Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ni muumini wa Freemanson? Umejuaje kwamba wana nguo maalumu na wana kitambaa wanajifunika usawa wa zip? Hebu tuambie vizuri ni nini unachokifahamu wewe kuhusu Freemanson, maana naona unatumia nguvu nyingi sana kukanusha juu ya Kanumba kuuawa na Freemanson, labda wewe kuna unachokijua zaidi ya hayo.huu wehu sijui utaisha lini?
Freemasons freemasons, wengine washaanza kudai tarehe aliyokufa ya kifreemasons sijui nini?
Kwani kuna tarehe maalum ambazo mtu inabdi afe?
Wengine nimesikia wakidai eti kuna dada flani alisema aliwahi waona kanumba na watu wengne saba wakiingia hotelin wakisali kwenye chumba flani uchi.
Kwanza freemasons hawasali uchi kama inavyodaiwa wana nguo zao maalum wanazovaa kwenye ibada zao huku wakiwa wamejifunga kitambaa maalumu kinachodunika maeneo ya zip za masuruali yao.
Pili kama walikuwa wanasali uchi yeye alijuaje wakati anadai walikuwa wamejifungia ndani ya chumba.
Acheni mambo ya kufikirika
huu wehu sijui utaisha lini?
Freemasons freemasons, wengine washaanza kudai tarehe aliyokufa ya kifreemasons sijui nini?
Kwani kuna tarehe maalum ambazo mtu inabdi afe?
Wengine nimesikia wakidai eti kuna dada flani alisema aliwahi waona kanumba na watu wengne saba wakiingia hotelin wakisali kwenye chumba flani uchi.
Kwanza freemasons hawasali uchi kama inavyodaiwa wana nguo zao maalum wanazovaa kwenye ibada zao huku wakiwa wamejifunga kitambaa maalumu kinachodunika maeneo ya zip za masuruali yao.
Pili kama walikuwa wanasali uchi yeye alijuaje wakati anadai walikuwa wamejifungia ndani ya chumba.
Acheni mambo ya kufikirika
Uzazi si lele mama. Pole mama
maswali mengine ya Kijinga Freemason habari zake ukitaka kujua unaweza kufatiya zipo wazi sana,wewe ni muumini wa Freemanson? Umejuaje kwamba wana nguo maalumu na wana kitambaa wanajifunika usawa wa zip? Hebu tuambie vizuri ni nini unachokifahamu wewe kuhusu Freemanson, maana naona unatumia nguvu nyingi sana kukanusha juu ya Kanumba kuuawa na Freemanson, labda wewe kuna unachokijua zaidi ya hayo.
wewe ni muumini wa Freemanson? Umejuaje kwamba wana nguo maalumu na wana kitambaa wanajifunika usawa wa zip? Hebu tuambie vizuri ni nini unachokifahamu wewe kuhusu Freemanson, maana naona unatumia nguvu nyingi sana kukanusha juu ya Kanumba kuuawa na Freemanson, labda wewe kuna unachokijua zaidi ya hayo.
Na wewe ulijuaje hayo ya kujifunga vitambaa maalum na nguo maalum,je ni mmoja wao?huu wehu sijui utaisha lini?
Freemasons freemasons, wengine washaanza kudai tarehe aliyokufa ya kifreemasons sijui nini?
Kwani kuna tarehe maalum ambazo mtu inabdi afe?
Wengine nimesikia wakidai eti kuna dada flani alisema aliwahi waona kanumba na watu wengne saba wakiingia hotelin wakisali kwenye chumba flani uchi.
Kwanza freemasons hawasali uchi kama inavyodaiwa wana nguo zao maalum wanazovaa kwenye ibada zao huku wakiwa wamejifunga kitambaa maalumu kinachodunika maeneo ya zip za masuruali yao.
Pili kama walikuwa wanasali uchi yeye alijuaje wakati anadai walikuwa wamejifungia ndani ya chumba.
Acheni mambo ya kufikirika