Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Na wewe ulijuaje hayo ya kujifunga vitambaa maalum na nguo maalum,je ni mmoja wao?

Najua kwasababu nataka kujua na najishugulisha kujua, hawa freemasons wapo kitambo sana sema watu wameanza wajua miaka ya karibuni na wanajifanya wanawajua sana kutoka story za mitaani,
Mimi nimeanza fuatilia na kusoma habari za freemasons toka mwaka 1999.
Achan kusoma habari za magazeti ya udaku tafta habari zao kama kweli unapenda utajua.
Usiniulize kama mimi ni mwanachama au si mwanachama coz haitakusaidia kitu kwa kujua hilo
 
Kamanda Kenyela ametimiza ahadi, bibie Lulu uso kwa Pilato Kisutu. Ameletwa kwa uficho mkubwa. Haki itadhihiri.
 
Na wewe ulijuaje hayo ya kujifunga vitambaa maalum na nguo maalum,je ni mmoja wao?

Mkuu,kujua havina uhusiano na kuwa muumini.Mimi ni Islamic bt najua kwa wakiristo Padre anavaa Kanzu,U may get knowledge n skill e.t.c. Via ur exposure.Let hm atuhabarishe inawezekana kasha soma somewhere,au kuona n.k
 
Mkuu,kujua havina uhusiano na kuwa muumini.Mimi ni Islamic bt najua kwa wakiristo Padre anavaa Kanzu,U may get knowledge n skill e.t.c. Via ur exposure.Let hm atuhabarishe inawezekana kasha soma somewhere,au kuona n.k

Nashukuru kwa kumuahabarisha mdau, ntawawekea picha ya freemasons wanavaaje wakiwa katika ibada zao
 
leo anasomewa charges tu Kisutu haina mamlaka ya kuisikiliza kesi, bint aombe Mungu wapelelezi,waendesha mashtaka na jaji wawe wanaharakati na wale angry jurors. Leo haruhusiwi kuongea lolote
 
eh! mapema hivyo tupe taarifa mkuu.
Kwa mujibu wa sheria mtu anatakiwa kushikiliwa bila kufikishwa mahakamani kwa saa 24 tuu!.

Lengo la kumfikisha mahakamani ni kumsomea tuu sababu za yeye kushikiliwa na hatatakiwa kujibu chochote. Kama ana wakili makini, ni leo leo anapewa dhamana ingawa mahakama inaweza kumkatalia dhamana kwa hoja ya kuhofia usalama wake kwa sababu deceased ni public figure na kesi itaatract public interest hivyo Lulu atakuwa salama zaidi mikononi mwa wana usalama!.
 
freemanson ipo zaidi ya miaka mia hapa east africa na jengo lao pale town lipo long time inakuwaje siku hizi ndo imekuwa gumzo kana kwamba ni jambo geni sana?
 
Sasa mbona Lulu ameshikiliwa kwa muda mrefu zaidi?
Au walisubiri Kanumba azikwe kwanza?
Haya ni matatizo ya mahakama zetu. Ingekuwa kwa wenzetu mtu anapelekwa chambers hata usiku ule ule wa Jumamosi!.
 
Kama Polisi wangeamua kuifanya hii kazi ya kupepeleza kifo cha Kanumba kiprofessional tayari hadi muda huu wangeshapata stori halisi ya kilichotokea na waache kutusumbua kwa vistori vyao visivyoeleweka, mara stori hii kesho stori nyingine.

Karibu watu muhimu wa kuwasaidia katika hii kesi wanao, kinachotakiwa ni kuwauliza maswali sahihi kwa mtu husika na katika mood sahihi wapate stori inayoeleweka.

Mdogo wake Kanumba na Lulu wanatosha kabisa kuwapa data za uhakika. Halafu ni makosa kuhusisha habari za udaku katika kesi serious kama hii. Vyombo vya habari vinaweza kuharibu objectivity ya uchunguzi.

Wakati mwingine si lazima Lulu ahojiwe kama prime suspect -- uwezekano wa Kanumba kucollapse yeye mwenyewe bila kuguswa na mtu yoyote upo (cardiac arrest, low blood pressure, comes to mind). Lulu ahojiwe, kwa upole na bila nia yoyote ya kumtisha na jela. Umri wa Lulu pia uzingatiwe.
 
Ingawa mimi sio mungu wa kuhukumu wa kutabiri, ila huyu dogo naye siku zake zinahesabika. Samahani kwa wale nitakaokuwa nimewakwaza hapo.

Pata picha:- Ni maisha gani ataishi baada ya misukosuko hii? Jamii yetu ya watu tusiojua sheria itamwelewaje?
 
She has complicated her life because of having affairs with a number of men. Could you imagine she was instantly picked from the scene by another man?...du her line was and remains very hot.

She has got it coming.
Despite all the evidence, she might get away with it.
With reputable investigators, there is no way she can get away with it.....
They locked themselves in a room, the guy was pushed ( established cause of his death) and the girl run away...

 
Back
Top Bottom