jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Kichaa wewe..wakupuuzwa.Nadhani Kiswahili chako kipo ICU:
Kujinga=Kijinga
Nmesema=Nimesema
Upo hapa na phobia za Englisha unajitia Mswahili wa kweli kumbe mavi matupu....Blah blah blah,huna lolote bwana...
Marehemu na mkewe wote wana Ukimwi,kisukari ambacho bado pia hamjapima ni chenu,who the fvck cares?
Plus mimi sio Dogo,wewe dogo!
Go https://jamii.app/JFUserGuide your self...msengerema wewe.Wakupuuzwa ni wewe kama mimi
Wote tupuuzwe,vichaa wawili talking to each other
Tupo kwenye matope wote wawili halafu unajifanya "ooh mi msafi",tako lako!
Pesa ni maua yanayopendezesha duniaNi kweli ni pisi kali haswa, sijui Buberwa alimpata wapi.
Wanasema hiyo ofisi alishampoka LONG ila jmn tuwe makini tutulie na tuliovuna nao wakati wa shida tangu mwanzo maana hawa wengine Mhh! Sasa binti wa kishumundu mizizi ya kihaya anaijulia wapi? We acha tu!. Kwani kwa sasa yeye ndiye dr mkuu pale Ubungo Plaza ana-describe jinsi ya kutumia hayo madawaAjabu lakini Mkewe hajapost kifo cha mumewe katika page yake ya Instar yenye kuwakilisha ofisi za pale Ubungo.
Alikuwa mganga wa miti shamba au mganga wa kupiga ramli au vyote viwili?Du! Kumbe amefariki? Na mbona amezikwa kimyakimya kwanini?
Ametoa mchango mkubwa sana kwenye tiba asili, Apumzike kwa amani
Haaa haahaa kama tembo wapo bwawani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa hapa baada ya kula ndafu
Muwe mnatafuta wakufanana nao unaenda beba maji marefu yenye kina, ili usifiwe!Nimefurahi michango yako katika hili suala. Aidha itakuwa vyema tukitafakari na kutafakuri hizi picha za harusi yao. Hapa hatuwezi jifunza kitu? Mfano katika picha hii, wewe unaona kuna usawa wa kijinsia ambao tumeuzoea? Au (the so called Dr) Buberwa alikuwa marioo?View attachment 1842909
Niliiona hata Mimi , kweli ndoa hizi ! Ufahari mwingi lkn mwisho wake ndugu watazamaji hatuarifiwi , kumbe walishatengana!! MhhKama sikosei nyakati zile anafunga ndoa, sherehe yake ya harusi ilirushwa live TBC. Ndiye huyu?.
Mwanaume huna mbele Wala nyuma zaidi ya ukurutu tu mtu akuue ili iweje, duniani pote wanaume hufa mapema na labda useme watu wengine huwa hawafi.Shida Sio Kufa
~Tatizo wanawake wa kichanga Mnatuua sisis~
Duh noma sana huyo mchepuko wako kanjanjarukia uzeeni, achana naye mazima asije kupa pressure za uzeeni bure aisee, kwa uliyo mfanyia inatoshaHahaha, ngoja nicheke mie kama mazuri vile,
Kunishambulia kote kule nimrudie tena, hata yeye mwenyewe hawezi kuthubutu, watoto nilishapeleka kwa bibi yao kijijini kwetu,
Yeye mwenyewe bado yupo kwao huko,
niligundua yupo na mimi lakini kapanga chumba huko kwao na huko alipokuwa akienda kufunga mzigo wake. Kwa hiyo Ana mtu wake huko wanafuaatana,
Alijichanganya mwezi uliopita akanitumia msg eti naombanisaidie pesa ya kuvunia, wala sikumjibu.
Nasikia ana mpango wa kurudi Dar kupanga chumba
Umeutendea haki huu uzi.
Umetupa mirejesho muhimu kutoka pande zote mbili. Hii ndio jamii forums ninayoikubali.
Nilichojifunza katika hichi kifo cha Dr. Bubelwa na maisha yake ni kuwa....
1. Mifarakano katika ndoa huzaa maneno mengi sana kutoka kwa watu wasiojua chochote.
2. Jamii inaona wivu sana ikimuona mwanamke aliyetalikiwa au mjane anarithi sehemu ya mali alizochuma na mumewe.
3. Tujifunze na kuielewa taasisi ya ndoa kwa mapana yote kabla ya kuiingia.
SahihiMuwe mnatafuta wakufanana nao unaenda beba maji marefu yenye kina, ili usifiwe!
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Kwani hakuwa na ndugu? Matatizo ya kutafuta mwenza kwa sifa, mke wa kumfukuza Mme kisa mgonjwa uliona wapi, ila hata wanaume wapo wengi wanaorudisha wake zao ndugu zao baada yakuanza kuumwaAmefariki kifo cha upweke sana kama vile hakuwa na mchango wowote . Mke wake huyu mmachame is a cold hearted bih, huyo mtoto wake wa kike wa mwisho amezaa na bwana wa shosti yake ambaye pia ni Jirani, pia alimfukuza dr nyumbani kwake tangia alivyoanza kuumwa.
Mazishi yenyewe yalikua bora liende....
Kumbe mke wa kwanza waliachana?Mke alizaa naye mtoto wa kwanza alikuwa wa ndoa ila baada ya Kupata Mali aliuacha mke wake wa kwanza lakini pia mke alishaona mwenendo wa mumewe haukuwa mzuri, wakatalikiana
Alikuwa tabibu wa tiba mbadala(dawa za asili za miti,matunda nk sio wa kupiga ramliAlikuwa mganga wa miti shamba au mganga wa kupiga ramli au vyote viwili?
Yup, tena wanaume wengi huruma kwa mke mgonjwa hawana kabisa. Ndugu nao walichoka na ukijumlisha dr. mwenyewe alifulia......Kwani hakuwa na ndugu? Matatizo ya kutafuta mwenza kwa sifa, mke wa kumfukuza Mme kisa mgonjwa uliona wapi, ila hata wanaume wapo wengi wanaorudisha wake zao ndugu zao baada yakuanza kuumwa
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Kina baba wengi hawanaga uvumilivu kwa mke mgonjwa, Kila Jambo lina mwisho itakuwa wamemwahiYup, tena wanaume wengi huruma kwa mke mgonjwa hawana kabisa. Ndugu nao walichoka na ukijumlisha dr. mwenyewe alifulia......
Alafu huyu baba na mkewe walikua waumini wa ndumba sana na unabii feki ,sijui madude yao yaliwageuka