Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Anyaways, huenda alikuwa anataka apate nafasi ya kujivinjari na aweze kununua pombe...si unajua POMBE is not sold to below 18yrs...anavyoonekana hakika bado mdogo!
Raha hizi duh!!!

kweli ni mdogo wa umri ila mkubwa wa mambo na vitabia vya ajabu.
 
Hapo longo longo zimeshaanza,haki kupatikana ni sawa nakusoma heru za kichina.

RUSHWA DHAMBI MBAYA XANA
 
Alichoeleza LULU polisi kiko HAPA

Ukisoma ni tofauti na habari ya The Citizen

Alichoeleza Lulu polisi hiki hapa

MSANII Elizabeth Michael (Lulu), ameiambia polisi kuwa kifo cha Steven Kanumba kimetokana na ugonvi kati yao, huku taarifa nyingine zikieleza kuwa huenda Lulu akafikishwa mahakamani leo.

Habari zilizopatikana jana kutoka Kituo cha Polisi Oysterbay zilieleza kuwa, Lulu alisema kuwa kulitokea ugomvi kati yake na Kanumba baada yeye kuzungumza na simu kutoka kwa mtu maarufu anayetajwa kuwa mpenzi wake. "Lulu alisema kuwa ugomvi ulitokana na simu aliyopigiwa na mpenzi wake mwingine, ambaye ni mtu maarufu nchini, ndipo Kanumba akamfokea na ndiyo ugomvi ukaanzia hapo," chanzo hicho kimesema.

Chanzo hicho kiliongeza kuwa baada ya Kanumba kuanguka, Lulu alitoka nje na kuondoka kwa gari lake hadi maeneo ya Coco Beach, lakini baadaye daktari wa Kanumba alimpigia simu akimtaka arudi ili wampeleke hospitali. "Alipororudi Sinza ndipo akakamatwa, lakini walikuja Kituo cha Polisi Oysterbay kuchukua PF3," kilisema chanzo hicho.

Chanzo kiliongeza kuwa tangu Lulu alipofikishwa kituoni hapo amekuwa mtulivu asiye na wasiwasi wowote hata katika mahojiano na polisi. Katika hatua nyingine, Polisi wa kituo hicho jana walipata wakati mgumu baada ya kuibuka kundi la vijana waliotokea makaburi ya Kinondoni kumzika Kanumba, walioandamana wakidai wanamtaka Lulu.

"Tunataka jembe letu", waliimba vijana hao waliofikia 100 wakitokea Barabara ya Ali Hassan Mwinyi huku wakishika majani na kufanya askari waliokuwapo kituoni hapo kuwahi kuchukua silaha na mabomu ya machozi kujiandaa kutuliza ghasia kama zingezuka. Hata hivyo vijana hao walitawanyika baada ya kuona askari wakiwa tayari kupambana nao na kukimbia maeneo mbalimbali.

http://www.mwananchi.co.tz/habari/49-uchaguzi-mkuu/21911-alichoeleza-lulu-polisi-hiki-hapa
 
swala la msingi ni je kweli lulu kaua au kanumba mwenyewe kajiua kwa namna moja au nyingine.
kama kweli kaua na uthibitisho ukawepo sheria za "tanzania itachukua mkondo wake.
 
usitumie biblia vibya kuhusisha na kifo cha mtu! Baba yake kanumba tena ame sema watu kama ninyi mtatokea na kusema kama uliyoyasema na akathibitisha kuwa walisha samehana kitambo na walikuwa na mawasilino hivi karibuni! kuna watu wana kufa wakiwa wadogo je wote hao hawa kuwaheshimu wazazi wao? jaribu kutafakari neno kabla ya kulipublish.Amani kwako
 
swala la msingi ni je kweli lulu kaua au kanumba mwenyewe kajiua kwa namna moja au nyingine.
kama kweli kaua na uthibitisho ukawepo sheria za "tanzania itachukua mkondo wake.

Tanzania inakabiliwa na uhaba mkubwa wa ushahidi
 
My story baada ya kusikia stori tofauti tofauti za Lulu na Sethi, mdogo wake Kanumba, kwa mtazamo wangu inaonekana stori halisi iko hivi:

Kanumba alimpigia simu Lulu aje watoke out. Akamtaarifu na mdogo wake ajiandae. Mdogo wake akajiandaa. Lulu akaja. Akiwa hapo kwa Kanumba akapigiwa simu/ akatumiwa meseji na mwanaume mwingine (huyo mbongo fleva) akimtaka waonane. Lulu akaanza kutoa visingizio kuwa hataki kwenda tena 'club' bali anataka kurudi nyumbani.

