Yaani vyombo vya habari vinatoa habari tofauti kabisa. Cheki hapo Mwananchi na The Citizen
Alichoeleza Lulu polisi hiki hapa
MSANII Elizabeth Michael (Lulu), ameiambia polisi kuwa kifo cha Steven Kanumba kimetokana na ugonvi kati yao, huku taarifa nyingine zikieleza kuwa huenda Lulu akafikishwa mahakamani leo.
Habari zilizopatikana jana kutoka Kituo cha Polisi Oysterbay zilieleza kuwa, Lulu alisema kuwa kulitokea ugomvi kati yake na Kanumba baada yeye kuzungumza na simu kutoka kwa mtu maarufu anayetajwa kuwa mpenzi wake. "Lulu alisema kuwa ugomvi ulitokana na simu aliyopigiwa na mpenzi wake mwingine, ambaye ni mtu maarufu nchini, ndipo Kanumba akamfokea na ndiyo ugomvi ukaanzia hapo," chanzo hicho kimesema.
Chanzo hicho kiliongeza kuwa baada ya Kanumba kuanguka, Lulu alitoka nje na kuondoka kwa gari lake hadi maeneo ya Coco Beach, lakini baadaye daktari wa Kanumba alimpigia simu akimtaka arudi ili wampeleke hospitali. "Alipororudi Sinza ndipo akakamatwa, lakini walikuja Kituo cha Polisi Oysterbay kuchukua PF3," kilisema chanzo hicho.
Chanzo kiliongeza kuwa tangu Lulu alipofikishwa kituoni hapo amekuwa mtulivu asiye na wasiwasi wowote hata katika mahojiano na polisi. Katika hatua nyingine, Polisi wa kituo hicho jana walipata wakati mgumu baada ya kuibuka kundi la vijana waliotokea makaburi ya Kinondoni kumzika Kanumba, walioandamana wakidai wanamtaka Lulu.
"Tunataka jembe letu", waliimba vijana hao waliofikia 100 wakitokea Barabara ya Ali Hassan Mwinyi huku wakishika majani na kufanya askari waliokuwapo kituoni hapo kuwahi kuchukua silaha na mabomu ya machozi kujiandaa kutuliza ghasia kama zingezuka. Hata hivyo vijana hao walitawanyika baada ya kuona askari wakiwa tayari kupambana nao na kukimbia maeneo mbalimbali.
Source:
http://www.mwananchi.co.tz/habari/49-uchaguzi-mkuu/21911-alichoeleza-lulu-polisi-hiki-hapa
Lulu's side story of Kanumba's death
The prime suspect in the death on Saturday of local film star Steven Kanumba spoke out on the tragedy for the first time just a day before tens of thousands of people gathered for his funeral yesterday. Elizabeth Michael, alias Lulu, broke her silence on Monday-two days after she was arrested. Investigators at Oysterbay police station had to engage a crime psychologist to get her to open up on the events leading up to the death of the star who had just been invited to Hollywood in the United States.
Highly placed police sources told The Citizen in an exclusive interview yesterday that Lulu, girlfriend of the deceased, started narrating what had transpired on the night the 28-year-old died after meeting the psychologist. "The suspect, who had refused to cooperate with police detectives from the Kinondoni regional police office, has now managed to speak for three hours with the psychologist," the sources said on condition of anonymity since they are not official spokespersons of the Tanzania Police Force.
The psychologist from the Criminal Investigation Department (CID) headquarters in Dar es Salaam chatted candidly with the suspect for three hours on Monday, a day before Kanumba was buried. Lulu reportedly told the investigators that Kanumba phoned her on the fateful night asking her to join him for an outing. She went to his home but told him she did not really want to go out and that she preferred to return home.
Kanumba allegedly wanted Lulu to accompany him to a Mashujaa Band show at Vingunguti, and became furious when she refused to accompany him. According to the sources, the misunderstanding between the two developed into a quarrel, with Kanumba demanding to know what it was that she had left at her home."According to Lulu, the deceased locked the door to his room," said the sources. "In a panic, she unlocked the door and fled."
Lulu is quoted as saying that she managed to escape after he fell and had no idea what transpired after her departure. The sources said police have also interrogated another suspect, a Bongo Flava musician (name withheld), who gave Lulu a lift when she left Kanumba's Sinza residence. "I am sorry, brother, I cannot comment on that issue," he told The Citizen before he hang up. According to detectives, other suspects have also been lined up for questioning. The sources could not say how long the interrogations would take.
In another development, the sources said heavyweight politicians related to Lulu have been sending her consolation text messages pledging to assist her. "Their involvement with the suspect could complicate our investigations," said the sources. Yesterday, this paper reported that Kanumba died of a brain injury caused by a sudden blow to the head.
One of the doctors who examined Kanumba's body at Muhimbili National Hospital hinted that the actor died on the spot after suffering such severe brain damage that he collapsed and stopped breathing. His sudden death sent shockwaves across the country, East Africa and West Africa-particularly Ghana and Nigeria-where he had achieved prominence in the continent's leading film industry, Nollywood. He had returned home from a trip to Ghana just a few days before his death.
Source: The Citizen:
Lulu