Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Nadhani ka inawezekana wangemuacha kwanza kwa muda wasimuhoji chochote, kama kweli aliyemuhoji ni mtaalamu wa psych nadhani itasaidia..Af tatizo jingine hao polisi ndo wanazidi kuchanganya watu kwa kuripoti kila siku habari tofauti tofauti, kwa nini wasimalize kwanza upelelezi wao ndo waje na habari kamili?
Kenyela tayari ameshaharibu kwa kauli yake mbofumbofu.