent guyz he is like other hells
 
to me i learn alot..kumuomba mungu kifo chema,in reality kifo cha ndugu yetu tumuombee sana coz alikuwa na girl under 18 then alikuwa anakunywa whisk na isitoshe alikuwa anajiandaa kwenda club when you sum up jamaa alikuwa outluking best actor inside alikuwa mzinzi..nadhani Mungu hakupenda siku ile ya ijumaa kuu kufa kwa kristu katika mfungo mshkaji kufanya yale mambo..for Inteligent guyz he is like other hells
 
Nadhani kama umesome biblia vizuri, Ibrahim, Isaka na Yakobo walizikwa kwenye mapango ya miamba
Yesu alizikwa hivyo pia japo alifufuka.
Lazaro yule aliyefufuliwa na Yesu alizikwa namna hiyo hiyo
Wote hawakuzikwa na udongo
Wote hawakulala kwenye udongo
Wanadamu wa leo tumepewa kipaji cha kuumba miamba yaani zege
Sioni tatizo la kaburi la Kanumba
Nadhani wakati wa kushambuliana juu ya Kanumba umeisha
Iacheni familia yake sasa itafute faraja bila aina hii ya mijadala
 
tutakupenda na kuangalia movies zako kila wakati.baba wa bongo movie tanzania umetuachia majonzi na simanzi ambazo hazitafutika milele.
 
Nakubaliana na wewe na mtoa mada. Tuheshimu choices za watu wengine pia, binafsi kama mtoa mada si mpenzi kabisa wa movie za kibongo, na kanumba nilikuwa namjua partially, ila alipofariki, taarifa nilipata asubuhi kwa mke wangu na watoto, na tangu muda huo mpaka muda huu, watu hawatoki kwenye luninga, kufuatilia mazishi na yote yaliyokuwa yanajili.Mwanzoni niliwauliza, whats so special to kanumba?? Lakini nikajifunza kuwa, yawezekana hakuwa special kwangu ila kwa mke wangu na watoto alikuwa special kwao, maana pamoja na elimu ya mke wangu, kanumba alikuwa na nafasi kwenye moyo wake. Nimewapa nafasi na hata TV siku mbili hizi hatunyanganyi remote, baadala ya kungalia CNN au aljazeera, nimewaacha waangalie mazishi ya Kanumba!!! tuheshimu mawazo ya wengine pia. He was Great to them!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…