Katika masiko ya wengi jina hili katika siku za karibuni ,limetumika sana wengine kwa mtazamo Hasi, na wengine chanya.
Mimi ningependa kumshukuru sana kijana Huyu, only 28, kwa kuweza kuinuana magogo na vigogo
wa kisiasa na hata wananchi wa kawaida, na hati aye wengi kumi na kile alichokuwa akili khamis kwa nguvu zake zote na hati aye mafnikio kuanza kuonekana, kwa mbali.
Kanumba hakuwa msomi, kwa maana ya madigirii mengi tu tena mengine ya uzamili na uzamivu!
Kanumba hakuwa mwanasiasa, ksema kuwa chama Fulani ndio kimempa nafasi katika kazi zote
Kanumba alikuwa kijana tu saw a na kijana yeyote
Kanumba hakutoka kwenye koo zenye pesa na zenye uwezo
Lakini,
Kanumba alipata vision Yake mwenyewe na alijitengeneze mission.
Kanumba alikuwa a relentless performer, striving to improve his own self katika yote aloyokuwa anafanya.
Kifo chake Kama mtanzania yeyote kime nitia simanzi kubwa kwani juhudi, mategemeo na ndoto zimezimika ghafla.
Hata hivyo kwamba mafanikio yake yamekuwa noticed na Marais, Mawaziri,viongozi serikalini,wabunge,wananchi wa kawaida, hili ni fundisho kubwa sana kw kila mwananchi na kwa nafasi yake.Je wewe unayesoma mada hii nawe wafanyakazi nini kufanikisha juhudi za vijana Kama Kanumba?
Na kwa kutuachia mafundisho hayo namshukuru sana na Mungu amuweke mahali .