Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani anashitakiwa na ndugu wa marehemu au na jamhuri ya muungano wa Tanzania(wazinzi)?Duh, kwani ndugu wa marhemu wanataka afungwe?
sasa arifu...hizi mbwembwe ndio zinamgarimu....Ana miaka 17... Ile kujitanua kuwa ana miaka 18 ilikuwa ni mbwebwe za kimaisha!
Ki ukweli kanapikiwa maelezo ili Kanumba aonekana alikuwa anakabaka, ila kama ni kupigwa kameanza na miaka 6 so ni kazoefu kwa kwenda mbele, ila kwa kesi hii marehemu hana haki uwezekano wa kushinda kwa kigezo cha umri na kutokuwa/kukosa ushahidi wa kumsukuma inaweza ikamtoa.
sasa arifu...hizi mbwembwe ndio zinamgarimu....
hiiv benki zinaruhusu minor kufungua account yeye kama yeye?
EMT, if there is any help that she needs, its a good lawyer. Not because she has a very bad case, but bongo systems she might stay in prison for 5 years to be told she doesn't have a case to answer. By that time tutakuwa tushamsahau. Isn't she schooling?
Mmmh nina shaka tunataka kuhukumu bila kuwa na ushahidi... tusubiri tuone mwenendo wa kesi si vizuri kuhukumu kwa hisia. Ni muhimu kujizuia hisia zenu kwani kesi haiamuliwi kwa hisia. Hebu na tutunze hazi ya jamii forum na si vizuri kuleta habari za kimtaa humu ndani.
hapo kwenye red fafanua kidogo una maana klianza kupigwa viboko au P..bu!!!
aYo Yo hujui kuna account za watoto?