Kanumba akawa na wasiwasi ni kwa nini atake tena kurudi nyumbani wakati ashafika kwake! Mzozo ukatokea. Wakati bado wakiwa katika mzozo Lulu akapigiwa simu tena na huyo mwanaume kumtaarifu kuwa kafika hapo kumpick. Lulu akapokea hiyo simu mbele ya Kanumba lakini akaanza kuongea huku akitoka nje.

Kanumba akawa ashaelewa nini kinaendelea. Akamfuata kwa hasira na kumrudisha ndani kisha kufunga mlango. Zikaanza purukushani za kugombania funguo kutoka nje. Katika hizi purukushani Kanumba akaanguka (maybe kwa kusukumwa au kuteleza). Lulu akapata chance ya kufungua mlango na kutoka.

Hapo nje akamwamwambia Sethi kuwa kakako yuko kadondoka huko chumbani, kwa sababu tayari alikuwa na wasiwasi kuwa Kanumba kaumia sana. Akapanda gari lililokuwa linamsubiri hapo nje akaondoka. Sethi akaenda kumcheki kaka yake akampigia daktari. ...........
 
Tumechoka kila upitapo kanumba kanumba kanumba......jaman tuendelee na story zingine khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Huyu siye bana.........hili limekomaa tayari......yeye huyu hapa katikati ya usiku



umaarufu wa kijinga mbaya, hili ndio tatizo la mastar wa bongo wanafikiri kuvaa mavazi ya ajabu ajabu na vituko mtaani ni sifa eti waziita SWAGA.
haya binti mdogo kama huyu usiku huu na nguo hizi picha hii ilinifanya nisimpende kabisa lulu kapotea akiwa mdogo sana anyway sipendi kumuhukumu pengine kuna sababu zinazomfanya awe hivi ila naamini anahitaji msaada wa kujitambua zaidi na mtu kumwambia effect ya matendo afanyayo.
 

Nani alaumiwe sasa?

 

Sijui kwanini hizi sentensi kama mzazi zinanichoma sana, sijui mama yake anaumiaje, jamani tupunguze kutoa maneno makali hivi tumuonee huruma mzazi mwenzetu (Mama Lulu)
 
sio tu kwamba haki itendeke.. tunataka isikike na kuonekana imetendeka... kama ni lulu au marehemu kanumba mwenye haki na apewe..
 
Picha hii ilipigwa miaka 3 iliyopita, hahahaaaah Lulu hata mimi ningepata fursa ningemtafuna




 


MONDAY, APRIL 2, 2012


KUPITIA MKASI YA EATV: LULU AWEKA MAMBO HADHARANI,!!

Ndiye muigizaji mwenye umri mdogo lakini mwenye mambo makubwa sana,leo alikuwa akizungumza na Salama J pale EATV ambapo aliweza kuzungumzia maisha yake kwa kifupi japo alikuwa akisita kuzungumzia badhi ya mambo lakini vijana waliweza kumbana vilivyo. Mwenyewe alianza kwa kusema kuwa yeye hapangiwi la kufanya na familia yake japo kiumri unaweza kumuona bado ni mtoto ambapo alidai kuwa huwa anajisikia vibaya sana akiandikwa na kusemwa kupitia vyombo vya habari ndio sababu huwa anajishtukia kila apitapo mahali.

Lakini je,alianzaje kuwa supastaa hadi anafikia kujishtukia,jibu ni dokta Cheni ambaye aliweza kugundua kipaji chake na kumpeleka pale Kaole sanaa group kipindi hiko akiwa mwanafunzi wa shule ya msingi na ndipo ndoo yake ya uigizaji ilipotimia ambapo kwa sasa ana ndoto ya kuwa msanii wa muziki wa bongo, Lakini swali likaja vipi kuhusiana na skendo mzito za mapenzi anazopewa,,mwenyewe akadai kuwa hajawahi kuwa na uhusiano na watu maarufu ikiwemo wa muziki wa bongo licha ya kuwa alishathibitishaga kupitia Clouds fm kuwa alishawahi kuwa na mahusiano na wasanii fulani hapa bongo, pia alikanusha ile habari ya kuwa yeye anapenda kutoka kimapenzi na waschana wenzake na kudai kuwa huo ni uzushi tu wa wasiomtakia mema, Mwisho swala likaja kwenye elimu, hapa ndipo alipoanza kujing'ata mara nipo chuo ghafla nimeishia kidato cha nne na natarajia kurudi kwenye elimu baadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…