Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atatufanya tukamtoe lulu polisi tukampime mimba sasa afurahi....
the great moja kwa moja motoni, hata tulie vip..
si kweli mkuu]
Kinachochanganya ni ishu ya pombe kali ,Yaani wisky, Inamaana
Excellent!!!!!the great moja kwa moja motoni, hata tulie vip..
Huo msiba uliishatekwa nyara na wahaya siku nyingi so usitegemee kitu chochote cha kisukuma zaidi ya ibada ya AIC kwa kuwa kanisa hilo huzika bila kuweka masharti magumu. Mama Kanumba alitumiwa ticket ya ndege huku baba akiachwa solemba. Wahaya bana...kuna la leo gazeti liliandika kuwa..baba mzazi wa kanumba awasili dar!
tuseme hakuna baba wadogo, baba wakubwa mpaka shibuda?
hata hivyo nilimsikia yule mzee(baba kanumba) akisema lazima kijana akazikwe shinyanga na kwa mujibu wa mila zao ingetakiwa apelekwe nyumbani kwa babu yake kwanza ndipo apelekwe makaburini maana jina la KANUMBA alirithi kutoka kwa babu yake!