Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,768
- 3,622
naombeni kama kuna mwenye kuweza kunipa ramani ya kuonana na wazazi wake jamani nafikiri nahtaji kuongea nao juu ya malezi manake wameshindwa kazi. lakini huwa nasikia kuwa huko selo kuna waalimu wazuri kweli kwahiyo pengine watamfundisha. unajua bwana ukiyawahi mambo ya utu uzima mapema lazima ukugharimu.
Ngoja nijaribu kuwatafuta nikiwapata nitakushitua.