Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kama mimi ningekuwa kiongozi wa nchi,ningeamuru lijengwe Sanamu lenye sura ya Kanumba,kama lilivyo la Baba wa Taifa.
Jamaa kaitangaza sana Tanzania nje ya nchi. Lijengwe either Mwenge,Posta,round about ya kule Mbagala au Kariakoo,au hata Ubungo. Nitachangia mifuko miwili ya Cement.
Ni hayo tu wadau!
 
to me i learn alot..kumuomba mungu kifo chema,in reality kifo cha ndugu yetu tumuombee sana coz alikuwa na girl under 18 then alikuwa anakunywa whisk na isitoshe alikuwa anajiandaa kwenda club when you sum up jamaa alikuwa outluking best actor inside alikuwa mzinzi..nadhani Mungu hakupenda siku ile ya ijumaa kuu kufa kwa kristu katika mfungo mshkaji kufanya yale mambo..for Inteligent guyz he is like other hells

I happen to be a christian and was taught not to judge lest I be judged unless mafundisho yamebadilika pasaka ya 2012 coz sikwenda church.

Kama Kanumba alikuwa mdhambi was taught Mungu hapendi kifo cha mwenye dhambi. Ukiona upo upo hai jua Mungu kakupa chance uifikie toba maana ile hali ya kujiona mkamilifu ni dhambi tosha mbele za Mungu!
 
eti kuna tetesi simu yake iliyoleta balaa la ugomvi ilitoka kwa zitto kabwe kuna mwingine kasikia haya au ni mi mwenyewe...tutasika mengi sana wallah
 
kutokana na mafunzo ya dini niliyonayo marehemu yeyotehusemwa kwa mazuri yake na sio mabaya yake kwa imani kwamba mwenyenzimungu humpunguzia adhabu ya kaburi.sioni haja ya kumsemea kwa mabaya ndungu zangu wa jf.ni kweli kanumba kubwa.
 
Unadoubt nini? Unahakika gani kwamba hajafurahishwa na maziko ya mtoto wake kutekwa na vyombo vya habari pamoja na CCM? Unauhakika gani kwamba mila na desturi za maziko kwa mujibu wa wasukuma hazijazingatiwa? What relation is there between the dead and the living?

Ni kweli walio hai wanajua watakufa lakini wafu hawajui chochote hana hata kumbumbuku lolote
 
Mmmh leteni hata ya chini ya uvungu wa kitanda. Lazima kwenye ukweli uongo utajitenga,huhitaji haraka ni kuwa na subira.
 
Jamani kuna tetesi zimeenea na zinazozidi kuenea kwa kasi, eti kuwa Lulu ana mimba ya Kanumba, na eti Kanumba alitaka Lulu akaitoe lakini Lulu akagoma. Je wadau habari hizi zina ukweli wowote?

Jack Daniel's at work!
 
Mama lulu aongea na wanawake live nakuomba msaada wa mwanasheria ili kumsaidia mwanaye.

Source: channel five - wanawake live
 
Du kuna wadau wengi wanataka hii kesi pengine ndio lucky chance ya kukaopoa hako katoto kakubwa.
 
Nadhani hizo movie zake za mwisho zitauzika sana.
 
du jaman haya majibu na maswali yanafaa sana kutengeneza bonge la movie.R.I.P FATHER OF BONGO MOVIE TZ
 
Tumesema mengi juu ya Kanumba,kuna ambayo yatasaidia kutuelimisha.
Lakini sasa imebaki historia tuu.......Kanumba hayupo tena.
Mm nina yangu yamenigusa,kwanza natoa pole kwa wafiwa wote.
Baada ya pole sasa ngoja nifunguke.
Ktk ukiristo kuna kifungu kinasema"ulitoka kwa udongo utarudi kwa udongo"kwa uelewa wangu ni kwamba tuliumbwa kwa udongo na tutarudi udongoni.
Kwa kutumia kifungu hicho basi mwenyezi mungu atawahukumu wote waliomjengea kanumba "hekalu"la kumzikia badala ya kaburi.Sasa kwa mjengo huo yeye atarudi kwa udongo lini?Hamuoni kama atasubili miaka mingi sana kurudi udongoni?
Na huyo sijui padri hakuliona hili?au yeye kifungu hiki hakijui?
Nasisitiza kwamba hayati KANUMBA hakutendewa haki kabisaaaaa!
Naomba kuwakilisha.
RIP KANUMBA.

Hiyo ni tafsiri yako ya neno kwa neno. Tafsiri yangu ni kuwa kifo ni ukamilifu wa binadamu kwamba ni lazima kila mmoja wetu aonje kifo. Mambo ya unazikwaje na vipi ni wewe na matakwa ama utamaduni wenu.
 

Akihojiwa na Elisha wa TBC1 katika News Bulletin leo usiku, kijana ambaye huwa anafanya kazi na Kanumba kutengeneza Movies anasema, katika Movie ambayo haijatoka mbali na ile ya "Ndoa yangu" aliyocheza na Jackline Wolper, mdau huyo anasema Kanumba katika Movie hiyo, ameigiza matukio yanayoshabihiana na tukio lake la kufa kwake:

1. Alikuwa na Mpenzi aliye na figo moja akaamua kumpa figo yake lakini mpenzi huyo akamsaliti kwa kuwa na mwanaume mwingine

2. Katika Movie hiyo Kanumba anaanguka na alipokufa anasaidiwa na rafiki yake ambaye ndiye aliyeambatana na mwili wa Kanumba Muhimbili na kuusitiri kwa nguo.

3. Kanumba kisha katika Movie hiyo anakufa na kufanyiwa uchunguzi na daktari ambaye ndiye kihalisia ni moja ya waliomfanyia uchunguzi.


What a coincidence?

Consiparancy theory,kanumba ame-act movie karibia 40,na nyingi tu kanumba kapata misukosuko we haukumbuki ile My Sins? Mbona ya kitambo sana?
 
Back
Top Bottom