Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,785
- 821
miaka 17 toka lini na ile pati ya kufikisha miaka 18 ilikuwaje mwaka jana, na yale mahojiano ya kipindi cha salama jabiri,na kipindi cha take one au kwasababu ya kifo cha kanumba miaka inarudishwa nyuma???
alianza kumshauri kamsahuri vibaya
Aliongeza miaka ili kuhalalisha mahusiano ya kingono na Steven.