Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

kama kana miaka 17 sasa kalifata nini kwa "K"night lile?tena chumbani?
 
lulu ni mtu mzima ana miaka 18,.nakama ni mfatiliaji wa hbari hizi utakuwa shahidi kuwa kamanda alisema watamfikisha mahakamani baada ya mazishi ya kanumba na itakuwa haraka coz of public interest.lulu anawe asikutwe na hatia hlo najua ndilo linalofuata lakini naungana na mchangia hoja mmoja aliyesema siku zake zina hesabika!
 
Hata kama kana miaka 17 si kuna jela za watoto!! uongo wake utamponza sasa. Mara "sina boyfriend wala mchumba", mara kanakutwa nyumbani kwa mtu usiku wa manane, mwe!!!
 
Bado mi naamini kwamba huyu binti hana hatia. Tatizo halitakuwa mahakamani, tatizo litakuwa huku street maana wabongo wataona ka kapendelewa na watataka kulipiza kisasi sort of.
 
Wakuu yeye kuwa mfuasi wa masonic ni maisha yake alochagua kumwacha MUNGU kafuata dunia. Ila tusimhukumu mwenyekujua yote ni Mungu na washirika wake. Pipoz 2lobaki tuendeleze ya kwetu kivyetu.
 
Sasa mbona Lulu ameshikiliwa kwa muda mrefu zaidi?
Au walisubiri Kanumba azikwe kwanza?

Hajashikiriwa mda mrefu, ispokuwa unaona mda mrefu kwa sababu kulikuwa na public holydays na wkend ambazo kisheria hazihesabiki, maana hata mahakama hazifanyi kazi, hivyo wameanza kuhesabu jana jumanne. Ijue sheria plz
 
Ana miaka 17... Ile kujitanua kuwa ana miaka 18 ilikuwa ni mbwebwe za kimaisha!
Hii inaweza kuwa mbaya sana kwa Lulu. Naamini kwenye passport yake (kama anayo!) haitaonesha umri tofauti na ule wa kwenye cheti cha kuzaliwa ama record nyingine rasmi! Kukiwa na tofauti itakuwa rahisi sana upande wa mashitaka kuonesha kuwa haaminiki.
 

Mapaparazi leo wamekosa kuingiza siku kwa kukosa story muhimu ya kuweka heading kesho
 
17 years means she is a minor again means Kanumba was sex abuser! I am zipping my mouth!
 
Mrudie muumba wako,achana na ushirikina na utoto.amani kwako
 

Self defence.

Msichana mwenye miaka 17 yuko chumbani peke yake na mwanaume wa miaka 28 ambaye anakunywa Jack Daniels. Mwanaume ameenda juu na ana kilo zipatazo 80 wakati kabinti kenyewe hata kilo 40 hakana. halafu wako kwenye ugomvi wa simu peke yao chumbani. Kama self defence haifanyi kazi basi alianguka mwenyewe. Halafu wamemhoji bila kuwa na mwanasheria wake, au mzazi wake au mlinzi wea amani. Cime scene imeshavurugwa, mashahidi muhimu kama Kanumba mdogo wanapeta barabarani wakati wao ni washukiwa namba moja ........... Hakuna kitu hapo!!!
 
Mmmh nina shaka tunataka kuhukumu bila kuwa na ushahidi... tusubiri tuone mwenendo wa kesi si vizuri kuhukumu kwa hisia. Ni muhimu kujizuia hisia zenu kwani kesi haiamuliwi kwa hisia. Hebu na tutunze hazi ya jamii forum na si vizuri kuleta habari za kimtaa humu ndani.
 
Anyaways, huenda alikuwa anataka apate nafasi ya kujivinjari na aweze kununua pombe...si unajua POMBE is not sold to below 18yrs...anavyoonekana hakika bado mdogo!
Raha hizi duh!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…