PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,199
- 8,761
Mkuu,Of course she will be cleared, kwanza hata hakutakiwa kuwa ndani anyway
Kwa lugha nyepesi alikuwa wrong place at wrong time
mkuu some madhara ya pombe kali halafu utajua
au unaweza kujaribu mwenyewe maliza mzinga wa konyagi halafu ukimbie kisha ugombane namtu kama hujampa huyo mtu uyounayegombana naye murder case
Konyagi haina hizo bana...!
TDL wako makini xana aisee!