Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

[h=3]JE UNAJUA MAANA HALISI YA MAJINA WALOKUWA WANAITANA LULU NA KANUMBA (CINDY NA MOPAO)[/h]
bofya hapa Chungulia Dar

kumbe jamaa alikua anakalamaba haka binti toka zamani........
 

kasheshe chain kali..
 
Mopao(Koffee olomide) mutu ya pakee mutu ya pesa mingi patiroo sakonzii mwonkozi pedesheee na Cindy(Muke ya koffie) jolie bebe mamaa ya pakeee
 
kwani Kenya Kesi ya mauaji in ina dhamana?

Tangu Katiba mpya ipitishwe kuna dhamana. Lakini sana sana huwekwa shilling millioni moja za Kenya. Hutegemeya circumstances. Hi ya lulu angepewa dhamana ndogo au kwa sureties. Au pia hangepewa kutokana na ule msongamano Wa vijana baada ya ya SK for her own safety
 
yewooomiii, kuna watu hawana huruma wanamdondoshea Ray nyundo za kichwa live bila chenga wala!
 
Ila jamani mie nimekosa neno juu ya hapa..
Tumuache mungu pekee afanye kazi ya kuhukumu
 
Kila ja;mbo hutokea kwa sababu

Wahenga walisema' Asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu'. Nadhani hili limetokea ili 'mtoto Lulu' as people call her afunzwe na ulimwengu kwani mama yake ammeshindwa kumfunza!
 
Nina hakika Mh. A/H. Mdee na mwenzake wasingejitokeza kumtetea Kanumba(R.I.P), hapa nadhani wameonyesha udhaifu wa hali ya juu. Kwamba wako radhi haki isitendeke kisa ni mwenzetu.
 

Its immaterial kwasababu, hayo unayoongea hayakutokea.
 
Nina hakika Mh. A/H. Mdee na mwenzake wasingejitokeza kumtetea Kanumba(R.I.P), hapa nadhani wameonyesha udhaufu wa hali ya juu. Kwamba wako radhi haki isitendeke kisa ni mwenzetu.

Mimi nilidhani wameenda kama Wabunge wanawake na kujua kulikoni binti mdogo kama yule ahusishwe na mauaji...

Maana kuna wanaodhani kuwa alipanga kwenda usiku kumuua Kanumba.. Na akatekeleza mauaji hayo.. Yaani binadamu sisi..

Wakati shilingi ina pande mbili,wengi tunaangalia upande mmoja tu kuwa 'kaua',hatudhani pengine kwamba haikuwa kusudi lake hata kidogo..
 
Wapo wengi tu, wanaoonekana na wasioonekana. Wawili wamejitokeza kumsaidia na ni wabunge!
 

Hivi freemasons ni waumini wenye athili ya Ki-afrika tu, mbona kwenye hii picha simuoni muumini wa kizungu?
 

Safi sana mkuu,fo quoted words.BG UP
 
 
Kama ingekua Lulu watu wengi wasingejali sana kutokana na jinsi anavyo jiwakilisha kwenye jamii.

Watu wengi wamemhukumu Lulu kutokana na tabia zake na mapenzi yao kwa Kanumba.

Ukweli halisi kwenye hii kesi hatuujui, kwa vile ndugu wa marehemu anasema kulikua na ugomvi inawezekana kabisa Lulu alikua ana jilinda au ana rudisha mashambulizi kwa vile marehemu alikua anamshambulia pia.

Kwa vile marehemu alikua amelewa (polisi ndio wamesema alikua amelewa), katika kusukumwa na Lulu alikosa balanca na kuangukia kichwa; au kwa vile. Alikua ametoka kuoga kama ndugu alivyosema, labda. Katika pulukushani za ugomvi aliteleza na ndio bahati mbaya kaangaukia kisogo na kupoteza maisha.

Ugomvi katika mapenzi yanatokea, na kila siku wanawake wanakua victims, kwahio tukumbuke pia kila mtu ana haki ya kujitetea pale anapoona maisha yake yako hatari au anaweza kuumizwa kwa njia yoyote awe mwanamke au mwanamme.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…