Teh teh teh!naombeni kama kuna mwenye kuweza kunipa ramani ya kuonana na wazazi wake jamani nafikiri nahtaji kuongea nao juu ya malezi manake wameshindwa kazi.
kulala tu!!!!!! wengine usiku wana DO juu ya kaburi!!!!Zamani watu tulikuwa tunaogopa makaburi sana ila siku hizi mpaka mtu analala juu ya kaburi???
Yaani kwa mwendo huu TACAIDS wana kazi kweli!
Ninadhani huyu mheshimiwa ana "wapenzi wengine", na pia Kanumba alikuwa na "wapenzi wengine", na zaidi ni kwamba hao "wapenzi wengine" wana "wapenzi wengine" ambao wana "wapenzi wengine" ambao nao pia wana "wapenzi wengine" ambao wana....na hatimaye, huenda wewe pia ni mmoja wao wa hao "wapenzi wengine" na una "wapenzi wengine".
Capt John Komba
Ummeonaeeee, with this case tutaona mengi na tusiyoyategemea hahahaaSina uhakika kama kweli wamempeleka jela,usikute yupo hotelini anakula bata chini ya ulinzi chezeeaa pedesheee za town??
hana gari huyo binti ila alikuwa anatumia gari aliyohongwa na kigogo mmoja wa Chama Cha Matusi ambaye ni mbunge toka mkoa wa jimbo mojawapo mkoani Tanga.
TB Joshua, ataheshimu wakubwa mara mia. Isn't?