Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 166
Kama mimi ningekuwa kiongozi wa nchi,ningeamuru lijengwe Sanamu lenye sura ya Kanumba,kama lilivyo la Baba wa Taifa.
Jamaa kaitangaza sana Tanzania nje ya nchi. Lijengwe either Mwenge,Posta,round about ya kule Mbagala au Kariakoo,au hata Ubungo. Nitachangia mifuko miwili ya Cement.
Ni hayo tu wadau!
Jamaa kaitangaza sana Tanzania nje ya nchi. Lijengwe either Mwenge,Posta,round about ya kule Mbagala au Kariakoo,au hata Ubungo. Nitachangia mifuko miwili ya Cement.
Ni hayo tu wadau!