Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

hehehehhe wewe hii sred yako watu watakimbia akaunti zao, uje kuna vigogo humu ndani
 
"Msianze kuleta maneno yenu ya umbea umbea na uzushi eti hajafika kwenye msiba wa mwanawe kwa kuwa hawaelewani huo ni uzushi, walishaelewana na alikuwa na mawasiliano mazuri na mke wake mama Kanumba na ndiyo maana akatuma wawakilishi wake,"alisema Shibuda.
 
huyo Lulualienda kujichana huko chini. kama ana majeraha lini wamempeleka kutibiwa tangu wamshikilie?
 
hata huyu binti ana gari? Dah lazima nipambane mwaka huu na mm nivute kasuzuki.....habari za kiitelijensia zinasema huyo mtu ni vicent kigosi.
 
Kuna habari za kuaminika kuwa Marehemu Kanumba alikuwa hadi kaagiza RPG na Heavy Machine Gun hapo kwake.

Na ili kujilinda na kupata usafiri wa uhakika, Kanumba alikuwa mbioni kuwa Muafrica wa kwanza kuwa na Apache yake.

Nashindwa kuelewa siku ikifika, itauzwa Kenya au JWTZ wataamua kuinunua maana sidhani kama wanayo.

 
kama unavyosema inaweza kuwa sahihi kufikiri nje ya mawazo tuliyonayo sasa...japo ndio hivyo mara freemansons mara pombe basi ilimradi kila mtu anastory yake

Hapoooo ndio sielewi mbona wanasema jamaa alikua hatumii hiyo kitu,lipi ni lipi???!!!waiiiii wanatuchosha tu.
 

Eeh hii tena mpyaaaa......kama muvi vileeeee teh teh teh kasheshe.
 
Nauliza kwa wanasheria wetu kwenye kesi Marehemu Kanumba hana makosa yoyote?
 
mh? mengi yatasemwa ila ukweli utajulikana tu damu ya m2 aipotei hivi hivi
 
Hiyo picha si ya leo! Ni moja ya kesi zake za zamani...
 
....i pity her.....
Hyu mdogo wa Kanumba kwanin yuko huru.....
Kuna kitu bado kinafichwa....

...intellijensia uharo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…