Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Mama yake amesema mwanae ana miaka 17, tena ametimiza juzi juzi tu, nyie mnasema ana miaka 18, nani tumuamini??

Hata katika mahojiano kalikuwa kanamuuliza Salama na wapambe wake kuna ambaye amewahi kukiona cheti chake cha kuzaliwa? Kalikuwa kanajiongezea umri ili kapate fursa ya kuingia viwanja vya WAKUBWA wenzie akina Kanumba...
 
Yaani mtu ukishakuwa maarufu na tajiri basi we ni Freemason? Basi wote tuwe maskini ili tusionekane kuwa Freemason (whatever whata that mean).

Anyway, Kanumba mafanikio yake yalikuwa kwenye kujituma na kucheza na akili za watu. Alicheza na akili za wabongo akajua wanapenda maigizo ya ukatuni -- mapenzi feki, maisha ya anasa na utajiri wa ndoto -- na watu wakanunua movie zake akawa na pesa ya kula. Sasa ufreemason unatoka wapi hapa?
 
huyu mtoto muongo,hata ukiangalia kipindi cha mikasi,maelezo yake ya ki uongo uongo.alivyotimiza 18,alitangazia mpaka face book.inaonyesha kuna watu wanamwambia aseme hivyo.ila anaweza kujiponza mwenyewe.
 
their trying to comfuse us,why every day they come with new report! i don think if we should trust police!
 
Reactions: EMT


hapo kwenye red fafanua kidogo una maana klianza kupigwa viboko au P..bu!!!
 

Kwenye interview yake na Mkasi alibabwa kama anasoma akasema kwa sasa hasomi lakini anataka kuanza kusoma tena.
 

mbona ghafla tu watetezi wa lulu wamekua wengi?? JF sio mahakama so far hizi sio hukumu bali ni maoni ya watu binafsi jamani.
 
Mbona mshaanza kumuhukumu kama amefikishwa mahakamani tusubirie je kama kanumba alianguka mwenyewe mtamsingizia lulu leo hii kama ndo lulu alianguka akaaga maisha mngesema kitu gani na yy ni binadamu sio kuanza kumrushia maneno. Nani asiyedanganya hata ww kazini umri mwingine , kama unapasport umri mwingine na kwa mpenzi wako umri mwingie. Angalieni upande wa pili wa shilingi
 
[h=3]AliKiba kufia jela[/h]

a

ENDAPO itathibitika kuwa, ni kweli msanii wa Bongo Flava, Ali Saleh Kiba ‘Ali Kiba' anavunja amri ya sita na nyota mdogo anayetamba katika tasnia ya filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu', basi mwanamuziki huyo anaweza kuingia matatani ikiwemo kwenda jela maisha au kifungo cha miaka 30, Risasi Jumamosi limenyetishiwa.



Hilo linathibitishwa na baadhi ya Wanasheria wa Tanzania ambao waliongea na gazeti hili Alhamisi (juzi) na kutoa baadhi ya vifungu vya sheria ambavyo vinaweza kumweka pabaya Ali kiba a.k.a Kiba endapo tu itathibitika anacheza mchezo wa ‘baba na mama' na kinda huyo mwenye umri chini ya miaka 18.


Kufuatia kuwepo kwa hali hiyo huku Lulu akiwa hajafikisha umri wa kuamua kuwa na mpenzi, Risasi Jumamosi liliongea na Wanasheria, Dk. Ngali Maita, Sylvester Shayo na Issa Maige, ambao waliweka bayana kuwa, kufanya mapenzi na binti mwenye umri wa chini ya miaka 18 ni ubakaji hata kama msichana atakuwa ameridhia.


Mawakili hao waliweka bayana kuwa, kwa mujibu wa sheria za mwenendo wa Makosa ya Jinai Sura ya 16 (The penal code, caption 16) pamoja na sheria ya kujamiiana ya mwaka 1998 (Sexual Offences Special Provission Act of 1998 (SOSPA) adhabu yake ni kifungo cha maisha (life sentence imprisonment).


Kuwepo kwa adhabu hiyo kunasisitizwa na Wakili Issa John Maige wa MJ Diamond Advocates ambaye aliweka kweupe kwamba, kwa mujibu wa sheria mpya ya ubakaji, mwanaume au mwanamke anayefanya mapenzi na mtu wa chini ya miaka 18 anahesabiwa kubaka hata kama wawili hao watakuwa katika ridhaa.


Alisema kuwa, kinachotakiwa kuwepo na mtu atakeyelalamika ili sheria ichukue mkondo wake ambapo ni pamoja na vyombo vya Dola kumtia nguvuni mhusika.


Katika mahojiano na Kituo cha Televisheni cha Clouds hivi karibuni, Lulu alikaririwa akisema kuwa, mwananume anayeamini atamuoa ni Ali Kiba hivyo kuifanya jamii kuamini minong'ono ya mara kwa mara kuwa, wawili hao wanatoka kimapenzi.


Hata hivyo, kwa upande wake, Ali Kiba alipopewa fursa ya kulielezea hilo, alisema Lulu alikuwa anajifurahisha tu lakini yeye hana uhusiano na ‘sidanganyiki' huyo licha ya kukiri kwamba, wanafahamiana na wana ukaribu.


Sintofahamu kwa usiri wa wawili hao unazidi kujikunja na kisha kukunjuka kufuatia miezi ya karibuni, Lulu kufikishana Polisi Magomeni na mrembo aliyewahi kushiriki Miss Dar City Centre wakidaiana kuibiana simu lakini mlimbwende huyo alikwenda mbele zaidi pale alipoweka wazi kuwa, Lulu amekuwa akimwonea wivu akiamini yeye (mrembo) ana uhusiano wa kimapenzi na Kiba.
 


Marehemu Kanumba alikuwa anafaidi jamani uongo mbaya mtoto amejaliwa mashallah
 
wamemshitaki kwa makosa yapi? na ni nani watakuwa mashahidi wa mshitaka???? I hope lulu atashinda kesi kwa sababu hakutakuwa na ushahidi wa kutosha kumtia hatiani.
 
Yo Yo hujui kuna account za watoto?

najua ila nijuavyo huwa kuna kuwa na wasimamizi...au sio?? mtoto wa miaka 10 akifungua account au akifunguliwa account anaweza kwenda mwenyewe dirishani ana akatoa mkwanja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…