Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

[h=3]JE UNAJUA MAANA HALISI YA MAJINA WALOKUWA WANAITANA LULU NA KANUMBA (CINDY NA MOPAO)[/h]
bofya hapa Chungulia Dar

kumbe jamaa alikua anakalamaba haka binti toka zamani........
 
Yaani kwa mwendo huu TACAIDS wana kazi kweli!

Ninadhani huyu mheshimiwa ana "wapenzi wengine", na pia Kanumba alikuwa na "wapenzi wengine", na zaidi ni kwamba hao "wapenzi wengine" wana "wapenzi wengine" ambao wana "wapenzi wengine" ambao nao pia wana "wapenzi wengine" ambao wana....na hatimaye, huenda wewe pia ni mmoja wao wa hao "wapenzi wengine" na una "wapenzi wengine".

kasheshe chain kali..
 
Mopao(Koffee olomide) mutu ya pakee mutu ya pesa mingi patiroo sakonzii mwonkozi pedesheee na Cindy(Muke ya koffie) jolie bebe mamaa ya pakeee
 
kwani Kenya Kesi ya mauaji in ina dhamana?

Tangu Katiba mpya ipitishwe kuna dhamana. Lakini sana sana huwekwa shilling millioni moja za Kenya. Hutegemeya circumstances. Hi ya lulu angepewa dhamana ndogo au kwa sureties. Au pia hangepewa kutokana na ule msongamano Wa vijana baada ya ya SK for her own safety
 
yewooomiii, kuna watu hawana huruma wanamdondoshea Ray nyundo za kichwa live bila chenga wala!
 
Ila jamani mie nimekosa neno juu ya hapa..
Tumuache mungu pekee afanye kazi ya kuhukumu
 
Kila ja;mbo hutokea kwa sababu

Wahenga walisema' Asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu'. Nadhani hili limetokea ili 'mtoto Lulu' as people call her afunzwe na ulimwengu kwani mama yake ammeshindwa kumfunza!
 
Nina hakika Mh. A/H. Mdee na mwenzake wasingejitokeza kumtetea Kanumba(R.I.P), hapa nadhani wameonyesha udhaifu wa hali ya juu. Kwamba wako radhi haki isitendeke kisa ni mwenzetu.
 
Steven Kanumba kafakamia kilevi kikali cha "Jack Daniels", na bila shaka walevi wengi waliokubuhu wanaheshimu tofauti kati ya bia na vilevi vikali kama whisky ambavyo havikawii kumfanya mwanaume rijali wa umri wa Kanumba kuwa kama "mdoli" kwa urahisi sana hadi kupoteza sense of balance akitembea kwa hatua zake mwenyewe, achilia mbali kupoteza ufahamu na balance kwenye mazingira ya hamaki aka agression kwa mwanaume aliyelewa kilevi cha aina ya "Jack Daniels". Kwa hili naomba huyo "mkemia wa serikali" atoe toxicology report inayoweka wazi ni kwa kiwango gani haswa Kanumba alikuwa amelewa.

Ama baada ya kusema hayo, jee, kama ingekuwa Kanumba ndiyo kasababisha kifo cha "Lulu", hisia za Watanzania zingekuwa tofauti kwa kiwango gani, maana ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya Wanawake dunia nzima wanapoteza maisha mikononi mwa Wanaume, na ni nadra kwa ukweli huu kuwa kinyume.

Its immaterial kwasababu, hayo unayoongea hayakutokea.
 
Nina hakika Mh. A/H. Mdee na mwenzake wasingejitokeza kumtetea Kanumba(R.I.P), hapa nadhani wameonyesha udhaufu wa hali ya juu. Kwamba wako radhi haki isitendeke kisa ni mwenzetu.

Mimi nilidhani wameenda kama Wabunge wanawake na kujua kulikoni binti mdogo kama yule ahusishwe na mauaji...

Maana kuna wanaodhani kuwa alipanga kwenda usiku kumuua Kanumba.. Na akatekeleza mauaji hayo.. Yaani binadamu sisi..

Wakati shilingi ina pande mbili,wengi tunaangalia upande mmoja tu kuwa 'kaua',hatudhani pengine kwamba haikuwa kusudi lake hata kidogo..
 
Wapo wengi tu, wanaoonekana na wasioonekana. Wawili wamejitokeza kumsaidia na ni wabunge!
 
mimi napenda niseme kitu kimoja, angalia misiba yote au ceremonial zote za picha za freemasons, utaona wamejifunga prons, angalia hiyo picha uliyo weka wote waliokaa kuna kitu kama kitambaa cheupe mapajani, hiyo inaiywa pron imetengenezwa kwa ngozi ya kondoo na ni kitu muhimu kwao.
Kwenye msiba wa kanumba hakukuwa na mtu hata mmoja aliyekuwa amevaa pron jambo ambalo ni wazi haukuwa na element za ki freemasons.

Hivi freemasons ni waumini wenye athili ya Ki-afrika tu, mbona kwenye hii picha simuoni muumini wa kizungu?
 
mimi alinishangaza hapa.......

TULIOSAPOTI MPAKA KITUO HIKI KUFIKIA HAPA KILIPO SOMA MAJINA HAPO JUU JINA LANGU LIPO HAPO,KUSEMA UKWELI INAPOKUJA MAMBO YA KUSAIDIA JAMII NAJITAIDI KUTOA NINACHOKUA NACHO MAANA HAPA HUKUMBUKA MANENO YA MWANDISHI ALBERT PINE..''
"What we do for ourselves dies with us. What we do for others and the world remains and is immortal
Q1.jpg

Safi sana mkuu,fo quoted words.BG UP
 
hayo maneno yanamuumbua mwenyewe

Reast In Peace Mbakaji
[/QUOTE

IMEANDIKWA USIHUKUMU USIJE UKAHUKUMIWA WEWE!MAANA HUKUMU UHUKUMUYO NDIYO ILE ILE UTAKAYO HUKUMIWA, NA KIPIMO UPIMIACHO NDIYO KILE KILE UTAPIMIWA!

Unamwita Mbakaji, alimbaka nani? Ukiulizwa unao ushahidi?

R.I.P. Kijana mwenzetu.
 
Kama ingekua Lulu watu wengi wasingejali sana kutokana na jinsi anavyo jiwakilisha kwenye jamii.

Watu wengi wamemhukumu Lulu kutokana na tabia zake na mapenzi yao kwa Kanumba.

Ukweli halisi kwenye hii kesi hatuujui, kwa vile ndugu wa marehemu anasema kulikua na ugomvi inawezekana kabisa Lulu alikua ana jilinda au ana rudisha mashambulizi kwa vile marehemu alikua anamshambulia pia.

Kwa vile marehemu alikua amelewa (polisi ndio wamesema alikua amelewa), katika kusukumwa na Lulu alikosa balanca na kuangukia kichwa; au kwa vile. Alikua ametoka kuoga kama ndugu alivyosema, labda. Katika pulukushani za ugomvi aliteleza na ndio bahati mbaya kaangaukia kisogo na kupoteza maisha.

Ugomvi katika mapenzi yanatokea, na kila siku wanawake wanakua victims, kwahio tukumbuke pia kila mtu ana haki ya kujitetea pale anapoona maisha yake yako hatari au anaweza kuumizwa kwa njia yoyote awe mwanamke au mwanamme.
 
Back
Top Bottom